Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Ye on this one!Kanye kunakitu anatengeneza nyie subirini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ye on this one!Kanye kunakitu anatengeneza nyie subirini
40% ya matajiri America ni waoJews ni watu wakubwa sana , Ila hawana tambo za kuonesha nini wanacho.
Balaa linaanza pale unapowachokoza, utawajua wao si wakawaida
Hao kadashian uko wa demonic full laanaVile alimuacha Kardashian huwa simpendi tena
Kanye magharibi. Mimi naenda kunya mashariki..Mi namuaminia Kanye
Semitc people ni watu amabao wana asili ya mashariki ya kati. Wayahudi warabu, wairan. Sio watu weusi. Na kwavile ulaya semitic people wengi walikua ni wayahudi neno anti semitic linamaanisha mtu anaechukia wayahudi kwasab wazungu wamekariri kwamba semitic=myahudi.Yesu hakuwa Mzungu...
Semitic people ni wote ambao sio wazungu...so blacks hawezi kuambiwa ni anti Semitic wakati blacks ni Semitic Kama ambavyo Jews na Asians ..wote ni Semitic
Alisikika myahudi wa msasani majungu placeIsrael ndio mmiliki halali wa dunia yote.
Mbona huyo jamaa kama anatafuta bifu na kila mtu?.
Sure nilsikia kipindi fulani alikua ana ishu ya akiliNi kama ana matatizo ya akili pia.
Vile alimuacha Kardashian huwa simpendi te
Tukiachana na anti Semitism na Semitism yenyewe. Nimemuomba mleta hoja anieleze ni wapi Yesu alikuwa mweusi akirejea Biblia kama alivyodai.Yesu hakuwa Mzungu...
Semitic people ni wote ambao sio wazungu...so blacks hawezi kuambiwa ni anti Semitic wakati blacks ni Semitic Kama ambavyo Jews na Asians ..wote ni Semitic
Sisi ni WaAfrika siyo wayahudi.Kanye West kaongea ukweli Africans we are the real Jew's hao jamaa hawataki kuambiwa ukweli sisi ndio wayahudi wa ukweli na sehemu gani kwenye biblia inasoma yesu alikuwa mweupe.
Wanalazimisha kuwa wajukuu wa Abrahamu.Mimi ni mjukuu wa Rwabukambara na itabaki hivyo.Mimi siyo na siwezi kuwa Jew.I never understand kwanini mnapenda muitwe Jews au mfananishwe nao. I'm no jew hata kama hao Jews walikua black kuliko Mimi.
Kanye kaongea ukweli kwenye mambo ya kiuchumi tu kuhusu Jews ila Jews wenyewe hawana shida na wewe hata ukijiita jew, kujiita doesn't change nothing. Wewe ukijiita mzungu, miarabu, myahudi doesn't mean anything.
Yesu alipokimbilia Egypt ambako kulikuwa na weusi Wengi kipindi hiko kujificha...alienda kujificha huko kirahisi sababu ya kufanana rangi na watu wa huko...Tukiachana na anti Semitism na Semitism yenyewe. Nimemuomba mleta hoja anieleze ni wapi Yesu alikuwa mweusi akirejea Biblia kama alivyodai.
Na bado kinyume cha Semitic sio kuwa black, bado vilevile kinyume cha mzungu sio semitic kama unavyodai
Wanalazimisha kuwa wajukuu wa Abrahamu.Mimi ni mjukuu wa Rwabukambara na itabaki hivyo.Mimi siyo na siwezi kuwa Jew.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app