Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku yake aliyopangiwa na Mwenyezi Mungu ikifika naye atakwenda tu....kwa hiyo akifa mtu A na B kwa Covid na wengine wafe...Km ni Covid, mbona mzee wa msoga anazidi kudunda tu
Hela zinawalinda tu ila njugu mawe ni sehem ya maisha yaoChunguza vitengoni Wazee wa polisi wale wazungsha meza Rozana Buguruni na Wazee wa pale kurasini wengi wameondoka kimyakimya kwa vile tu siyo public figures.Kwa kifupi majority ya vijana wa 90s walioshika vitengo mwendo wa mzee ruksa kipindi kile afya zao ni mgogoro ni pesa tu ndiyo inawatunza.
Wanaotangulia ni kikosi cha mwendazake,umoWewe utanitangulia
Huyu mzee bado yupo kwenye siasaMwandosya na wengine kama yeye japo umri umewatupa mkono.
Mwandosya na Mwakyembe walifanyiwa kitu kibaya, kiafya hawapo vizuri.Huyu mzee bado yupo kwenye siasa
Ana kambi yake nae kumbe nilijua haya mambo kashaamua kutulia
Mzee wa msoga sijui ila jamaa ni chumaMwandosya na Mwakyembe walifanyiwa kitu kibaya, kiafya hawapo vizuri.
Huyo wa Kyela akajisahau akaweka usomi wake wakati akiomba kura wajumbe wakamchinjia baharini.
Ikitokea Mbeya ikapata Rais wakati JK akiwa hai hata akiwa na miaka 85 ataikimbia hii nchi.
Mafia hatishiki hata siku moja.Mwandosya na Mwakyembe walifanyiwa kitu kibaya, kiafya hawapo vizuri.
Huyo wa Kyela akajisahau akaweka usomi wake wakati akiomba kura wajumbe wakamchinjia baharini.
Ikitokea Mbeya ikapata Rais wakati JK akiwa hai hata akiwa na miaka 85 ataikimbia hii nchi.
kwa mara ya kwanza niona umeandika thread ya maana.Hongera sana.Tumuombe Mola atatupa majibu yote.Habari Wakuu,
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Anyway, time will tell.
Asikudanganye mtu hakuna phase 1 , 2 wala 3Phase 3 ipo hewani kwa sasa. Kuna watu wanaongelea haya matatizo kwa dhihaka lakini yapo.
Najaribu kujiuliza nyie mna uthubutu gani wa kuwa na jicho angavu namna hiyo hadi mfikirie 3rd part...Habari Wakuu,
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Anyway, time will tell.
Kule kwetu wanaita "tego"..... kama ni lenyewe na ni kweli Mzee wa Lupaso aliondolewa kinamna, basi litawamaliza mpaka waombe "poo" (watubu na kulipa faini).Tangu afe mzee wa Lupaso yaani team mwendazake inapukutika tuu afu ni less than one year