Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

Haya chukueni hii ikiwa bado mbichi na mbaki nayo, kwani kwa aina ya Mgeni Rasmi aliyeandaliwa kwa Mchezo ujao hakuna wa Kuthubutu Kugoma / Kumgomea

Mgeni Rasmi ata akiwa Motsepe iyo mechi labda mtacheza na Simba queens,,yanga aijawai kucheka na kima na nadhani kwenye vilabu vyenye msimamo hapa nchini yanga ndio wababe wa misimamo subilia utaona!
Hahaha. Look at these fools. Tutaona kati yenu na serikali nani ndio mwenye nchi hii.
 
Eng hersi anautaka ubunge wa kongwa na mama ndo anaidhinisha majina nani apite? Je huyo msomali anaweza kumdindia mama?
That fool wants to be a mbunge? Only a fool will vote for him. We know he wants for his selfish interests.
 
Niliyasema haya mapema sana 😀😀, promo tutawapa kinamwijaku and the likes, asubuhi supu, mchana show moja ya kibabe jioni mbungi kama kawa kiingilio mbupu zako mbili tuu
 
Si wanajifanya wote Watoto wa Mjini sana na kutaka kuipelekesha TFF sasa Mchezo wao ujao Mgeni rasmi ni Rais Samia.
Mechi iliyopita mwenyeji alikuwa Yanga sasa punguzeni shobo ya kutafuta mgeni rasmi wakati mechi sio yenu.
 
Back
Top Bottom