Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Jita ukiwa na ugomvi nae ndugu wote wanakugeuka hata kama uliwasaidia wanaujuaji mwingi lkn for nothing,

Kule ujita single maza ndio kwenyewe.
Hawa Wajita wasenge sana kuna kipind mama yangu marehemu alikuwa anaumwa kuna mjita single maza kapanga kwetu s anadaiwa kodi afu akaanza kumtukana maza kweny hali ya Ugonjwa niliwaka kichizi nilikuwa sijawah kuingilia maswala ya upangaji nilikuwa 17 years old Ila Ile siku nikamwambia ahame🤣na notice nkampa ***** wajita
 
Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
kuna saluni ya kike nilikuwa na kazi hapo, wenye saluni ni mabinti wa kisukuma, mzee nikaona nimepata fursa ya kupata pisi ya kisukuma, wakaniambia ni wanyantuzu waliokulia mjini. Mapigo ya pamba zao yalinikimbiza na kujiuliza lini wasukuma nao wameanza kuvaa vile?
 
Kuna mmoja ameni block Wana hasira Kali sanaa...

Kuna business tulikua tunafanya mzigo sikua nao nikafanya kumtafutia tafutia..

Akanipigia simu ananifokea na kunigombeza nikamsikilizaa nikamwaambia umemaliza TAFUTA MTU WA KUMPELEKESHA ILA SIO MIMI.
 
Wamasai wanakubali uke wenza
Na manyanyaso
Ndo maana ni wachache wamasai wako single
Nilipata mmasai mmoja akawa ananipa na hela kabsa Yan demu unaenda nae sehemu kama ni hotelini siku labda Niko vibaya anatoa hela kisiri siri ananipa nilipie bill Ila chief mm yakulelewa siyawezi napenda mwanamke awe chini yangu Nikampga chini
 
Ndio maana niliwahi kuwaambia njooni muoe huku mikoa ya huku kwetu kuko vizuri sana...
 
Pepo huyo si Mke 😅

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hongera sana mkuu.
Mi pia ninaye mmoja hapa pembeni yangu.
Wanawake wa kijaluo huwa hawana mawenge.
Ni watulivu, wavumilivu na wanajua kutunza ndoa, familia na ndugu wanaokuhusu.
Wajaluo wagawaji sana na wanatabia ya kutembea na ndugu wa ukoo
 
Kabila langu limo limeorodheshwa kwenye orodha hii sina nongwa naunga mkono hoja ndivyo walivyo, single mother wamekuwa wengi mno
 
Kabila lingine wagogo, aisee nenda vijiji vya Dom kila dem kazaa ila yupo tu anadunda mtaani hana hili wala lilew

Kwa upande wa wamakonde huwa mnawaonea tu kwa kutojua.

Mtu yoyote anayetoka kusini huwa anahesabika ni mmakonde.

Ila kule kuna wamwera, wayao, wamakua nk ambao ni namba chafu kuliko wamakonde
Hata znz yyte anaetoka bara ni mnyamwez
 
Hali ni tete kwa kweli, nakutana na vitoto vingi vya singo mamaz vinaniita baba, havijawahi kuona baba zao orijino mpaka vinatia huruma. Inabidi u act tu kama baba yake ili mtoto ajisikie raha kaona baba
Sema mwanangu mm nafikiri kama dawa ya kurusi ni kurusi pia dawa ya hayo makabila waoane wao kwa wao
 
Kwahiyo mtotk mtoto akipatikana nje ya ndoa anakua haramu jamii famili inamtenga kwenye haki zake kama mtoto mfano kama ana ndugu zake waliozaliwa ndani ya ndoa wanakua wanajaliwa zaidi na kupendwa kuliko yeye ?
mtoto ni mtoto tu haijalishi kazaliwa nje au ndani ya ndoa ana haki ya kupata mgao wa mali za baba yake. ni mitazamo ya kishenzi kubagua watoto wakati baba yao ni mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…