Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda mkuu, ni zaid ya uchiziWakati mwingine ni ugumu wa maisha, unapelekea watu kuwa kama machizi
Hata mimi huwa sielewi kabisa yani.How mtu unakuwa zuzu la namna hii? Hata hao wanaoenda kwa matapeli et Mwamposa,Joe Devie et al huwa nawashangaa sn.Sijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Mambo ya upako hayo.
Serikali ifikie hatua ipige marufu ibada za namna hiiHata mimi huwa sielewi kabisa yani.How mtu unakuwa zuzu la namna hii? Hata hao wanaoenda kwa matapeli et Mwamposa,Joe Devie et al huwa nawashangaa sn.
Watanzania watakumbia ni uhuru wa kuabuduSerikali ifikie hatua ipige marufu ibada za namna hii
Hali ya maisha mzee wengine hata hawajui km kuna social media zinazowafuatilia wao wanaishi maisha yao hali mbaya uko walipo, wanapuliziwa sulphur ya upako fresh kesho wanazaa koroshoSijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Ni kweli kabisa, sometimes maisha yakikupiga unaweza jikuta unafanya vitu vya ajabuHali ya maisha mzee wengine hata hawajui km kuna social media zinazowafuatilia wao wanaishi maisha yao hali mbaya uko walipo, wanapuliziwa sulphur ya upako fresh kesho wanazaa korosho