Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

Daaah ! Hii kesi ya mauaji ya kimbari umewauzia Watanganyika ?
We nI nouma aiseeh !.....tafuteni sababu nyingine ya kuvunja muungano bana !

kwani ni siri hiyo kwamba jeshi la tanganyika liliivamia zanizbar na kufanya mauwaji ya halaiki ya kinyama na kikatili dhidi ya watu wasio na silaha, wengi wao wakiwa wanawake, watoto, vizee wagonjwa hata walemavu

mazoezi walifanyia tanga na wakatumia bandari ya bagamoyo kuingilia znz, walikuja kidogo kidogo kama raia wa kawaida

muungano hatutaki uvunjike kwa yaliojiri 1964, tunataka uvunike kwa yanajiri sikuhzi

ahsante
 
Mkuu wangu Boko haram, nimeishamwambia sioongei na mbwa naongea na mwenywe mbwa, mabwana zake hawapo kabakia huyo Yericko tu, Nguruvi3, Mag3, wameishamtosa, kama anayaweza aingie... analeta dharau eti uzi wetu umefungwa sababu yake yeye eti alihoji atukujiaandaa, teh teh, sisi kila siku uzi zetu zinafungwa tu wala kwetu siyo tatizo, kuandika uzi humu kunaitaji maandalizi gani uzi zimejaa kila kona, uzi zetu huwa ni hatari zinafunkika uzi zingine mpaka wao wanakuja.

Shemeji yangu vipi? simuoni Ally sykes, kulikoni? ndio kwanza narudi toka kaji-tour toka nchi ya Nauru, mshikaji huko mbwa wengi kweli kweli, wengine hawana wenyewe, niliogogopa hata kukata mitaa. Ila kwa makazi ni kuzuri. Nilimkumbuka sana rafiki yangu mzee MS aliyenidokezea siku moja kuwa yeye anafuga mbwa wa Doberman. Wale huwa wanakatwa mikia. Haya bwana aste aste.

cc gombesugu, boko haram, Mohamed Said (FYI).
 
Wewe acha unafiki hebu hapa jisome mwenyewe mabwana zako hawapo sijui utawaita kina nani.

Mnafiki ni chakula ya mamba, wewe kila siku na ulikuwa unatumia hizi hizi video kama ushahidi wa kumtetea bwana wenu Okello leo eti unasema ya kughushi.

Cc.. gombesugu, Boko haram,

Ritz;

Mara zote huwa unaajaaliwa kutukana watu na HUSOMI. Wewe ndiye aliyekuwa anabandika Kitabu cha Kwaheri Uhuru .... humu JF, sasa rudi nenda ukurasa 352 fungua Mlango "waliokuwa Machozi yao Baharini" Soma mwandishi anazunngumza nini. Hii video ya kwanza ni Filamu Ritz, huyaoni hayo kwa vile siku zote mbaya kwako ni Wickama. Jina la Filamu ni Africa ADDIO


‫

Kwenye hii link hao jamaa ZAKO hawajaondoa jina la Movie na hata producer!!!! Nini shari ya kutusi watu. Kanusha na hii.

cc Gombesugu, Bin Faza
 
kwani ni siri hiyo kwamba jeshi la tanganyika liliivamia zanizbar na kufanya mauwaji ya halaiki ya kinyama na kikatili dhidi ya watu wasio na silaha, wengi wao wakiwa wanawake, watoto, vizee wagonjwa hata walemavu

mazoezi walifanyia tanga na wakatumia bandari ya bagamoyo kuingilia znz, walikuja kidogo kidogo kama raia wa kawaida

muungano hatutaki uvunjike kwa yaliojiri 1964, tunataka uvunike kwa yanajiri sikuhzi

ahsante


Faza; Aslaam aleykum. Naona mnakasha umenoga. Ustadh mimi kama inakuja kura, wallah nawapigieni muwe kivyenu kwa hiyo kama una dafatri anza kuandika idadi. Sio kwa nia mbaya, hapana ila jirani mzuri ni yule ambaye akikuona, roho yake haimpasuki!!!!! Mi nashauri Muungano ubaki kwenye kuoleana tuu. Au hilo nalo tutafikishana UN ustadh? (hahahaha)
 
Naongea na mwenye mbwa siongei na mbwa.

Kwani kufungwa kwa uzi wetu leo ndiyo siku ya kwanza mbona kawaida uzi zetu kufungwa, wewe umeonya nani humu JF zaidi ya mnafiki tu kauzu wewe.

Tulia wangu; KAUZU KAMA WA republic of NAURU?
 
uloyasema hapa ni kweli tupu 100%.

hata leo znaizbar hatuoni raha kutawaliwa na tanganyika na hili tunalitizamia njia ya kulimaliza pia.

Lakin iinakupasa ujuwe kwamba kuanzia mwaka 650 AD warabu tayari wamefika zanzibar. Na vitabu vipo ziloandika juu ya hilo

Hakuna mtu leo anayethubu kusema znzn ni ya wafrika. Mimi binafsi ninaamini kwamba hakuna mtanganyika alokuwa na sababu ya kuja znz katik amiaka ya 1800s, isipokuwa wale walioletwa.

watu walisafiri sababu ya shida za maisha na huko tanganyika kulikuwa kuko poa sana, wanyama na mazao yalikuwa yanawatosha wenyeji wa huko siku hizo, yaani yata watu kusini hawakuwa na sababu ya kwenda kaskazini

kwa mtazamo huo mwarabu alipokuwa zanzibar alikuwa yupo nyubani kwao kabisa.

Faza; Baada ya salaam

1. Nikusifu kuwa ulijiandaa vizuri sana na mada yako na vielelezo vyako. Hii inaleta raha ya mjadala. Ile video ya KWANZA YA RANGI. ILE NILIYOITILIA MASHAKA TOKA AWALI KWA VIGEZO VYA KAMA PHOTOGRAPHER NI FILAMU YA KUIGA. INAITWA AFRICA ADDIO. LINK HIYO HAPO CHINI

‫

MAELEZO YAKE YA KUTHIBITISHA PIA KUWA NI FILAMU YAPO KWENYE KITABU CHA KWAHERI UHURU...... PG 352

".....Takwimu zinatafautiyana kuhusu binaadamu waliyouliwa katika mapinduzi ya Zanzibar kuanziya watu 5,000 mpaka 18,000.81 Ingelisaidiya sana kama serikali ingewaomba watu waripoti juu ya watu wao waliouwawa ili lithibitike jambo hili. Ile filam ya Kitaliana Africa Addio, imezidisha kuthibitisha kutendeka kwa mauwaji ya halaiki katika Mapinduzi. Idadi ya watu waliouliwa haiwezi kufikiwa kwa sababu wapo watakaotaka idadi iwe ndogo sana ili wajikoshe na wapo ambao watakaotaka idadi iwe kubwa kwa sababu wanawajuwa watu katika kila familia waliyopoteza mtu au watu wao." Kwaheri Uhuru...... pg 352 of 485.

Kwa maana hiyo nakushauri usitumie lugha kuwa waitalia waliipiga LIVE, hii ni MOVIE. Ukiiangalia inavyoanza utaona hadi Title.

Tujadiliane hayo mengine.

Usiku mwema.
 
Wickama

Faza; Baada ya salaam

1. Nikusifu kuwa ulijiandaa vizuri sana na mada yako na vielelezo vyako. Hii inaleta raha ya mjadala. Ile video ya KWANZA YA RANGI. ILE NILIYOITILIA MASHAKA TOKA AWALI KWA VIGEZO VYA KAMA PHOTOGRAPHER NI FILAMU YA KUIGA. INAITWA AFRICA ADDIO. LINK HIYO HAPO CHINI

‫

MAELEZO YAKE YA KUTHIBITISHA PIA KUWA NI FILAMU YAPO KWENYE KITABU CHA KWAHERI UHURU...... PG 352

".....Takwimu zinatafautiyana kuhusu binaadamu waliyouliwa katika mapinduzi ya Zanzibar kuanziya watu 5,000 mpaka 18,000.81 Ingelisaidiya sana kama serikali ingewaomba watu waripoti juu ya watu wao waliouwawa ili lithibitike jambo hili. Ile filam ya Kitaliana Africa Addio, imezidisha kuthibitisha kutendeka kwa mauwaji ya halaiki katika Mapinduzi. Idadi ya watu waliouliwa haiwezi kufikiwa kwa sababu wapo watakaotaka idadi iwe ndogo sana ili wajikoshe na wapo ambao watakaotaka idadi iwe kubwa kwa sababu wanawajuwa watu katika kila familia waliyopoteza mtu au watu wao." Kwaheri Uhuru...... pg 352 of 485.

Kwa maana hiyo nakushauri usitumie lugha kuwa waitalia waliipiga LIVE, hii ni MOVIE. Ukiiangalia inavyoanza utaona hadi Title.

Tujadiliane hayo mengine.

Usiku mwema.

Mkuu angalau wewe huleti masuala ya vitunguu, maharage na viazi nakushukuru kwa hilo, maana kuna watanganyika humu akili zao zimekufa kabisa wanadhani vitunguu vinaota tanganyika tu na si popote pale duniani kote

sasa raha ya takwimu za kisomi ni hivi, katika uchambuzi wa kitaalamu juu ya mada fulani kila ripoti moja inayotelowa KUSAPOTI ujuwe kuna riporti nyengine inayosema kinyume cha hiyo

Kuhusu kuwa video ya kitaliana ni filamu ya kuekt mimi hainingii akilini, sisemi kama Dr Harith hajui kuhusu video hiyo lakini, hebu tuzingatie haya

1. Kwasabau gani wataliana wafanye documentary hiyo

2. Ni wapi waliirikodi documentary hiyo

3. Ilikuwa mwaka gani?

4. Unajuwa waarabu wa znz ndio walioleta usilami east afrika, wataliana walileta ukiristo, kwanini wafenye documentary inayosapoti uislamu, umewasikia wakisema kwamba waliokuwa wakiuliwa ni waislamu

Kuhusu idadi ya watu waliouliwa katika mauwaji hayo ya kinyama ya watanganyika huko zanzibar, idadi hiyo ya 17,000 elfu ilitolewa an waingereza. Ipo filamu nyengine kabisa walioirikodi waingereza lakini nimeshindwa kuipata.....

lakini nijuwalo mimi ni kwamba maiti zilizagaa mitaani mote mji mkongwe, mwera na kila sehemu ambazo waarabu walikuwa wanaishi. maiti hizo zilizikwa katika makaburi halaiki kwasabau zilikuwa zimeanza kuoza siku wazanzibari walipoanza kuota maiti hizo.

sasa kwa njia moja au nyengine mauwaji haya yamo katika group la genocide

na nakuomba uiweke email hii

siku znz ikochomoka katika makucha ya mkoloni mweusi KESI ITAFUNGULIWA HUKO THE HAGUE MAHAKAMA KUU YA DUNIANI DHIDI YA WATANGANYIKA NA MAUWAJI HAYA
 
Ni wazi yale yalikuwa ni mavamizi,hadi leo mavamizi yanaendelea kwa siku za uchaguzi zanzibr hupelekewa vifaru vya kivita wakati raia hawana hata sindano.
 
Simplemind

Nani asiyejua "mapinduzi" ya Zanzibar yalikuwa Tanganyika sponsored genocide against minority Arabs.

wengine ndani ya grouo la wasomi wa tanganyika wanajifanya vipofu hawataki kuuona ukweli huu

wale walala hoi hatuwezi kuwajdali sababau wanapewa fikra zao na magazeti yao tu , lakini hawa wasomi hawana excuse yoyote ile
 
Wickama



Mkuu angalau wewe huleti masuala ya vitunguu, maharage na viazi nakushukuru kwa hilo, maana kuna watanganyika humu akili zao zimekufa kabisa wanadhani vitunguu vinaota tanganyika tu na si popote pale duniani kote

sasa raha ya takwimu za kisomi ni hivi, katika uchambuzi wa kitaalamu juu ya mada fulani kila ripoti moja inayotelowa KUSAPOTI ujuwe kuna riporti nyengine inayosema kinyume cha hiyo

Kuhusu kuwa video ya kitaliana ni filamu ya kuekt mimi hainingii akilini, sisemi kama Dr Harith hajui kuhusu video hiyo lakini, hebu tuzingatie haya

1. Kwasabau gani wataliana wafanye documentary hiyo

2. Ni wapi waliirikodi documentary hiyo

3. Ilikuwa mwaka gani?

4. Unajuwa waarabu wa znz ndio walioleta usilami east afrika, wataliana walileta ukiristo, kwanini wafenye documentary inayosapoti uislamu, umewasikia wakisema kwamba waliokuwa wakiuliwa ni waislamu

Kuhusu idadi ya watu waliouliwa katika mauwaji hayo ya kinyama ya watanganyika huko zanzibar, idadi hiyo ya 17,000 elfu ilitolewa an waingereza. Ipo filamu nyengine kabisa walioirikodi waingereza lakini nimeshindwa kuipata.....

lakini nijuwalo mimi ni kwamba maiti zilizagaa mitaani mote mji mkongwe, mwera na kila sehemu ambazo waarabu walikuwa wanaishi. maiti hizo zilizikwa katika makaburi halaiki kwasabau zilikuwa zimeanza kuoza siku wazanzibari walipoanza kuota maiti hizo.

sasa kwa njia moja au nyengine mauwaji haya yamo katika group la genocide

na nakuomba uiweke email hii

siku znz ikochomoka katika makucha ya mkoloni mweusi KESI ITAFUNGULIWA HUKO THE HAGUE MAHAKAMA KUU YA DUNIANI DHIDI YA WATANGANYIKA NA MAUWAJI HAYA

Bin Faza; Aslaam aleykum.

Awali ya yote narudia kama awali, kusema tena. POLE. Sasa kwa tunajua kuwa hiyo ni FILM/FILAMU, na sio live shooting ya DOCUMENTARY mawazo yangu ni kama yafuatayo.

1. Haingewezekana jamaa watoke Tanga/Pangani kuja na kujua waliko WAARABU na WAISLAMU bila KUWAPO mwenyeji wa kuwapokea na kuwaongoza mitaa.

2. Huyu MWENYEJI NDIYE MWENYE DHAMANA KUBWA ya yaliyotokea. Hiyo kesi ya The Hague anzeni na huyo Mwenyeji kama mnamnjua hamna haja ya kusubiri. Ila sio dawa.

3. Katika kitabu cha Dr. Harith imeandikwa wazi kuwa WALIPOFIKA WALE FFU 100 toka Tanganyika, haya mauaji YALIKOMA na shwari ikarudi Angalia Kwaheri UHURU pg 62. Angalau TZ tuna ushahidi kuwa tuliokoa maisha hadi ya sultan mwenyewe.

"......Kusimama [mapinduzi] lililetwa kundi kutoka Tanganyika, la Field Force. Likasimamisha vile vita. Matatizo kutuliza.

Lakini anaendelea chini yake pg 63 kusema


".....wakabaki memba tu wa Baraza la Mapinduzi, kuna chuki sasa za moyo, wakiwaona watu wamekaa au wanasali kuwapiga risasi bure. Yaani ni uwehu tu. Ufahari wao wenyewe, mwenye akili chafu, kutumia vile vitendo"


Faza hawa walijawa na hasira ya siku nyingi kwa kama anavyojieleza mmoja (pg 62);

"....Kifikra na kikubwa ilikuwa, kikambi pale [Sakura] watu walipokuwa wamekaa, tunapoingia, Mungu katusaidia tumeweza, tunapovamia, kwa sababu Waarabu wametuuwa, ili ndipo tulivoweza kupata kutawala pale, kwa sababu wametutia minyororo, wametupofowa macho, wametufanya ngombe kututoa khaswa, wanaake zetu kupasuliwa mimba kuonyeshwa watoto, kwa hivyo na sisi nasi tuwafanye hivyo, waone uchungu.

Wakiona wale watoto wamepasuliwa, mke kapasuliwa na tunamwita mtoto wa Kiafrika, yamefanyika hayo, yamefanyika hayo Unguja, yamefanywa. Kuwa bibi njoo hapa uone mtoto anavokaa ndani ya tumbo. Nani asojuwa Unguja. Walofanya wamefanya. Kwenye vikao vyote walikuwa hisia hiyo wanayo. Ipo tayari. Hiyo ip


Zingatia kuwa kitendo cha kuwaletea askari kulinda maisha na mali ndicho kiliokoa watu zaidi

4. Faza; Kweli historia ni chungu lakini ndio tufanyeje? mimi nadhani dawa ipo kwenye kuridhiana na kujenga hali ya kuamianiana. Mkianza saa hizi tena nani kaja mwaka 650 kamkuta nani, na yupi kaletwa mwaka 1800 kama mtumwa au vinginevyo, hamtaishi kwa amani hata kidogo.

Mimi nadhani hamuwezi kuepuka ukweli kuwa baadhi yenu wana uhusiano na bara arabu kwa wingi kama ilivyo wengine walivyo na uhusiano na bara-afrika kwa wingi. Huo ndio ukweli wa nasaba. Kwisha. matabaka shehe wangu hayataleta amani hapo. Rangi makabila yenu ni kusaidia identity tuuuu, lakini mbora ni mwenye taqwa iliyozidi ndugu yangu. Tulieni mjemnge nchi yenu ustadh wangu kama wa-zenj 100%.

5. Wala jibu sio kauli hii hapa chini

Sultan Jamshid Sultan of Zanzibar

Kauli hizo zinajenga nia ya kulipiza.

Allah Allam

Shukran.
 
Wickama

Bin Faza; Aslaam aleykum.

Awali ya yote narudia kama awali, kusema tena. POLE. Sasa kwa tunajua kuwa hiyo ni FILM/FILAMU, na sio live shooting ya DOCUMENTARY mawazo yangu ni kama yafuatayo.

1. Haingewezekana jamaa watoke Tanga/Pangani kuja na kujua waliko WAARABU na WAISLAMU bila KUWAPO mwenyeji wa kuwapokea na kuwaongoza mitaa.

2. Huyu MWENYEJI NDIYE MWENYE DHAMANA KUBWA ya yaliyotokea. Hiyo kesi ya The Hague anzeni na huyo Mwenyeji kama mnamnjua hamna haja ya kusubiri. Ila sio dawa.

3. Katika kitabu cha Dr. Harith imeandikwa wazi kuwa WALIPOFIKA WALE FFU 100 toka Tanganyika, haya mauaji YALIKOMA na shwari ikarudi Angalia Kwaheri UHURU pg 62. Angalau TZ tuna ushahidi kuwa tuliokoa maisha hadi ya sultan mwenyewe.

"......Kusimama [mapinduzi] lililetwa kundi kutoka Tanganyika, la Field Force. Likasimamisha vile vita. Matatizo kutuliza.

Lakini anaendelea chini yake pg 63 kusema


".....wakabaki memba tu wa Baraza la Mapinduzi, kuna chuki sasa za moyo, wakiwaona watu wamekaa au wanasali kuwapiga risasi bure. Yaani ni uwehu tu. Ufahari wao wenyewe, mwenye akili chafu, kutumia vile vitendo"


Faza hawa walijawa na hasira ya siku nyingi kwa kama anavyojieleza mmoja (pg 62);

"....Kifikra na kikubwa ilikuwa, kikambi pale [Sakura] watu walipokuwa wamekaa, tunapoingia, Mungu katusaidia tumeweza, tunapovamia, kwa sababu Waarabu wametuuwa, ili ndipo tulivoweza kupata kutawala pale, kwa sababu wametutia minyororo, wametupofowa macho, wametufanya ngombe kututoa khaswa, wanaake zetu kupasuliwa mimba kuonyeshwa watoto, kwa hivyo na sisi nasi tuwafanye hivyo, waone uchungu.

Wakiona wale watoto wamepasuliwa, mke kapasuliwa na tunamwita mtoto wa Kiafrika, yamefanyika hayo, yamefanyika hayo Unguja, yamefanywa. Kuwa bibi njoo hapa uone mtoto anavokaa ndani ya tumbo. Nani asojuwa Unguja. Walofanya wamefanya. Kwenye vikao vyote walikuwa hisia hiyo wanayo. Ipo tayari. Hiyo ip


Zingatia kuwa kitendo cha kuwaletea askari kulinda maisha na mali ndicho kiliokoa watu zaidi

4. Faza; Kweli historia ni chungu lakini ndio tufanyeje? mimi nadhani dawa ipo kwenye kuridhiana na kujenga hali ya kuamianiana. Mkianza saa hizi tena nani kaja mwaka 650 kamkuta nani, na yupi kaletwa mwaka 1800 kama mtumwa au vinginevyo, hamtaishi kwa amani hata kidogo.

Mimi nadhani hamuwezi kuepuka ukweli kuwa baadhi yenu wana uhusiano na bara arabu kwa wingi kama ilivyo wengine walivyo na uhusiano na bara-afrika kwa wingi. Huo ndio ukweli wa nasaba. Kwisha. matabaka shehe wangu hayataleta amani hapo. Rangi makabila yenu ni kusaidia identity tuuuu, lakini mbora ni mwenye taqwa iliyozidi ndugu yangu. Tulieni mjemnge nchi yenu ustadh wangu kama wa-zenj 100%.

5. Wala jibu sio kauli hii hapa chini

Sultan Jamshid Sultan of Zanzibar

Kauli hizo zinajenga nia ya kulipiza.

Allah Allam

Shukran.

Good try kaka,

kwanza ujuwe kwamba mapinduzi au mauwaji hayakufika pemba bali yaliishia kisiwa cha unguja, tu nazungumzia mauwaji ya 12 jan 1964

basi inafaa nikupe links za vitabu vyengine zinavozungumzia mauwaji ya znz, labda utapata kujuwa zaidi ni nini saha kilichojiri.

kusuhu mauwaji kama yalivorikodiwa ndio ninavoamini mimi kwamba yametokea na hata aandike nani kitu chengine mimi msimamo wangu ni huo huo kwasbabu nimezungumza na watu walioyashuhudia mapinduzi kwa macho yao

hata ikiwa kuliletwa kikundi kuzuia fujo znz, hiyo ni danganya toto tu, au crocodile tears, mauwaji yalifanywa na watanganyika na tunao ushahidi kamili juu ya hili
 
Bin Faza,

Kama nakuona mitaa ya forodhani jioni utapata ngisi wako na tasi, teh teh teh.

Nakusoma na miwani ya 3D.
 
Last edited by a moderator:
Wickama



Mkuu angalau wewe huleti masuala ya vitunguu, maharage na viazi nakushukuru kwa hilo, maana kuna watanganyika humu akili zao zimekufa kabisa wanadhani vitunguu vinaota tanganyika tu na si popote pale duniani kote

sasa raha ya takwimu za kisomi ni hivi, katika uchambuzi wa kitaalamu juu ya mada fulani kila ripoti moja inayotelowa KUSAPOTI ujuwe kuna riporti nyengine inayosema kinyume cha hiyo

Kuhusu kuwa video ya kitaliana ni filamu ya kuekt mimi hainingii akilini, sisemi kama Dr Harith hajui kuhusu video hiyo lakini, hebu tuzingatie haya

1. Kwasabau gani wataliana wafanye documentary hiyo

2. Ni wapi waliirikodi documentary hiyo

3. Ilikuwa mwaka gani?

4. Unajuwa waarabu wa znz ndio walioleta usilami east afrika, wataliana walileta ukiristo, kwanini wafenye documentary inayosapoti uislamu, umewasikia wakisema kwamba waliokuwa wakiuliwa ni waislamu

Kuhusu idadi ya watu waliouliwa katika mauwaji hayo ya kinyama ya watanganyika huko zanzibar, idadi hiyo ya 17,000 elfu ilitolewa an waingereza. Ipo filamu nyengine kabisa walioirikodi waingereza lakini nimeshindwa kuipata.....

lakini nijuwalo mimi ni kwamba maiti zilizagaa mitaani mote mji mkongwe, mwera na kila sehemu ambazo waarabu walikuwa wanaishi. maiti hizo zilizikwa katika makaburi halaiki kwasabau zilikuwa zimeanza kuoza siku wazanzibari walipoanza kuota maiti hizo.

sasa kwa njia moja au nyengine mauwaji haya yamo katika group la genocide

na nakuomba uiweke email hii

siku znz ikochomoka katika makucha ya mkoloni mweusi KESI ITAFUNGULIWA HUKO THE HAGUE MAHAKAMA KUU YA DUNIANI DHIDI YA WATANGANYIKA NA MAUWAJI HAYA


Faza;Nadhani ni fair ku-address issue zako moja baada ya nyingine kama ifuatavyo;

1. Mimi nadhani waitalia walifanya film hii kwa vile ni topics ambazo huwa zina IMPACT kwa watu wengi na pia NI rahisi kama Mmjiandaa vizuri kupata FILM AWARDS ambazo kwa wenzetu huwa ni heshima kubwa sana. La pili Wenzetu ni wasomaji sana wa hata taarifa ambazo wewe na mimi twaweza kuzipuuza. Hizi ndizo chechem ya mawazo ya kutunga Filamu. Angalia Filamu kama Lord of the Ring inaanzia na Fiction Book za mwandishi (nadhani alikuwa wa South Africa???? tena many years). Kwa hiyo naamini la awli walionya mwanya kuwa ni eneo hakuna aliyelijaribisha vizuri, wapo wenzao wemepata sifa thru films kama Hotel Kigali na kufanikiwa. Sijui kama nimekuridhisha, huenda pia ni vigumu.


2. Ukweli SIJUI waliirekodi wapi, hata Dr. Harith Hajaonyesha. Ila sidhani itakuwa Zenj kwa maana kuwa wasingekubaliwa. Labda anzia ku-google jina la hao producers na jina la filamu yenyewe, kama ilishapata REVIEW lazima watataja Location.

3.Mwaka SIJUI lakini ni kabla Kitabu cha Kwaheri Uhuru..... Hakijatoka kwa maana ameitaja.

4.Wanasema "It is a hunting season for ARABS". Ila Faza, Angalia kuwa hii Filamu imepewa some labels kama vile BARBARIC AFRICANS KILLING ARABS AND MUSLIMS. Hii ni contradiction. Mwarabu ni yupi na mwislamu ni yupi? After all askari waliofanya Mapinduzi na kuwatafuta hao Arabs WAO NI DINI GANI? mbona majina yao wengi kabisa kwenye kitabu cha Dr Harith ni ya Kiislamu? Hii ni mbinu ya kuwagawa watu kihisia kuwa mapinduzi yalikuwa dhidi ya uislamu. Issue at hand ilikuwa SIASA. Vyama vyote vya siasa zent vilikuwa vya Muslims. Hata hao ASP.

Ama kuhusu waarabu kuuleta uislamu africa mashariki, sawa sina tatizo. ila hilo haliwageuzi waarabu automatically kuwa watawala wa huko walikopeleka uislamu (Pakistan, India, Indonesia, Spain, China, Bosnia,.....Ujiji, DRC mashariki, Western Kenya, Kisumu, Timbuktu, Kaduna, nk)
Au una mawazo tofauti?


Kwa email yako ni PM nitaihifadhi shukrani. I can feel Unachemka na yaliyotokea lakini, i just feel you are a good person.

Ila kama mtafungua kesi, sasa hivi ni global village tutawasikia. Believe me kwa sisi huku TZ wengi pia tungependa tuishi na nyie kama nchi jirani. No tensions.

Ila opportunity ya kuooleana tuibakishe Sheikh wangu wajua tena...... masuala ya Mwambaooooo. The Hague wataijua wapi heena? hahahahaha. Kwaheri.

Shukran
 
kaka wapi mimi natako haina umuhimu sana,lakini nitakwambia kuwa umejijibu mwenywe katika hapo nilipoweka red,na hicho ndicho kitu ninachojaribu kuongelea hapa

haya ninayoyaongea hapa nimesoma kwenye vitabu,nimefanya utafiti wangu mwenyewe,lakini namshukuru sana bibi yangu ukoo wake ulikuwa unatokea kisiwa kimoja kinaitwa Tumbatu pale Unguja kutoka na hadith zake alizozisikia kwa bibi zake na kutuhadidhia sisi wajukuu zake ndio nimepata picha kamili ya zanzibar na wazanzibari

kama umesoma vizuri hizi comments zangu nimeandika sehemu nyingi tu wako baadhi ya wazanzibar walikuwa wanamiliki watumwa lakini hakuna mzanzibari aliekuwa mtumwa,kwaufupi kama walikuwa watumwa basi wameletwa hao kutoka nje ya zanzibar,kama unawajua watumwa na unajua sehemu walipozikwa tayari nimeshajbu swala lako,kumbuka zanzibar lilikuwa soko kubwa la kuuza watumwa, watumwa walikuwa wakiletwa kutoka sehemu mbali za bara Afrika,sehemu kama kongo nk,mmoja kati ya wafanya biashara za watumwa alikuwa mswahili mmoja anaeitwa kwa jina la Tiptip huyu jamaa alikuwa na jeshi la watu 2000 ambalo alikuwa anaingia nalo ndani ya Afrika na kuchukua watumwa!!,Notorious

Nani wazanzibari nimeshaeleza kwenye moja za commets zangu,haina haja ya mimi kurudia kuandika tena hapa,Haya yote ninayoandika sio tu kama nimesoma bali pia ni history iliopo katika ukoo wangu,wazee wanaongea watoto tunasikiliza halafu tuna weka moja na moja tunapata jibu 😉

Sio kila mtu mweusi allikuwa mzanzibar na sio kila mwarabu alikuwa mzanzibari 😉


Chabuso,

Nimesoma bayana yako kiduchu. Naona unazungumza kwa hamaki,kama mimi kukuuliza kama unatokea Zanzibar ndo imekukera basi Wallahi niwia radhi. Haikuwa makusudio yangu kukufanzia tashtit asilan.

Nachelea nisijekua najiumiza kichwa kujibizana na jamaa kuhusu khabar za Zanzibar kumbe anatokea Tukuyu...maana siku hizi wataalamu wa History ya Zanzibar wamekua wengi hapo Tanzania!?...ndo maana ya kukuuliza vile kama unatokea hapo Unguja/Zanzibar!?

Kuhusu hiyo Historia ya Zanzibar wala sijipe dhiki ya kunikhadithia mimi,maana naijua kiundani. Kama wewe ulivyokua umekhadithiwa kwa mtazamo wa Wazee wako toka Tumbatu nami halikadhalika nimekhadithiwa pia na Wazee wangu kwa mtazamo wa pale Unguja mjini,na nikafanza utafiti mwingi mno. Lakini kama ujuavyo Ilm ni bahri kuu.

Nafikiri la muhimu ni kuketi na kusikizana bila ya ghadhabu.

Hizi harakati uzifanzazo wewe leo hapa Jf na kujitahidi kudai haki ya Zanzibar na kuionyesha History ya Zanzibar kwa walimwengu,mimi binafsi niliianza kitambo. Tena wakti huo Nyerere akinguruma kiukweli na kutisha watu pita kiasi hapo Tanganyika/Zanzibar na watu woote wakimwogopa na Unguja yoote ilikua imejazana wanafiki watupu!...usinitafute mie kusema mengi tukawapa watu faida ya bure!?

Wakti nyinyi mkimuogopa yule dhalim Karume,mimi Family yangu ilishiriki moja kwa moja kumtokomeza!

Sasa tafadhali usiketi humu ati kutaka kunikhadith mimi khabar za Zanzibar.

Nafikiri la muhimu ni kuwa pamoja na kuangalia khatma ya kile kisiwa chetu itaishia wapi Insha Allah.

Kabla sijakwacha nakuuliza suali kiduchu,hao Wazee wako wa Kitumbatu walipata kukwambia wao khasa asili yao ni wapi!?...hapa najua utanijibu nini nami nakusubiria kwa hamu kubwa!

Ahsanta.
 
RED Xs



Kwanza sio kweli kwamba washirazi walifanya mapinduzi, washirazi ijapokuwa wanajisema wao ndio wenyeji wa znz lakini kabila lao linatokea Persia, irani ya siku hizi katika mji uitwao Shiraz. Hassan Bin Ali alikuja na watoto wake 7 wakaanzisha Zenj Empire ya kwanza, znz hapukuwa na maisha rasmi, wao wakapafanya ndio kituo chao kuchukuwa maji na mapuumziko kidogo kidogo ndio pakawa na life.

Kwahivo mshiraji na mwarabu sio watu mabli sana, wao hawakushiriki katika mapinduzi

Mapinduzi yalifanywa na watanganyijka, na ikiwa kwa ukweli huu unananihisi mimi ninakuchukieni basi ndio ninakuchukieni kwa kuivamia nchi yetu na kutuulia jamaa zetu kiholela.

wewe utafurahi kama sisi wazanzibar tutakuja tabora au iringa au popote huko tanganyika na kukuuweni kiholela? Jee kwa hilo utatupenda sisi wazanzibari?? be honest pleae!!!!!!
...miongoni mwa dhambi ya wageni wote waliokuja afrika ni pamoja na kupindapinda ukweli, mfano huo wa ati "zanzibar hapakuwa na maisha rasm"...lol..lugha ya wakoloni wote ilikuwa hivyo..!..unasema mshirazi na mwarabu si watu wa mbali..swadakta..je mwafrika na mwarabu? hapa ishu ni ukoloni wa waarabu ktk zanzibar..! kwenye kikao cha wakoloni cha mwaka 1884, sultan wa oman alikuwepo..! na kwenye mgawo alipewa zanzibar na pwani yote ya afrika mashariki(mogadishu to beira)...! hujui hiyo historia? umesomea wapi kaka, arabuni? hunajua kuwa kulikuwa na tawala nyingi ktk afrika lkn sababu hazikuwa na malengo ya kikoloni hazikushirikishwa kwenye mkutano huo...!hivi ndugu yangu we hujui kuwa ukoloni ni ukoloni tu? kisha nakuona we ni "mwelewa", niambie tafsiri ya kisomi ya ukoloni, kisha uniambie ukoloni wa tanganyika ktk zanzibar..mbona unakuwa na hoja za "kichimvi mno" ambazo ni kichekesho kinachoashiria mapungufu ya kujenga hoja kwa mwanazuoni wa kiwango cha kuchangia kwenye jf?...! jamsheed alikuwa msomi yakhe..! msomi kweli kweli..! na anajua kwenda na ukweli na wakati, bahati mbaya waliomzunguka ambao aliwaamini hawakuwa wakimpa ukweli wa mitaani ili afanye mabadiliko yaliyohitajika ambayo yangeepusha dhulma iliyowakuta maelf ya wanyonge ambao walidhulumiwa nafsi zao na mapinduzi matukufu..! stay blessed bro..! salaam!
 
RED Xs



Kwanza sio kweli kwamba washirazi walifanya mapinduzi, washirazi ijapokuwa wanajisema wao ndio wenyeji wa znz lakini kabila lao linatokea Persia, irani ya siku hizi katika mji uitwao Shiraz. Hassan Bin Ali alikuja na watoto wake 7 wakaanzisha Zenj Empire ya kwanza, znz hapukuwa na maisha rasmi, wao wakapafanya ndio kituo chao kuchukuwa maji na mapuumziko kidogo kidogo ndio pakawa na life.

Kwahivo mshiraji na mwarabu sio watu mabli sana, wao hawakushiriki katika mapinduzi

Mapinduzi yalifanywa na watanganyijka, na ikiwa kwa ukweli huu unananihisi mimi ninakuchukieni basi ndio ninakuchukieni kwa kuivamia nchi yetu na kutuulia jamaa zetu kiholela.

wewe utafurahi kama sisi wazanzibar tutakuja tabora au iringa au popote huko tanganyika na kukuuweni kiholela? Jee kwa hilo utatupenda sisi wazanzibari?? be honest pleae!!!!!!
...unazungumzia jambo la kuja kwetu tabora na iringa..tuwekane sawa..mi mzaznibar pia..mngazija...si mshirazi wala si mwarabu..alhamdullillah..lkn nawehishim na nawapenda washirazi na waarabu..! lkn naupenda zaidi ukweli..!na ikitokea baadhi ya wazanzibar wakataka kwenda iringa au tabora au mahali popote pale kwenda kuwatendea yasiyofaa wenyeji wa huko mimi nitakuwwa wa kwanza kukabiliana nao..! na ilikuwa bahati mwaka nazaliwa mapinduzi yalikuwa tayari, vinginevyo nachelea ningefanya nini, sababu, nisingeukubali ukoloni..! isitoshe mafundisho matakatifu ya imani yangu yananifundisha kuwa usultan na ufalme, na uongozi wowote wa kurithishana ni kinyume na mafundisho yangu matakatifu...alivyotoka bwana mtume (saw) hakufuata hadhrat ali (as) sababu mojawapo ni nasaba yao, ingekuwa ni kurithishana madaraka ya dola ya kwanza na ya pekee ya kiislam..!
 
Back
Top Bottom