Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

Hahahaha kumbe mna rais wenu hongereni
 
Sio tu kwamba ni chawa Bali ni kibwengo
Pole mkuu na acha roho za kichawi. Zama za kusujudi mtu ndio hivyo Mungu kaamua kutumalizia yale mateso.
 
Hahahaha kumbe mna rais wenu hongereni
Raosi wetu Watanzania. Wewe sio mtanzania. Hata matumizi ya maneno katika lugha hujui. Raisi wa taifa letu tunamuitaje.? Ukiwa na ujinga kwa kichwa chako usitake kila mtu ajaze huo ujinga wako kwenye kichwa chako. Tupo huru kuelezea furaha, kukosoa, kushauri na kupeana mawazo mema sio hizo chuki, hila, unyama, nk katika mabaya hatupo huko mkuu.
 
Acha kulitaja Jina la MUNGU Bure

Na Yesu kwenye siasa ameingiaje

Usilete mzaha , kwenye issue serious
Acha kumtishia mtu. Mungu ndiye aliye amua tu kutuvusha. Kama sio yeye hakika tungeteseka saana. Mungu huangamiza au huondoa utawala wowote wa kinyama. Kiongozi yoyote mwenye kuwatendea mabaya watu wake ni chukizo mbele za Mungu na Mungu humuondoa ili kunusuru watu wake. Usitutishe ukija kwa kutumia biblia tutakunyoosha pia.
 
Huyu jamaa ni mweupe kichwani , Kama Mama yake
Endelea kubet. Mweupe au mweusi kichwani ni wewe ambae unalazimisha watu wa seme utakavyo. Unayo haki ya kukataa mawazo ya mtu kwa hoja na sio kuruka ruka tu mara ooh mara eeh. Jitambue
 
Mungu yupi unayemsemea ww?

Kama Ni wa Mbinguni , hato-deal na Babel ( Id ya Mungu Babel )
Hizo ni ID tu mkuu. Sawa usijitoe ufahamu. Hapa tunatumia majina fake hivyo jitambue. Mungu ni mwema
 
We apo unamsudia nani ndo maana we kiroboto wa bi kiroboto
Sikujibu tena hii ya mwisho maana tutaonekana wote punguani. Huna hoja wala huna la kuelezea unaruka ruka hueleweki.
 
Safari mumemwagwa wengi humu. Kazi ya mwiguru hii
 
Hahahaha hongera kwa kupata uyo raosi wenu
 
KWA akili iliyojaa matope nikuambie nn sasa we endelea kuimba pambio kibwengo master hahahaha
Mapambio ni yale yaliimbwa kumtukuza mungu mtu. Ila Mungu mkuu mwenye nguvu yupo makini zaidi
 
Labda Mungu wenu wa kuzimu maana MUNGU wa binguni hutenda kwa atakavyo sio kuwafurahisha vimbwengo kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…