Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pina&hashim dogo na wengine majina yamenitoka.Kikosi cha Mizinga lilikuwa na akina nani?
Nimekumbuka bifu ya gangwe mob na mabaga fresh.Usawa ni mgumu hata ukivuta ndumu (yeaah)
Ikizidi sana ujue utakunywa sumu (yeaah)
Eee ngangari
waah waah
watu kumbe ngangari
wansegeju...
Gangwe Mobb - Ngangari
View attachment 1783458
Hawa jamaa kweli zaidi ya 60% walichokuwa wanaimba nilikuwa sielewi. Sijui walikuwa wanaimba kiswahili na kilugha? 😀
Manduli Mob - wazee wa 'masikini jeuri tumeshadata...'Lile kundi alilotokea Temba liliitwaje vile?
Manduli Mobb ft Juma Nature - Maskini JeuriLile kundi alilotokea Temba liliitwaje vile?
Dah! We jamaa uko detailed kinyama!Manduli Mob - wazee wa 'masikini jeuri tumeshadata...'
Taifa la bongo,AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')
Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
Bongo Town Clan FT. Noorah , Suma Lee - Taifa la BongoTaifa la bongo,
Kuna Norah, suma lee, complex na huyo mturuki, ni bonge la ngoma
Mmuu unaweza kunikumbusha majina ya hili kundi na wako wapi.Kamanda ya Daz Nundaz [emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 1782453
Hii itakua kali p kwenye ngoma yake ya imekaa vibayaUsinione mimi mwembamba ukadhani mi mgonjwa...nilikuwa bwanyenye..
Huyo alikuwa kundi gani kipindi ile...
Wale wapemba walikua wazuri sema yule white aliharibu kundi.Kuna kundi walikuwepo Suma Lee na marehemu CPwaa linaitwa Pack Lane.
2Berry wale wapemba wa Chakechake
Pimbi kweli yuleWale wapemba walikua wazuri sema yule white aliharibu kundi.
Kwenye msafara wa mamba.................Kundi Bongo ni Moja tu WCB
1) Nasseb Salum Nyange
2) Raymond Mwakyusa
3) Mbwana Kilungi
4) Zuhura Othman Soud
5) Abdul Juma Idd
6) Mwanahawa Abdul
Bonus
- Hamisi Shabani Taletale
- Said Khalfan Mlinge
- Ashraf Lukamba
Daz MwalimuMmuu unaweza kunikumbusha majina ya hili kundi na wako wapi.