Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Kina mwijaku nimesikia wakisifia Silent Ocean, wale huwa hawasifii bure!!
 
Hata hivyo, kinachouma zaidi ni vile tutakavyopewa Kofia, Tshirt, Vitenge na Elfu kumi mwakani. Halafu kwa wingi wetu tutaipigia kura ya ndio ccm. Kwangu hilo linaniuma zaidi.

Tunahongeka kirahisi sana.
 
Na bambo naye kaenda? Na Steven, naye ?
Acha waende, sisi walipa kodi ndiyo tumewasafirisha, watushukuru.
 
Wivu unakutesa...omba na ww next time uende nao
 
Haya mambo yote huwa yapo kwenye finance bill kwenye wizara husika, wakati inapopitishwa bungeni nyie wananchi huwa mpo busy kushabikia yanga na simba sasa utekelezaji wake unapaanza unaanza kulia lia humu!!! Muwe mnafuatilia finance bill sio kuja kulia lia hapa!
 
Wasanii wa kaole wametupwa kule 😄

Ova
 
Kaka utaitwa mchochezi nyamaza - maadamu vijana ambao ndiyo Taifa la leo wamelala fofofo sisi ni kina nani?
 
Gharama mbuzi kabisa hiyo. Imelipwa na watu hata hawaifikirii. Sio serikali. Yaani hiyo imeandikwa kwenye one bank risit au cheque. 640ml ... Wazee tuwe serious. Serikali ingetumia zaidi ya B 1. Gharama za hao watu ni pesa mbuzi sana
 
Bil 1 kasoro
Mama yenu karudi Toka Korea anawafokea watz walipe Kodi
 
Mkuu mambo mengine usipende kuyafukua! Unaweza kupata mgandamizo wa damu usiokuwa wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…