Haya mazungumzo ndio ya kumkamata Slaa?!! Mbowe kweli anapewa msaada na dola kubaki CHADEMA?!! Mbowe aaminiwe ama amegeuka kua dalali wa watawala?!

CCM janja janja sana wamechonganisha Kisha wao wako pembeni, wanakula haruwa na kashata. Hizi akili wangekuwa wanatumia Kwa maendeleo ya nchi hii, SGR isingezima kisa umeme kukatika, upungufu wa ajira rasmi ungekuwa chini ya 1%, na sisi tungekuwa tayari tumetuma chombo Kwenye lunar surface.
 
Umepiga pale pale kwenye mshono
 

Attachments

  • IMG-20241214-WA0050.jpg
    9.9 KB · Views: 2
Hapana,wamuhurumie mzee kachoka sana kiafya,
Slaa sijui anatafuta nini?
Alijiondoa mwenyewe Chadema mchana kweupe akakimbilia CCM baada ya kuenguliwa kugombea uraisi.
Aliporejea kwao CCM wakambatiza upya Balozi Sweden.
Na pale walipoamua kumpumzisha kazi hiyo akawasemea mbovu nao wakakata mzizi wa fitina wakampoka title ya kuitwa Ambassador.
Dr Slaa kaja Chadema upya kupitia tresspass!!!
Ugomvi wa wana Chadema kinda kinda tena miamba wa chama chao anauingilia ili iweje? Kwanza Sio mwanachama,kibaya zaidi ni mtoro aliekisaliti chama kikielekea uchaguzi mkuu 2015.
 
Kama Maza anamtuma Abdul kwenda kuzungumza na Lissu na kumhonga, ni mjinga peke yake hataamini kuwa hawezi kumsaidia FAM.
Hapo hapo hembu rejea Mange Kimambi kusema hadharani kua Abdul alimtafuta sana na akafunga safari mpaka California kwenda kumtaka ampe fedha ila aachane na kumsakama Mama Abdul!!
 
Hapo hapo hembu rejea Mange Kimambi kusema hadharani kua Abdul alimtafuta sana na akafunga safari mpaka California kwenda kumtaka ampe fedha ila aachane na kumsakama Mama Abdul!!

Asiyeamini maneno ya Dr Slaa ana matatizo. Yaani Maza atoe pesa za kununua magoli, amwage pesa makanisani halafu asitoe pesa kulinda mamlaka yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…