TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #321
Being pregnated isn’t a case but why you have been pregnated unnecessary,Kuna aina gani nyingine? Mimba walijipa wenyewe?
Yeah mama wa mwanangu ni mjita alikuwa akikwaruzana na bro wake mostly akawa analalamika nikawa nampa muongozo nini chakufanya,baba yao anawatoto wakubwa kwa mama mwingine hawaelewani mazimaWale malezi kwao ni vita tu🤣 yani utata mwanzo mwisho ndio maana end product huwa hivyo hivyo.
Huu ni uwongo mtupu. Wanawake wote duniani sio wife material...wangekuwa wife material wanaume tusingechepuka
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Urudi naye kutoka huko ulikomimi wanawake wa kibena nawapenda sana. ndoto yangu kuoa huku wa kumaliza naye maisha yaliyobaki nikirejea bongoland
Mjita aoane na mjita mwenzake hiyo ngoma itapigika na watawezana, kama ni tofauti na hapo mwingine atapata tabu sana. Ile Ego huwa ipo juu sana.Wajita sio wabinafsi ila ni wakorofi na madharau kibao akipata Tsh 2
Sasa Mimi nimezungumzia single mama na sio wife material mkuuHuu ni uwongo mtupu. Wanawake wote duniani sio wife material...wangekuwa wife material wanaume tusingechepuka
Watu wa iringa haomimi wanawake wa kibena nawapenda sana. ndoto yangu kuoa huku wa kumaliza naye maisha yaliyobaki nikirejea bongoland
Yaliyowakuta rfk zangu wawili hatari mmoja hadi akachanyikiwa na kazi kafukuzwa mwingine yupo analewa chochote kipitacho mbele yakeDah! Ume bold kabisa
Being pregnated isn’t a case but why you have been pregnated unnecessary,
Though their are some dumbest men who are not committed for a pregnancy they had offered.
Most of women are victims just because of being much knowing and lifestyle copying from their neighbours.
I am a father of a kid of a certain single mama,though she was rude nothing bad I had decided to do against her,I used to shut up my mouth,and came back at home late,at the end of the moment she ruined away from home with every thing while I was not around just neighbours informed me that.
Then how you can blame a man in a similar situation as this comrade?
Wajita sio wabinafsi ila ni wakorofi na madharau kibao akipata Tsh
Then why women associated with those tribes leads in having single mothers?, that is our main topic,over.You sound slow. What does that have anything to do with makabila? Nyie wote mlikutana kama pipa na mfuniko.
90% ya single mothers ni sababu wanaume wamekimbia majukumu yao wakati mama hawezi kimbia mwanae kamwe. UKilala na mtu na huna mpango wa kulea mtoto hapo tatizo ni wewe sio mama aliyebeba mimba na asiyeweza mkimbia mwanae. Wanaume shallow mind can't fathom this
HeeeYaliyowakuta rfk zangu wawili hatari mmoja hadi akachanyikiwa na kazi kafukuzwa mwingine yupo analewa chochote kipitacho mbele yake
Some how?Wajita sio wabinafsi ila ni wakorofi na madharau kibao akipata Tsh
Mkuu asili haibadiliki mfano Leo ety wasukuma ututoe kwenyeHivi vitu havina tija kwasasa mambo yamebadilika sana kwenye makabila
Watu hawajui namna gani Asili ina nguvu kwa wengi wao.Mkuu asili haibadiliki mfano Leo ety wasukuma ututoe kwenye
Washamba
Haya nenda katunukiwe udaktari wa heshima kwa utafiti wako huu makini.
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Mkuu wapo wasukuma wajanja kibao, watu wana exposure ya kutosha, hizi sio zama zile kuangalia sinema mpaka kijiji kikusanyweMkuu asili haibadiliki mfano Leo ety wasukuma ututoe kwenye
Washamba
Ni imani za kipuuzi zilizo pitwa na wakati , hakuna kitu inaitwa asili, binadamu ni mtu wa kubadilikaWatu hawajui namna gani Asili ina nguvu kwa wengi wao.
Mjita atawaliki