Haya mambo yanawezekana, kama mimi nina zaidi ya 100 milioni kwenye akauti wewe unashindwa nini? Tena nina miaka 27

Haya mambo yanawezekana, kama mimi nina zaidi ya 100 milioni kwenye akauti wewe unashindwa nini? Tena nina miaka 27

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Vijana pesa zipo aisee ila hizo pesa ili uzipate unatakiwa kufanya kazi ila kama ukiwa mchele mchele na mpenda starehe utashikishwa ukuta kwa uvivu wakuu ila ukifanya kazi kwa bidii pesa utazipata wakuu.

Firiki mimi kwa sasa nina miaka 27 tu ila kwenye akauti nina zaidi ya milioni 100 wewe mwenzangu kijana utashindwaje? As long as tokeni hapo masikani mkapige kazi hata za kutoa visiki kwwnye shamba langu nawakaribisha.

Sasa ubaya nyie vijana mnaongoza kwa unafiki,majungu,chuki na uzandiki usio na maana ila mkiachana hivyo tu mtatoboa vijana mnashinda.kutwa kijiweni kuwaongelea watu na kuwapiga majungu tu huo.ni ujinga na upuuzi mtupu aisee.

Yaani chuki, majungu na uzandiki.haikufanyi wewe pesa zangu zije kwako! Mtakalia majungu hao hao mje mfe masikini aisee! Poleni kwa umasikini na ufukara vijana wenzangu.

Nakaribisha makasiriko, majungu, chuki, uzandiki na maumivu, karibuni.
 
Nakupongeza sana ila tahadhari kubwa ni moja; bado hela huna. Hata hivyo una hela iwapo tu utaweza kui-invest kwenye biashara nzuri au kwenye real estate. Ukiizalisha vizuri, una mtaji mzuri sana.

Otherwise usipokuwa makini, naomba niku-discourage kwa kukuambia kwamba huna hela. Angalau billion 1 kwa kijana kama wewe, ndiyo unaweza ukasema kuwa una hela
 
[emoji478][emoji478][emoji478][emoji478]
FB_IMG_1689244373343.jpg
 
Ka
Nakupongeza sana ila tahadhari kubwa ni moja; bado hela huna. Hata hivyo una hela iwapo tu utaweza kui-invest kwenye biashara nzuri au kwenye real estate. Ukiizalisha vizuri, una mtaji mzuri sana.

Otherwise usipokuwa makini, naomba niku-discourage kwa kukuambia kwamba huna hela. Angalau billion 1 kwa kijana kama wewe, ndiyo unaweza ukasema kuwa una hela
Karibu vijana wa makasiriko
 
Vijana pesa zipo aisee ila hizo pesa ili uzipate unatakiwa kufanya kazi ila kama ukiwa mchele mchele na mpenda starehe utashikishwa ukuta kwa uvivu wakuu ila ukifanya kazi kwa bidii pesa utazipata wakuu.

Firiki mimi kwa sasa nina miaka 27 tu ila kwenye akauti nina zaidi ya milioni 100 wewe mwenzangu kijana utashindwaje? As long as tokeni hapo masikani mkapige kazi hata za kutoa visiki kwwnye shamba langu nawakaribisha.

Sasa ubaya nyie vijana mnaongoza kwa unafiki,majungu,chuki na uzandiki usio na maana ila mkiachana hivyo tu mtatoboa vijana mnashinda.kutwa kijiweni kuwaongelea watu na kuwapiga majungu tu huo.ni ujinga na upuuzi mtupu aisee.

Yaani chuki, majungu na uzandiki.haikufanyi wewe pesa zangu zije kwako! Mtakalia majungu hao hao mje mfe masikini aisee! Poleni kwa umasikini na ufukara vijana wenzangu.

Nakaribisha makasiriko, majungu, chuki, uzandiki na maumivu, karibuni.
Nimeamua kuwaza in term of DOLLAR.

100M Tsh ni sawa na dola kama 40,000.

SIna maana ya kumpinga mtoa mada,nampongeza kwa pesa hizo kwani wengi hawajapata.

Big up sana mtoa mada
 
Bila a
Nimeamua kuwaza in term of DOLLAR.

100M Tsh ni sawa na dola kama 40,000.

SIna maana ya kumpinga mtoa mada,nampongeza kwa pesa hizo kwani wengi hawajapata.

Big up sana mtoa mada
Shaka unaishi abroad mkuu? Naona hauna makasiriko kama vijana wanaoishi hapa hapa Tandale kwa mtogole
 
Ka
Karibu vijana wa makasiriko
Ninakupa challenge nzuri kwa sababu ninaona una mtaji mzuri mno ambao unaweza kukusaidia kupata pesa nzuri. Kwa sasa una mtaji mzuri ila huna pesa nzuri

Huo mtaji hata ukiamua uukuze hadi ufikie billion 1, unaweza na unatosha kabisa

Otherwise kama hauna muda wa kufanya biashara, idea ya kuzi-invest kwenye real estate ni superb
Nakutakia mafanikio mema, hongera sana
 
Vijana pesa zipo aisee ila hizo pesa ili uzipate unatakiwa kufanya kazi ila kama ukiwa mchele mchele na mpenda starehe utashikishwa ukuta kwa uvivu wakuu ila ukifanya kazi kwa bidii pesa utazipata wakuuu

Firiki mimi kwa sasa nina miaka 27 tu ila kwenye akauti nina zaidi ya milioni 100 wewe mwenzangu kijana utashindwaje? As long as tokeni hapo masikani mkapige kazi hata za kutoa visiki kwwnye shamba langu nawakaribisha

Sasa ubaya nyie vijana mnaongoza kwa unafiki,majungu,chuki na uzandiki usio na maana ila mkiachana hivyo tu mtatoboa vijana mnashinda.kutwa kijiweni kuwaongelea watu na kuwapiga majungu tu huo.ni ujinga na upuuzi mtupu aisee

Yaani chuki,majungu na uzandiki.haikufanyi wewe pesa zangu zije kwako! Mtakalia majungu hao hao mje mfe masikini aisee! Poleni kwa umasikini na ufukara vijana wwnzangu

Nakaribisha makasiriko,majungu,chuki,uzandiki na maumivu,karibuni
Pesa ya rushwa,ujambazi na ushirikina
haijawahi kuwa halali hata ingekuwa bilioni ngapi.
Sijawahi ona mwenye biashara halali au mwenye kazi nzuri inayomuingizia mamilioni
ya pesa anakasirikiwa au kuchukiwa. Na ukichukiwa Mungu aliyekutajirisha atakupigania.

Matajiri wengi wa kiafrika utajiri wao ni wa kimagumashi ndo maana wanakuwa na hofu
ya kuchukiwa. Wengi wanajificha kwa kuwaambia wenzao wachape kazi ndo watatoboa bila kutaja aina ya kazi za kuchapa na unazichapia wapi.Ni wafanya biashara wangapi wamefunga biashara zao baada ya kulipishwa kodi inavyostahili? kabla ya hapo msemo wa huwezi kutajirika kwa kuajiriwa ulitamaraki.

Siungi mkono huu msemo wa ukichapa kazi utakuwa na mahela mengi kwenye akaunti yako,
bali naamini ukichapa kazi unajitegemea badala ya kuwa tegemezi.

Mabilioni aliyoyataja CAG kwenye ripoti yake kwamba yamepotea,je ni kweli yameenda
hewani au yapo kwenye akaunti za watu?
Ukitaka kuitwa mzandiki uliza swali la namna hii.
 
Ninakupa challenge nzuri kwa sababu ninaona una mtaji mzuri mno ambao unaweza kukusaidia kupata pesa nzuri. Kwa sasa una mtaji mzuri ila huna pesa nzuri

Huo mtaji hata ukiamua uukuze hadi ufikie billion 1, unaweza na unatosha kabisa

Otherwise kama hauna muda wa kufanya biashara, idea ya kuzi-invest kwenye real estate ni superb
Nakutakia mafanikio mema, hongera sana

Ungempa idea ya kuongeza hiyo pesa ifikie hiko kiasi ingemsaidia sana kiongozi.
 
Back
Top Bottom