cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Kama hukupata fursa ya kuuliza maswali ukiwa darasani jutahidi urudi shule ukaelimishwe, usitupotezee mda.
Kumbe na wewe kichwa maji tu husomi kwa kuelewa kama unawashiwa moto stupidy kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hukupata fursa ya kuuliza maswali ukiwa darasani jutahidi urudi shule ukaelimishwe, usitupotezee mda.
Kumbe na wewe kichwa maji tu husomi kwa kuelewa kama unawashiwa moto stupidy kabisa
Kafika huku masta nlitaka kusema hivyo hivyoCHIEF GODLOVE naona umeona ujiweke wazi JF sasa ,karibu sana tajiri vimbao
Nlitaka kusema hivyo hivyoHuu ni mwandiko wa @chiefgodlove kabisaa!
Mimi mtazamaji tu!
15yrs?? 1 billion??Mimi hata shule sikwenda kabisa, ila kwenye akaunti yangu nina 1 Billion. Umri wangu ni miaka 15.
Hiyo hela haijafika hata $40,000.Nakupongeza sana ila tahadhari kubwa ni moja; bado hela huna. Hata hivyo una hela iwapo tu utaweza kui-invest kwenye biashara nzuri au kwenye real estate. Ukiizalisha vizuri, una mtaji mzuri sana.
Otherwise usipokuwa makini, naomba niku-discourage kwa kukuambia kwamba huna hela. Angalau billion 1 kwa kijana kama wewe, ndiyo unaweza ukasema kuwa una hela
Hela nzuri hapo haipo, isipokuwa kuna mtaji mzuriHiyo hela haijafika hata $40,000.
Mwaka 2012 nilikuja likizo ya wiki tatu Tanzania, peke yangu, nikatumia $20,000. Na hapo ni kwa sababu sikupata muda wa kuzunguka kwenye mbuga na vivutio vya watalii, nilikuwa nimebanwa na shughuli za familia.
Hiyo hela inaweza kuonekana hela kubwa kama unatoka kwenye umasikini tu.
Halafu point yako ya ku invest na kuzungusha hela ni muhimu sana. Unavyoweza kuizungusha na kuiongeza hela ni muhimu kuliko wingi wa hiyo hela.
Sawa, asante, nawashiwa moto na ni stupidy, na wewe ni tajiri. Nenda kasimamie miradi tajiri yetu.
Huu ni mwandiko wa @chiefgodlove kabisaa!
Mimi mtazamaji tu!
Unamaanisha aje akufire? Enyi kizazi cha sodoma,hamuoni haya kuliendea jambo hili lenye kuchukiza? Toshekeni ni wanawake wenuZipo
Njoo tutest show