Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')

Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
R.i.p complex na vivi

Ova
 
B LOVE M (Banana Zorro na Masiga) - Hawa nadhani walikuwa miongoni ma makundi (duo) machache ya RnB. Lingine la RnB nalokumbuka na Unique Sisters.
 
AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')

Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
Complex alikuwa balaa... Yule jamaa angekuwepo till today, muziki wake ungekuwa mbali sana.... Collaboration zake na AY ilikuwa fire...
 
Complex alikuwa balaa... Yule jamaa angekuwepo till today, muziki wake ungekuwa mbali sana.... Collaboration zake na AY ilikuwa fire...
Kabisa mkuu. Kuna wimbo wa Profesa Jay alimshirikisha AY- humo AY aliimba 'AY na Jay ni kama Snoop Dogg na Dr. Dre'. Snoop na Dre nao hawakuwa kundi ila walipiga collabo kali. Binafsi nilimpinga AY hapa. Kwangu AY na COMPLEX ndio walikuwa kama Snoop na Dre.
 
Kuna hili kundi lilikuwa linaitwa MAMBO POA jamaa walikuwa watatu John mjema, Spider na marehemu Steve 2K.

Enjoy nyimbo yao ya kasuku hapo chini
 
Kabisa mkuu. Kuna wimbo wa Profesa Jay alimshirikisha AY- humo AY aliimba 'AY na Jay ni kama Snoop Dogg na Dr. Dre'. Snoop na Dre nao hawakuwa kundi ila walipiga collabo kali. Binafsi nilimpinga AY hapa. Kwangu AY na COMPLEX ndio walikuwa kama Snoop na Dre.
Alikuwa mwana mmoja very cool
Alikuwa aegies rec

Ova
 
Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu kwa muda mrefu,walikusudia kuifanya Tanzania kuwa "Taifa la hip hop’’, vijana kuondokana na maisha ya mtaani.

Haya ni baadhi makundi ambayo yalifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuukuza muziki wetu na kuacha alama mpaka sasa.

1. Kwanza Unit (KU Creaw).

Kwanza Unit lilikuwa kundi la mwanzo kabisa la muziki wa hip hop na lilianzishwa mwaka 1990, liliundwa kutokana na muunganiko wa makundi matatu, KBC, Eazy-B, Fresh-G na D-Rob ni baadhi ya wasanii wa KUC ambapo awali walikuwa wana-rap kwa kiingereza lakini baadae walibadilika na kutumia Kiswahili.

2. Gangwe Mobb.

Temeke Mikoroshini ndiko maskani ya kundi hili yalipatikana na lilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 90 punde baada ya Kwanza Unit, Mr. II na wengineo kuchangia muziki wa hip hop wa Kiswahili nchini kujipatia umaarufu, huku Inspector Haroun na Luteni Karama ndio walikuwa wanakikundi.

3. Hard Blasters.

Ujumbe wao kupitia muziki ulibadilisha mtazamo wa jamii na kuamini kuwa kufanya muziki sio uhuni ni ajira/kazi.
Fanani, Crazy One, Professor Jay, KC1, Trigger F na Tuff Jam waliunda kundi hilo na waliachia album kadhaa “Funga kazi, Tuko nyuma kimaendeleo nakadhalika

4. TMK Wanaume Family.

Ni moja ya kundi lililoleta mapinduzi makubwa kwenye muziki wa kizazi kipya tangu kuanzishwa kwake Septemba 16, 2002 mjini Mwanza, wakati wa uzinduzi wa album ya Juma Nature ‘’Ugali’’ mpaka sasa limejijengea umaarufu mkubwa kutokana na mtindo wao wa kucheza ujulikanao ‘Mapanga’.

5. Chemba Squard.

Hili ni miongoni mwa makundi yaliyokuwa na wasanii wenye vipaji na uwezo wa hali ya juu sana tangu walipoingia rasmi sokoni mwaka 2000, liliundwa na Noorah (Baba Stylz), Dark Master, The late Mez B na Mangwair, wote walikuta shule ya Sekondari Mazengo Dodoma.

6. East Coast Team.

Linaundwa na wasanii Ay, Mwana FA na Crazy GK ambao walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuleta mabadiliko kwenye game kuwa ya kisasa zaidi, makazi yake ni Upanga mashariki.

Yapo mengi sana wahenga wenzangu mnaweza kuendelea kuyataja karibuni sana wahenga.
Kuna wa zamani zaidi ya hayo makundi, wanaitwa WEUSI WAGUMU ASILIA (WWA)
 
Wale mabaga na ule ulemavu wao lakini walikuwa wakikutana na demu. Lazima huyo demu anye au afe nusu maana vile viuno vyao ni zaidi ya machine
Aisee [emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu kwa muda mrefu,walikusudia kuifanya Tanzania kuwa "Taifa la hip hop’’, vijana kuondokana na maisha ya mtaani.

Haya ni baadhi makundi ambayo yalifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuukuza muziki wetu na kuacha alama mpaka sasa.

1. Kwanza Unit (KU Creaw).

Kwanza Unit lilikuwa kundi la mwanzo kabisa la muziki wa hip hop na lilianzishwa mwaka 1990, liliundwa kutokana na muunganiko wa makundi matatu, KBC, Eazy-B, Fresh-G na D-Rob ni baadhi ya wasanii wa KUC ambapo awali walikuwa wana-rap kwa kiingereza lakini baadae walibadilika na kutumia Kiswahili.

2. Gangwe Mobb.

Temeke Mikoroshini ndiko maskani ya kundi hili yalipatikana na lilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 90 punde baada ya Kwanza Unit, Mr. II na wengineo kuchangia muziki wa hip hop wa Kiswahili nchini kujipatia umaarufu, huku Inspector Haroun na Luteni Karama ndio walikuwa wanakikundi.

3. Hard Blasters.

Ujumbe wao kupitia muziki ulibadilisha mtazamo wa jamii na kuamini kuwa kufanya muziki sio uhuni ni ajira/kazi.
Fanani, Crazy One, Professor Jay, KC1, Trigger F na Tuff Jam waliunda kundi hilo na waliachia album kadhaa “Funga kazi, Tuko nyuma kimaendeleo nakadhalika

4. TMK Wanaume Family.

Ni moja ya kundi lililoleta mapinduzi makubwa kwenye muziki wa kizazi kipya tangu kuanzishwa kwake Septemba 16, 2002 mjini Mwanza, wakati wa uzinduzi wa album ya Juma Nature ‘’Ugali’’ mpaka sasa limejijengea umaarufu mkubwa kutokana na mtindo wao wa kucheza ujulikanao ‘Mapanga’.

5. Chemba Squard.

Hili ni miongoni mwa makundi yaliyokuwa na wasanii wenye vipaji na uwezo wa hali ya juu sana tangu walipoingia rasmi sokoni mwaka 2000, liliundwa na Noorah (Baba Stylz), Dark Master, The late Mez B na Mangwair, wote walikuta shule ya Sekondari Mazengo Dodoma.

6. East Coast Team.

Linaundwa na wasanii Ay, Mwana FA na Crazy GK ambao walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuleta mabadiliko kwenye game kuwa ya kisasa zaidi, makazi yake ni Upanga mashariki.

Yapo mengi sana wahenga wenzangu mnaweza kuendelea kuyataja karibuni sana wahenga.
Enzi hizo ni "2 Proud" aka Mr II aka Sugu ndiye alikuwa mbishi hakutaka kujiunga na makundi
 
Usinione mimi mwembamba ukadhani mi mgonjwa...nilikuwa bwanyenye..

Huyo alikuwa kundi gani kipindi ile...
 
Back
Top Bottom