Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

Nimecheka hiyo ya Wazi Mkuu kuwatimua wajumbe wa kamati ya uchunguzi.

Ama kweli kila mtanzania mwizi.!
 
ila mwisho wa siku msisahau kusema Ccm oyeee!
 
Kizazi cha nyoka:
Babu jizi
Baba haramia
Mtoto mwizi
Mjukuu kibaka
Kitukuu jambazi
Tulieni makomrade tumedanganywa kwa hila,pambaneni na hali zenu.
 
Ukimuuliza huyu kwanini ulifanya hivi atajibu niliambiwa na mkapa
Mwingine nae atamtaja jk
Mwingine atamtaja mang'ula
Mwingine atalalamika mbona magufuli hajaguswa.
 
hiyo number 02 nimecheka sana; yaani eti umuhoji PM aliyeko madarakani??? wewe nani?? lazima wanausalama wakutoe nduki
 
Na waliouziana nyumba za serikali kwa bei ya kutupa watajwe pia
 
Kweli hiki ni chama Cha chukua chako mapema usepe
 
Hakuna kitu wamemshindwa Chenge mna deal za maana wanamsakama Shaka
 
Wakati yule Dr Shika yeye anaigiza, wengine wanafanya ukweli ukweli.
 
Mi nasubiria Bashiru atekeleze hapa tu ndio nitaamini amedhamiria,
Otherwise nae anakua wale wale tu, Mikwara miingi kumbe hakuna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…