felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.Labda mgeni rasmi awe Mungu mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.Labda mgeni rasmi awe Mungu mkuu!
Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.Mgeni Rasmi ata akiwa Motsepe iyo mechi labda mtacheza na Simba queens,,yanga aijawai kucheka na kima na nadhani kwenye vilabu vyenye msimamo hapa nchini yanga ndio wababe wa misimamo subilia utaona!
That fool wants to be a mbunge? Only a fool will vote for him. We know he wants for his selfish interests.Eng hersi anautaka ubunge wa kongwa na mama ndo anaidhinisha majina nani apite? Je huyo msomali anaweza kumdindia mama?
Panic attack..[emoji23]Ebu tuondolee hizi taka taka zako hapa,,jikite kwenye mada husika na sio porojo za kufikirika!
Nikweli alikutangulia kwa Baba yangu.,Then ukafuatia wewe Mama MdogoMama yako Mzazi akiwa wa Kwanza kutangulia 'Kukungútwa' huko.
Acha kuitwisha serikali uozo wenu🚮Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.
Huyo inaitwa ukisimama nchalet, ukiinama nchalet.Si wanajifanya wote Watoto wa Mjini sana na kutaka kuipelekesha TFF sasa Mchezo wao ujao Mgeni rasmi ni Rais Samia.
felakuti master!Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.
Hey fool, huna ubavu wa kuivimbia serikali.Acha kuitwisha serikali uozo wenu[emoji706]
Nakazia😆Hata aje Infantino na Trump na Yeyote unayemjua,
Hatuchezi.
Labda kama a declare yeye ndiyo aliwaambia Kolo wale kona.
Mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Yanga sasa punguzeni shobo ya kutafuta mgeni rasmi wakati mechi sio yenu.Si wanajifanya wote Watoto wa Mjini sana na kutaka kuipelekesha TFF sasa Mchezo wao ujao Mgeni rasmi ni Rais Samia.
Nakuhakikishia mtachezaHata aje Infantino na Trump na Yeyote unayemjua,
Hatuchezi.
Labda kama a declare yeye ndiyo aliwaambia Kolo wale kona.