Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Kyiv pekee kashindwa teketeza kila kitu ndo ataweza nchi zote zikiamua kila nchi ianze mrushia hawezi
 
Unaona akili zako ? Tuna ardhi tunauza chakula Kenya, Uganda, congo mpaka Rwanda afu tuwategemee kwa chakula? Una akili kweli? Nje na ngano ambayo ni dili la Ccm ni chakula gani kinatoka kwao?
Sijaongelea chakula mkuu tuombe Mungu isijeibuka. Vita ya 3
 
Aloweeehh[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kelele mtapiga wenyewe urusi anakimbiza kimya kimya
 
Punguza mapenzi na Russia! Russia anaweza kuipiga Ulaya nzima kweli?? Ana nguvu gani hizo?? Okay tusema sawa,anaweza ipiga! Then unadhan baada ya vita hii Russia ya sasa hivi itakua na nguvu gani tena?? Hebu weka mahaba pembeni! Generals waliopo huko Moscow, London, Pentagon na Tel Aviv ndiyo wawe hawajui,ila wewe mmatumbi wa huko Utete Lufiji ndiyo uwe unajua sana! Hapana,tusiwe brainwashed namna hiyo! Asante
 
Waue raia wote? Hapana, operation itaenda slow but sure. Yote ni kuepuka madhara kwa raia wasio na hatia.
 
Hata akipigwa poland hapo hakuna member wa nato atakayekuwa tayari kupigana na russia.....wanaogopa firework za motherland

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Ameshatumia laser weapons, hypersonic missiles n.k zote hizi ni silaha za kisasa katika ulimwengu huu. Bado wanaendelea kumsoma tu.
Ukizingatia kwa taarifa zao western ni kuwa russia yupo ahead of then kwenye suala la missiles na electronic warfare....hell! Hata iran anauweza sana huo mchezo wa kujam system za usa na ndio maana alihack drone ya usa

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Kilichopelekea roma kuanguka ndio kinaikumba sasa usa
Ushoga
Currency manipulation
Empire overextenstion
Wars


Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Jambo usilolijua EU ni ushirika au shirikisho la kiuchumi.

Siyo mambo ya kijeshi na kisiasa.
NATO ndiyo military alliance. Members wa EU hawana mandate ya kumshambulia kijeshi yeyote aliyemshambulia member mwenzao.
Ila member wa wa NATO kwa mujibu wa makubaliano yao anawajibika kuingilia kati kumsaidia member mwenzie wa NATO kijeshi.

Maneno machache yenye ujumbe mzito. Usiweke ushabiki wa kisiasa kwenye mambo makubwa usiyo yajuwa.
 
Kama nato wanataka kupigana na russia ni vema wawe na supply ya kutosha ya diaper sab haitachukua muda kugundua kuwa kumbe russia sio libya au iraq pale icbm zitakapo anza kusherehesha anga la nato hasa nchi za ulaya

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…