Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

Labda Mungu wenu wa kuzimu maana MUNGU wa binguni hutenda kwa atakavyo sio kuwafurahisha vimbwengo kama wewe
Ndio maana MUNGU wa mbinguni akatuvusha kwa bwana yule wa gizani sasa tupo zama za uwazi.
 
 
Jinga kweli wee Tena Ni mjinga Hadi kwa wakwe zako

Garama za maisha imepanda almost 50% bidhaa na huduma hazishikiki alfu unakuja kuonga ujinga eti anupiga mwingi

Wee Ni ovyo sna nimekudharau aise
 
Kaa chini ujifunze Programming ,
Acha kufanya worshipping kwa binadamu anae Jamba Kama ww
Unajua maana ya worshipping au unaandika tu.? Aliye abudiwa ni nani hapo kwenye hili andiko??? Mkuu upo sawa kichwani..? Rudia kusoma tena afu uje hapa na mstari nilio muabudu mtu. Imani tunaijua hivyo usituletee ujinga mkuu. Vizuri ukajitambua na ukaacha kukasirikia watu. Utaishi kwa amani jifunze kuelewa mawazo ya wengine hata kama yana kuuma. Ila.ukweli daima haupindishwi ni jambo la muda tu kuujua
 
Nani shoga hapa kati ya mimi na wewe unaeleta vitu ambavyo havija andikwa hapa. Kama una sifa za kishoga ni wewe usilete humu. Jitambue mkuu. Ukiwa na ubongo wa kiasi kidogo hivyo hii dunia itakushinda rudi usukumani ukachunge.
Mashoga mko huru kabisa kwa kupata mfuasi
 
Nani shoga hapa kati ya mimi na wewe unaeleta vitu ambavyo havija andikwa hapa. Kama una sifa za kishoga ni wewe usilete humu. Jitambue mkuu. Ukiwa na ubongo wa kiasi kidogo hivyo hii dunia itakushinda rudi usukumani ukachunge.
Duh
 
Bora kiroboto anaejitambua kuliko mfu anajitaparapa. Unatesekea kipi.?
Hahaha ukiona mfu anamtesa alie hai ujue alie hai ni hana kitu kutwa mzima mnashinda na marehem mafala kweli nyie
 

Kadiri ya andiko lako. Mwenye Shida Ni wewe. Hakuna mwenye Shida na mama Samia. Wewe unamiss marehemu waliomaliza zamu yao hapa duniani. Umekosa mada unakurupuka. Tulimpenda Rais JPM. Kaitwa kwa muumba. Sasa tunampenda Samia Rais wetu. Changamoto za uongozi lazima ziwepo kama changamoto za kifamilia. Sisi tumuunge mana mkono kwa kuchapa kazi mahali tulipo.

Fanya kazi ndugu Acha majungu. Hii mahaba na marehemu Ni dalili ya uchawi. Pole sana.
 
Sasa biashara ya Wanyamapori imeanza Jana au juzi?

Vitalu vya uwindaji wa kitalii huwa vipi Kwa ajili gani?

Mabucha ya Nyama pori yameanzishwa kwa ajili gani?

Uza hao wanyama kwanza wameshzidi wanaua Sana watu,maviboko,crocodiles,tembo nk wavunwe wapungue.
 
Nani shoga hapa kati ya mimi na wewe unaeleta vitu ambavyo havija andikwa hapa. Kama una sifa za kishoga ni wewe usilete humu. Jitambue mkuu. Ukiwa na ubongo wa kiasi kidogo hivyo hii dunia itakushinda rudi usukumani ukachunge.
Hahaha Limekupata Bwabwa Haha
 
Ukweli mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ