GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yule anabebeshwaga mengi sana.Uchokozi tu kwa msoga mwacheni ale penseni zake mmemsingizia sana kwa vitu vya uongo.
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Msoga ndiyo Mmiliki wa Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil? Acheni Kuwashwawashwa sawa?Uchokozi tu kwa msoga mwacheni ale penseni zake mmemsingizia sana kwa vitu vya uongo.
Katika Thread Content yangu kuna mahala nimesema Lake Oil ni ya Kikwete? Hivi kwanini huwa Mnawashwawashwa hivi?Nimesikia sana kuwa ni ya Kikwete SIOKWELI
Kwamba hakuwa FISADI / MWIZI au?Yule anabebeshwaga mengi sana.
Said Maulid Kalikuta (SMG) Mchezaji wa zamani wa Yanga SC.Na smg pia ya nani?
Nani hakua fisadi?Kwamba hakuwa FISADI / MWIZI au?
Huyo huyo.Said Maulid Kalikuta (SMG) Mchezaji wa zamani wa Yanga SC.
Na Watanzania je?Wakenya utajiri wa viongozi wao upo wazi
Halafu nasikia CEO wake ni Waziri Mmoja hivi Kijana alikuwa anakaimu mahala ila kwa sasa Kapandishwa na Mamito.Kwa sasa ni Lake Energies, hatari sana hawa jamaa. Nchi nzima wametapakaa. View attachment 3098276