Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kina mwijaku nimesikia wakisifia Silent Ocean, wale huwa hawasifii bure!!Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Shobo zipi tena Mr Squart?Punguza shobo
Steve Nyerere na Gabo kina Mr Thomas nao ni mboga za nani ufafanuzi tafadhaliHao wasanii wanasafirishwa ni mboga za wakubwa
Mkuu kwa lipi?kile kisauti kama anataka kukata moto au ni nini!?ila kwa vile ni mtazamo wako binafsi hongera sana endelea kumuwazia yaliyo mema
Inawezekana unaongea shombo hizi alafu kuna ndugu yako kijijini amekosa dawa hospitali kwa sababu tu kodi za wananchi zinatumiwa kwa mambo ya hovyoWivu unakutesa...omba na ww next time uende nao
Misemo yawasani hoyoPunguza shobo
Stv profeshen yake inajulikanaSteve Nyerere na Gabo kina Mr Thomas nao ni mboga za nani ufafanuzi tafadhali
WanajuanaSteve Nyerere na Gabo kina Mr Thomas nao ni mboga za nani ufafanuzi tafadhali
Bil 1 kasoroKwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!