Hawa Wayemen, Pakistan na Iraq ni wa Uislam upi? Mbona Dubai na Saudia ni watu poa sana?

Unapoambiwa Waarab ni wanafiki inabidi uelewe. Wasaudia na UAE ni puppets wa Marekani, ni wanafiki na wanatumiwa na Wamarekani kuwamaliza ndugu zao uliowataja hapo juu na ndiyo maana wanachukiwa na waarab wenzao ila wanashindwa tu kuwatokomeza kwa sababu wanalindwa na Wamarekani.
 
Hao wa mabomu umefata habari feki, hujaenda qala hujawatembele kama ulivyofanya Dubai. Usiwahukumu kwa habari za uongo.

Nakushauri soma Qur'an uujuwe Uislam, usijifundishe Uislam kupitia habari feki (fake news).
 
Mkuu hao walikuwa magaidi na kiongozi wao Osama ambao mtu kama Osama alifundishwa kazi hizo na Marekani wakati wa vita baridi.Hakufanywa gaidi na Saudia Arabia.
Makosa yake au vitendo vyake vya ugaidi visichukuliwe kama Saudia ni Waarabu wabaya!
“15 Saudis involved in the bombings of the Pentagon and Twin Towers that cost nearly 3,000 lives” WACHAWI HAWAKOSI MISA na hua WANAKAA MSTARI WA MBELE
 
Medias zinawa portray vibaya, hao jamaa wanaonekana wakorofi ni kwa sababu wamechokozwa na wanapigania haki zao.

Hata hao watalibani wa Afghanistan ni jamaa wako poa sana, hawana kelele na mtu.

Nchi za magharibi ndizo chanzo .

Sio media ila uislamu ni ugaidi
Hao wenye roho nzuri sio waislamu kamili na hawataionja pepo, ukipata quran fungua hizi aya
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Medias zinawa portray vibaya, hao jamaa wanaonekana wakorofi ni kwa sababu wamechokozwa na wanapigania haki zao.

Hata hao watalibani wa Afghanistan ni jamaa wako poa sana, hawana kelele na mtu.

Nchi za magharibi ndizo chanzo .
Kwanini wakubali kutumika sasa na nchi za magharibi?
 
Nawe huwa una boa na hizo motives zako behind. Sisi kama watanzania hatutakuja kumwaga damu sababu ya dini kama nyie mungiki mnavyouana sababu ya ukabila. Nia yako ya kutufarakanisha na kutulisha chuki ya kidini haitafanikiwa.

We mtu gani kila siku ni uchochezi na mashindano ya kidini tu? Pumbavu mkubwa.
 
✍️📝👍👌👏👊🤝🙏🛡️
 
✍️📝👍👌👏👊🤝🙏💐🎁🛡️
 
🙄🙄🙄
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…