Hawa wanaume hatujawajulia tu

Hawa wanaume hatujawajulia tu

Exactly,kwa hiyo hayo uliyoandika yafanyike hayasaidii kitu... kama sio wako hata utoe figo kwa ajili yake hawezi kubaki

Kama mmependana mtaishi kama binadamu wa kawaida,haitakiwi kuwepo upande mmoja unaofanya jitihada nyiiiingi ili mahusiano yenu yadumu

Kumridhisha binadamu ni ngumu
Tena hao wanaosifika kwa kuyajua mapenzi hata ndoa zao huwa hazidumu wanaishia kuonyesha ufundi wao kwa wanaume wenye ndoa zao[emoji23]
 
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...😳mpe kile Cha chap Kwa haraka 😉 egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu🤣 (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede🙄)

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao🙌

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu☹️... maskini 🥺ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio... Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na😏 juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo!🙄☹️. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia😭 daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao😭😭😭😠😏

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah!🤨
Ukiyafanya haya kwa moyo utakuwa na nafasi nzuri ya kufurahia kila uhusiano hata kama hautadumu mda mrefu ila you did it with love and affection itaacha alama tu.

Kinachowacost wengi mkiolewa haya uliosema yote yanakuwa kama options. Mnaona mshamaliza yani ila kwenye kuitafta ndoa ni balaa. Utaitwa majina yote mazuri na kupetiwa
petiwa, utafuliwa na kupikiwa misosi ya 5 star 😁😁😁..

Mkishaanza kuishi pamoja una reveal upande wako wa uhalisia mineno ya shombo na ratiba za show zinaanza kisingizio ni kuchoka tu.
 
Kuna wife material non sexual na sexual, hawa sexual hudumu katika ndoa hao wengine wanakuwa too materialist yaani wao na mali tu, wanasahau kabisa ya kuwa sexual act ndilo jambo kuu na Takatifu sana na infact sisi wanaume huhitaji tendo katika kila possible angle inayotokea mfano bafuni wakati mnaoga hapa lazima kitu kifanyike.
 
Nabold uzi 🙂🙂

Hawapendagi kupimiwa mbususu

Ila bado kuna wengine utabinuka mpaka utenguke maini ila kutulia na wewe ni nehiii… labda akuheshimu kwa kucheat kwa akili sana ili usijejua.


Wale ME ambao msipopimiwa na nyie mnakuwa ma gentle in all aspects aiseee mubarikiweeee, na wallet zenu zisikose manoti 😉🤪😋😋.
Mtoa mada anazungumzia Wanaume ambao kuchepuka kwao ni asili kwa comment zao 😬
 
Exactly,kwa hiyo hayo uliyoandika yafanyike hayasaidii kitu... kama sio wako hata utoe figo kwa ajili yake hawezi kubaki

Kama mmependana mtaishi kama binadamu wa kawaida,haitakiwi kuwepo upande mmoja unaofanya jitihada nyiiiingi ili mahusiano yenu yadumu

Kumridhisha binadamu ni ngumu
No one know tomorrow ukiwa una reasoning sana Kuna mambo utafanya alafu baadae hutaanza kujilaumu, ukipata nafasi una enjoy mkiachana hayo ni matokeo
 
Back
Top Bottom