Hii mada inafikirisha sana nilkutana na Warangi familia moja watatu wote single maza🤔ukiacha wachaga elimu zao kubwa hayo makabila ni darasa la saba
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Wanaume na wanawake wote wana midomo kama wazaramoVipi hawa watoto wa Lushoto, usambaani huko milimani!
Waha na Wajita wao ujuaji hawataki kuelekezwaWaha nimeishi nao, Wana ubaguzi, ubinafsi na dharau kupita wahaya
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Huyo ni bora ana Whatsapp. Asingekuwa na WhatsApp, jamaa angekuwa na kazi ya kufatwa hata kazini. 😂Huwa namuona Mode, akikosana na bwana wake anakuja status kumchamba
This is fake kabisa
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Mkuu usitafute mke kwa urembo.Mkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
😂😂 Kaka ni shughuli. Omba usimeet na mwanamke kama huyo.Wana midomo hao utafikiri wanapuliza moto 😄 🤣 😂 😆
jirani yangu ni mke wa mtu mama wa kihehe, ananiambia nikaoe uheheni ni wife material, nitamshukuruHongera sana kupata wife uheheni..huko kwetu dada zangu huwa wanaheshimu sana ndoa..Ila usiwatibue utakaa nao sana maana ni wapole na wana Utu.
Hii comment iwekewe lamination..sipendi kueleza what's happening to me.nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Asee nipe basi mhehe mmoja nioe tafadhalijirani yangu ni mke wa mtu mama wa kihehe, ananiambia nikaoe uheheni ni wife material, nitamshukuru
Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajuaMkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
sahihi jumlisha na wabende wako katavi pia, hawa kila mtoto ana babake na hawana tabuOngeza na wakonongo wa katavi
Bro/mkubwa/father naomba nikwambie kitu wanasema wengi wape wachache wanyime hapa aslimia kubwa ya watu wamepondea hayo makabila na sio kwamba wamezaliwa familia moja kwo kuna ukweliUsioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Hv hawa wakonongo s ndio kina mandojosahihi jumlisha na wabende wako katavi pia, hawa kila mtoto ana babake na hawana tabu
Bro/mkubwa/father naomba nikwambie kitu wanasema wengi wape wachache wanyime hapa aslimia kubwa ya watu wamepondea hayo makabila na sio kwamba wamezaliwa familia mojaUsioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Yataje mkuu ndio maana ya discussionHii orodha kuna makabila yameachwa nayo ni radical kwa usingo mama