Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Swali la kujiuliza ni kwanini ni inner circle tu ya mwendazake? Na yule alieponea mtungi wa hewa naona ameanza kutembea na mguu wa kuku kiunoni siku hizi.. kwanini atembee nao wakati analindwa?
Swali muhimu hili
 
Damu hulia na kupiga kelele. Nayo hujibiwa. Ole wao walao isivyo haki maana hakika upanga utawajia juu yao.
 
Mkuu,

Inawezekana mabalozi wa nyumba kumi wengi wanakufa wewe huwajui tu.

Mbona watu kibao wanaondoka kila siku?

Hao watu fulani specific unawaona vizuri kwa sababu wapo kwenye spotlight.
Well said. It’s called “thinking outside the box”, critical thinking.
 
Tusitafute mchawi. "It's la Corona". Hata sisi makabwera tunapukutika bila kutangazwa. Tembelea maeneo ya makaburi utakuta kila siku watu wanazikwa. Dawa: Tusipuuzie kujikinga na balaa hili.
 
Well said. It’s called “thinking outside the box”, critical thinking.
Sometime you have to think outside the Kaluza-Klein manifold spacetime construct the box is in too.
 
Huitaji masters kulijua hili..hata umakamu wa yule bwana upo upo tu unaweza kudhani hakuna makamu wa raisi,ile ni poteza maboya,awe makini sana wenzake wanamlia timing
 
Hahahaha wazee wa mucus!
Chunguza vitengoni Wazee wa polisi wale wazungsha meza Rozana Buguruni na Wazee wa pale kurasini wengi wameondoka kimyakimya kwa vile tu siyo public figures.Kwa kifupi majority ya vijana wa 90s walioshika vitengo mwendo wa mzee ruksa kipindi kile afya zao ni mgogoro ni pesa tu ndiyo inawatunza.
 
Hao ni mashahidi wa udhalimu so yupo kwenye hukumu hivyo ni lazima mashahidi wake wawe karibu nae kumsaidia jinsi ya kuzipangua dhambi zake dhidi ya Mola wake.Hao ndo wanajua each everything kuhusu swahiba wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…