Hawa wanaume hatujawajulia tu

Mwanaume kucheat haipingiki,mi nazungumzia kupeana penz ndoani ratiba tuziache tupeane penz pale nafasi inapopatikana
 
[emoji3059]ee bhana,maana hata tujikweze vp haibadiliki kuwa Nyie ni baba zetu
Umeongea maisha halisia, matumizi yaulimi Kwa wadada au wanawake Kwa wapenzi au wame zao nijambo lakuzingatiwa Saana Sana, wanaume tuliowengi hatupendi kufokewa haswa mbele zawatu huharibu kabisa saikolojia ,nadhani ninature sijui ,Ila ubongo wamwanaume humtafsiri mwanamke mfokeaji kama adui /threats,Tu nasio mpenzi hivyo kupelekea hisia za kimahbaa namapenzi kukata nakuhisi anaupungufu wanguvu zakiume,binafsi imewahi Nikuta hii nailewa Sana hii,.
 
You've got it wrong,
Mwanaume anaweza kupewa kila kitu na akaondoka , lakini pia anawe,a akanyimwa au kupewa kwa masharti na akabaki ndani ya ndoa !
Mtoa mada hataki kukaa kwenye upande wa yeye kuwa ndio sababu ya break up , thats all,
Hata kama wanaume tuna desturi ya ku cheat , lakini hakuna mahusiano magumu kuyaacha kama mwanamke anatimiza wajibu wake bila shuruti, na ndoa zilitakiwa zijengwe kwa staili ya wanawake kama mtoa mada
 
Tusijibane sana mkuu,tunajitesa wenyewe❀️
 
Kauli hujenga na kubomoa.Ulimi ni sumu ukiutumia vibaya🀜
 
Mimi huwa namwambiaga mwanamke uwe na vitu vitatu
1.Malaya kitandani
Hakuna aibu aibu jichetue na jitoe ufaham.

2.Chief cooker jikoni
Pika mlo kama mgahawani japo mara moja kwa week hasa siku zile ana muda.

3.Mama ndani ya nyumba (sio dada au aunt)
Kauli, Ushauri na Usimamizi mzuri kama msaidizi na mshirika mzuri wa kulea familia.

4.Namba 1 [emoji1426]
 
U understood me well... that's what I meant
 
🀣namba nne awe anatuma na ya kutolea au😜
 
1 na 2 , are my favourute as well, street sex languages as welll, kama ni kijiko kiitwe kijiko kweli na si altenative languages

I hate with passion mwanamke anachukulia tendo lla ndoa kilokole
 
1 na 2 , are my favourute as well, street sex languages as welll, kama ni kijiko kiitwe kijiko kweli na si altenative languages

I hate with passion mwanamke anachukulia tendo lla ndoa kilokole
🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…