Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Usawa ni mgumu hata ukivuta ndumu (yeaah)
Ikizidi sana ujue utakunywa sumu (yeaah)
Eee ngangari
waah waah
watu kumbe ngangari
wansegeju...

Gangwe Mobb - Ngangari



Hawa jamaa kweli zaidi ya 60% walichokuwa wanaimba nilikuwa sielewi. Sijui walikuwa wanaimba kiswahili na kilugha? 😀
 
Usawa ni mgumu hata ukivuta ndumu (yeaah)
Ikizidi sana ujue utakunywa sumu (yeaah)
Eee ngangari
waah waah
watu kumbe ngangari
wansegeju...

Gangwe Mobb - Ngangari

View attachment 1783458

Hawa jamaa kweli zaidi ya 60% walichokuwa wanaimba nilikuwa sielewi. Sijui walikuwa wanaimba kiswahili na kilugha? 😀
Nimekumbuka bifu ya gangwe mob na mabaga fresh.

“Mabaga fresh tupo kamili mtu mbili kama milioni mbili”
 
AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')

Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
Taifa la bongo,
Kuna Norah, suma lee, complex na huyo mturuki, ni bonge la ngoma
 
Taifa la bongo,
Kuna Norah, suma lee, complex na huyo mturuki, ni bonge la ngoma
Bongo Town Clan FT. Noorah , Suma Lee - Taifa la Bongo
Niliona nisibaki nyuma niusake mpaka niupate. Nauweka hapa kwa faida ya wengine pia
 
Kundi Bongo ni Moja tu WCB
1) Nasseb Salum Nyange
2) Raymond Mwakyusa
3) Mbwana Kilungi
4) Zuhura Othman Soud
5) Abdul Juma Idd
6) Mwanahawa Abdul

Bonus
  • Hamisi Shabani Taletale
  • Said Khalfan Mlinge
  • Ashraf Lukamba
 
Kundi Bongo ni Moja tu WCB
1) Nasseb Salum Nyange
2) Raymond Mwakyusa
3) Mbwana Kilungi
4) Zuhura Othman Soud
5) Abdul Juma Idd
6) Mwanahawa Abdul

Bonus
  • Hamisi Shabani Taletale
  • Said Khalfan Mlinge
  • Ashraf Lukamba
Kwenye msafara wa mamba.................
 
Zamani watu waliimba nyimbo zenye maana tupu.
Kuna moja ya dokta john na mkoloni inaitw mganga naikubali sana mixer uongo humo.
 
Back
Top Bottom