Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Wanaunafiki wa kidini sana
 
Tafadhali,wakati tunaendelea na mjadala huu naomba nisaidie kupiga kura hapa ili utafiti wangu ukamilike .asante

 
Mabinti wa Songea (wangoni) na kuzalia home ni kama wanashindana
 
Kifupi kijana majini ukikutana na msichana mrembo, kwa bahati nzuri ukasikia anasalimiana kwenye simu na ndugu zake ukasikia neno " Yego" Wacha mawe" Cha tata Kimbia ufe hao wanawezana wenyewe kwa wenyewe tuu, tena ukute anasali siku ya jumamosi😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…