Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Heeeee em kunywa maji shogangu ukaushe koo kwanza panik hiyo vipi maana kama ni tozo wote zinatutoza..hivi kuuliza ni ujinga? Umeona wapi nimesema anatakiwa kupewa ela?! Jamani mtu atunusuru mbona milembe wapo wazima sasa,,,mi nimeuliza swali labda nlimaanisha kama anampa ela hafai maana hiyo ni kumnunua so hana mapenzi wewe kukurupuka gani huko jmn kunyamaza nako ni akili mbona tunawaambia sana hamuelewiiiiiii wewe ni aina ya watu mnahitaji msaada wa haraka mental health is real deal dear
Hilo ndilo tatizo la waafrika! Kwa nini apewe hela? Kwani mapenzi ni pesa? Anataka alipwe kumpenda mtu? kwani wanaposex yeye hawa haenjoy? Kama unataka uwe unapewa pesa sasa ujuwe kuwa wewe pia ni whore kama whore wengine tafauti yako ni kuwa una mteja mmoja tu! Kama unataka upewe pesa si bora kwa mwanamme awe anatafuta kahaba kila anapotaka kusex? Tena atakuwa na advantage kama kila siku anapata k tafauti, hakuna kuulizwa umetoka wapi au hiyo lipstick shingoni amekuapa nani? Hukasiriwi ukimwaga mwanzo au haraka haraka etc etc.
 
Tuko mbali mbali hivyo kukutana ni nadra mpk kuweka kikao pia mazingira hayaruhusu kukutanakutana hovyo

Nimejaribu kuongea nae kwa simu but ana badilika siku3.
Huyo wako ana afadhali mi nawaita Manzi mademu zangu. Nikiweza bibie basi, sipigi simu sina mazoea kuchati, meseji nakaa 1hr, 2hrs, au sijibu, sikutafuti bila wewe mwanamke kunitafuta, mimi ntakucheki uje ghetto kunipa shoo basi, demu anaeniweza ni yule anaekuja mara nyingi ghetto kwangu. Lakini hawa mende waja Leo waenda masoko ukitoka nakusahau mazima
 
Na mwengine, ndio maana wanawake wa Tanzania mnadharauliwa na kuteswa na wanaume zenu, hamjitegemei kabisa na mnaona K zenu ndio uchumi wenu. Be independent ladies na just enjoy men companions and sex!!!!!!
Mkuu tafta ela
 
Maisha linganishi ndio sumu ya mwanamke kutoishi ndoa na mahusiano Kwa uaminifu. Mwanamke hana anachoshiba ni vichanga na vidudu tu.

IMG_9407.jpg
 
Huyo wako ana afadhali mi nawaita Manzi mademu zangu. Nikiweza bibie basi, sipigi simu sina mazoea kuchati, meseji nakaa 1hr, 2hrs, au sijibu, sikutafuti bila wewe mwanamke kunitafuta, mimi ntakucheki uje ghetto kunipa shoo basi, demu anaeniweza ni yule anaekuja mara nyingi ghetto kwangu. Lakini hawa mende waja Leo waenda masoko ukitoka nakusahau mazima

[emoji3][emoji3][emoji3] yaani una mademu wengi hivyoo unajishauaa

Anyway saw
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
sikiliza hii pengine itakusaidia
 

Attachments

  • romantic.mp4
    13 MB
Heeeee em kunywa maji shogangu ukaushe koo kwanza panik hiyo vipi maana kama ni tozo wote zinatutoza..hivi kuuliza ni ujinga? Umeona wapi nimesema anatakiwa kupewa ela?! Jamani mtu atunusuru mbona milembe wapo wazima sasa,,,mi nimeuliza swali labda nlimaanisha kama anampa ela hafai maana hiyo ni kumnunua so hana mapenzi wewe kukurupuka gani huko jmn kunyamaza nako ni akili mbona tunawaambia sana hamuelewiiiiiii wewe ni aina ya watu mnahitaji msaada wa haraka mental health is real deal dear

[emoji854][emoji854]
 
Ndo utulie Sasa Kuna ambae anafanyaga nae na amini huyo hawezi lalamika kama ww...kwa lolote lile

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]
 
Hii ndiyo sababuakina @LiverpoolVPN , mzabzab wanataka kuoa bikra tu.
Hawana uzoefu toka kwa mtu mwingine wana ridhika.
 
[emoji2][emoji2]elfu 20 umeanza kuniita gold diger

Miez 3 unaonana na babe wako ambae humpagi hata vocha afu unampa elfu 20 ulitegemea asemajee


Ofcoz ni nyingi si haba ila ndio hivyo ni bahirii kama niniiii
Kwani lazima pesa? Bila pesa hayaendi? ☹ basi lazimisha akuwowe ili akupe nyingi, tena daily.
Ila ndo unalala bila nguo 🤣
 
Hii ndiyo sababuakina @LiverpoolVPN , mzabzab wanataka kuoa bikra tu.
Hawana uzoefu toka kwa mtu mwingine wana ridhika.

Afu nani kasema bikira ana ridhika maana ya bikira ni mtu ambae hajawahi kujihusisha na ngono sio kwamba hana mahusiano tena mabikira wajanja huwa wanakula pesa na mbunye hugusii [emoji41]
 
Kwani lazima pesa? Bila pesa hayaendi? [emoji852] basi lazimisha akuwowe ili akupe nyingi, tena daily.
Ila ndo unalala bila nguo [emoji1787]

[emoji23][emoji23] unawezaje kumlazimisha mtu akuoe… ndio unamwambiaje “ Nioe naomba nioe “
Au nifundishee nimlazimishee
 
Back
Top Bottom