Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

Hio ni kawaida hata Magufuli alifanya kwa njia nyingine.

Kwenye utawala lazima ulinde himaya yako.

Hapa mimi naongelea overall experience ya kuishi kule kama raia wa kawaida tu au kama mgeni mwenye kazi maalum.

Kashog na ben saanane ni case ile ile tu japo different timezones
 
Medias zinawa portray vibaya, hao jamaa wanaonekana wakorofi ni kwa sababu wamechokozwa na wanapigania haki zao.

Hata hao watalibani wa Afghanistan ni jamaa wako poa sana, hawana kelele na mtu.

Nchi za magharibi ndizo chanzo .

reply yako inanikumbusha hiyo siku.
 
Vita vyote vinasababishwa na political intervention ,kama hao siku wakiingiliwa basi hapatokuwa na amani .

Baadhi ya nchi kama Afghanstan ,syria hata utu unatoweka ,wameteswa sana na wazungu machafuko kila siku ...Kawaida mnyonge siku akichoka ni balaa.

Nchi za arabuni pana amani hakuna ,sema ni hawa wazungu kutaka kulazimisha mila zao , serikali pandikizi ndio tatizo.

Taliban sasa angalau wana mipango ya kiuchumi japo matatizo ya vibaraka yapo .

Kiufupi sehemu walizopita wazungu sio salama ,wameacha majanga matupu pale kaburu South Africa ndio usiseme ..Watu weny asili ya ugaidi na matukio ya hovyo ni bara la America huko Mexico ,uruguay
 
ndani ya uislamu kuna madhehebu kuna hao shia ndiyo hatari wanaamini kuwa kuna mtu wao anaitwa mahd atakuja kuwaokoa watu kutoka mikononi mwa makafiri(israel) wao walishajiekea hilo kuwa ipo siku watashinda ndiyo maana mentality yao kuiondoa ni ngumu.

wapo wengine wamebakia na misingi ya jihadi hawa ni sunni hivyo lolote ufanyalo wao hawaelewi wanataka dola,wasiwe chini ya uongozi wa kisekula.

tupoi sisi bakwata tumekubaliu kuendeshwa kama maboya.
 
Mbona mlet


Mbona mleta mada umejichanganya sana. Dubai na Abudhabi inahusiana nini na Ronaldo?
 
tatizo ni vita,hata Saudia na Dubai siku wakapiganishwa vichwa tutawaona wakorofi.Libya kabla ya vita hapakua na shida ila walipotibuliwa sahii hapakaliki.
 

Hao wanaouwa wasio na hatia una uhakika ni waislamu? Una ushahidi kama uislamu umehalalisha kuuwa wasio na hatia?

Huko Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ badala kupigana na Hamas, wao wanauwa watoto/raia wasio na hatia, ni haki hiyo? Hao ndio wazuri, taifa teule!

Mkuu, wewe hapo hujui chochote kuhusu uislamu, subiri umauti ukufike ndio utajua mbivu na mbichi, pumzi yako inakupa kibri.
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona mlet




Mbona mleta mada umejichanganya sana. Dubai na Abudhabi inahusiana nini na Ronaldo?
Rudia tena kusoma.

Au swaumu kali nini? Nimesemea Saudia anakochezea Ronaldo siku hizi
 
Hao sio waislamu pure, uislamu wenyewe unasema kaa mbali na kagiri ikiwezekana mtoa roho uwe na amani
 
Hapo unaongelea watu wa aina 2
1. Umaskini na ujinga
2. Elimu + pesa

Hawawezi kuwa sawa kaamwe
 
Jamii yeyote yenye umasikini, ujinga na misimamo mikali ni hatari sana kuishi.
 
Ulichokiona Dubai ni picha ya Uislamu pale wanapoachwa wawe wao kama wao, ila unachokiona Yemen na kwengineko kwenye purukushani ni picha ya waislamu wanaopambana kupigana na foreign intruders.

Swali la kujiuliza kwa hao unaosema wanajilipua ni kuwa je wanajilipua in an offensive mission au ni defensive response? Hata simba dume huwa ni mpole sana ikiwa hakuna Simba dume mwengine aliyevamia territory yake.
 
Napata mantiki fln kwenye maelezo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ