Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

Hapana Mke wangu JIKE SHUPA,Nilipo mkaza mama yako siku Ile ndo ikatokea hivyo!
Pole sana kwa Kuugua UKIMWI.

Screenshot_20250311-123534.jpg
 
😃😃😃😂😂yaani mechi ya yanga afu TFF waandae mgeni rasm?. Kweli wewe ni pure talented 🚶.
 
Hata aje Infantino na Trump na Yeyote unayemjua,
Hatuchezi.
Labda kama a declare yeye ndiyo aliwaambia Kolo wale kona.
Msipocheza ni swala rahisi tu,,,,,hatuwasumbui ila tunatuma TAKUKURU iichunguze taasisi yenu,,,,na tukiwa wakweli sijaona taasisi iliyonyooka nchi hii kwahiyo msijidanganye myapotea hatuji kuwaona kwenye ramani ya nchi hii😀😀😀SIMPLE MTU WANGU
 
Huchoki?

Jukwaa zima la michezo umejaza nyuzi zako za Kidwanzi,unaandika from morning to Night,Huchoki?

Huu muda wa kuandika Uduanzi kila wakati unautoa wapi?
Huyu jamaa Yuko na mental health
 
Msipocheza ni swala rahisi tu,,,,,hatuwasumbui ila tunatuma TAKUKURU iichunguze taasisi yenu,,,,na tukiwa wakweli sijaona taasisi iliyonyooka nchi hii kwahiyo msijidanganye myapotea hatuji kuwaona kwenye ramani ya nchi hii😀😀😀SIMPLE MTU WANGU
Maybe not Yanga
 
Kumuelewa GENTAMYCINE kunahitaji Akili iliyotimia na siyo Akili Nusu au isiyokuwepo kabisa Kichwani.
Mimi nimemuelewa Edo Kumwembe na makala yake

JICHO LA MWEWE: Wahuni wavaa suti na tai wanatuharibia mpira wetu​

https://www.mwanaspoti.co.tz/ms/kol...-suti-na-tai-wanatuharibia-mpira-wetu-4957412

Wavaa suti na tai wanataka kuitumia hii mechi kisiasa. Huenda maamuzi yote ya kuhairisha mechi yalipangwa kabla basi la Simba kwenda Benjamin Mkapa Stadium usiku.
 
Genta msahaulifu siku hizi.
2021 Yanga waligoma kubadili muda wa kucheza.
Ilisemekana wavaa suti walitaka muda usogezwe ili huyo mgeni rasmi mtarajiwa umsemae atoke kwenye uzinduzi wa kitabu Cha Mzee Mwinyi akahudhurie mechi.
Mbona waligoma? Unafikiri akina Mzee Mpili wa mchezo mchezo?
"Hatuchezi, hatuchezi,.." kwa sauti ya kibabu Cha Ikwiriri.
 
Hapo nikwamba viongozi wa uto watakutanishwa na mama samia kama ilivyokuwa sakata la fei.

Hapo viongozi wa uto wataufyata.
 
Hata aje Infantino na Trump na Yeyote unayemjua,
Hatuchezi.
Labda kama a declare yeye ndiyo aliwaambia Kolo wale kona.
Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.
 
Back
Top Bottom