Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hili naanza kuamini sasa maana ni kama umehamishiwa kwenye moyo! Unavuruga mapigo ghafla unasepetuka na kiumbe hai! Kuna mama ni MC mmoja naye amefyatuka juzi kati ghafla yani ukumbini hali ikabadilika akanyooka kabla ya ana

Hili naanza kuamini sasa maana ni kama umehamishiwa kwenye moyo! Unavuruga mapigo ghafla unasepetuka na kiumbe hai! Kuna mama ni MC mmoja naye amefyatuka juzi kati ghafla yani ukumbini hali ikabadilika akanyooka kabla ya kufikishwa hospitali
Anaitwa mc mary
 
Yah hawa hawawezi kukurupuka kwani wao kuwa wanawake kunawafanya wawe watetezi wa uwezo wa mwanamke, wanatazamwa mara mbili zaidi ya wanavyotazamwa viongozi wakubwa ambao ni wanaume.

Katiba wataanza kuifikiria kuelekea 2025, kwa sasa ni vigumu kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kujikaanga kwa mafuta yao wenyewe.
 
nimekuwa nasoma huu uzi toka mwanzo na comments zake!

lakini nikwambie kitu..

mambo mengi watu wa system wamekuwa wanafanya vitu vingi ambavyo hata wajinga walikuwa wanaelewa nini kimefanyika!hawakuwa itellectual kabisa kwa matukio yao kipindi chote hapo nyuma..

kila kitu walifanya waliacha CLUES nyingi sana!sasa sijui ni kwa kujua au kutokujua ili kutupa ujumbe fulani!!

kama ni kweli kuna foul play tujipe muda mfupi tuu tutajua.

lakini kama ni natural basi walazwe pema peponi
 

Kwenye hili la katiba wangepata uungwaji mkono sana. Kwa wao kuliongoza kwa haki wangewaondolea hoja upande wa pili.

Wangeepusha marumbano yote yasiyo na tija.

Kimsingi hili lilikuwa ni ushindi mkubwa zaidi kwao kuliko ule upande mwingine. wala si ile "win win situation" ya mzee baba.

Hauoni hivyo?
 
Bora waondoke wote mapema
 
Mungu kaona kazi yao duniani alipomuita magu boy akampa cheo magu nayee kapitisha maombi kwa Mungu kuwa ukiletea huyu na huyu huyu tutapiga kazi balaa
 
For the good of the country
 
Kati ya uliowataja lazima mmoja wapo aondoke kabla ya 2022
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu, watu Hawa hawana raha kabisa, bidii ya kazi imeshuka sana baada ya kusoma mchezo unavyoendelea hapa nchini, -1. Cdf , 2. IGP, 3. Lukuvi, 4. Majaliwa, 5. Kabudi, 5. Mpango etc.
Lazima mmoja wao adondoke tu, bila kumsahau Kipaza Sauti
 
Kutengenezwa kutoka nje kwa kutumia wa ndani...
Ogopa sana mtu mwenye medani na mafunzo ya kijeshi.
Ogopa sana mfu alieenda kusomea unjagu israel.naomba niishie hapo
 
Mahiga down, BWM then, Kijazi na Maalim same day, Dr.Plan akapunch, Dr.Alcohol akasepa na hatimaye Mfugale...hatujui whos next ila huu mtiririko unaashiria kitu flani
We Call it House Cleaning
 
Reactions: Qwy
Pole sana yaani hili umelijua leo? Yaani ukiona covid imetangazwa kwa mbwembwe zote jua kuna anae ondoka.

Hivi umejiuliza tangu mwezi wa tatu alivyofariki covid ikaenda likizo sasa hivi imerudi kwa nguvu bado macho hayajafunguka? Wake up!!!!
House Cleaning
 
Not quite bad. ILA tahadhari sana usizame mzima mzima kwenye ulimwengu wa CONSPIRACIES usije ukapoteza kabisa uwezo wako wa kuona na kuchambua masuala OBJECTIVELY.

Dunia hii kila kitu kina namna ya ku-fit vizuri tu katika nadharia za conspiracy. Hata uwepo wako hapa duniani (your very existence) ukiutafutia sababu/maana utapata jibu la aina yake!

Leo conspiracies industry imekuwa sekta kubwa yenye “wanazuoni” wake na maandiko lukuki kuhusu matukio makuu duniani. Imekuwa namna rahisi ya kupindisha ukweli hasa kwa wasiotaka kuwajibika au kuwajibishwa kwa uzembe/makosa/uovu wanaofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…