Ngoja tumsubirie huyo mwenye kufuli moyoni πSio wa kuumwaga huu, natakiwa nimwambie mtu ambae moyo wake una kufuli....
Babe i thnk naishi kwenye dunia yangu ..mimi sina hata hofu na mtu eti...relax! Napenda zaidi maadui kuliko marafiki wanafikiπ₯°!Pancho mkuu unakosea sana, muombe msamaha Wangari Maathai this is not fair at all/ itβs not acceptable
Kwani mkuu mbona wametajwa wengi Why aombwe msamaha yeye tu?Pancho mkuu unakosea sana, muombe msamaha Wangari Maathai this is not fair at all/ itβs not acceptable
Inasemekana eti hata habari za tanzia unacheka ππMnanimaindi sio?π π π mie kufurahi ndio jadi yangu
Ana bandama kubwa nasikia....Inasemekana eti hata habari za tanzia unacheka ππ
Ha haha nashangaa hujawekwa kwenye list wakati wewe ndo mvurugaji namba moja. Shoga usingizi umekata na nipo alone. Ngoja niendelee kuvuruga...lawama zote kwakoAna bandama kubwa nasikia....
Demi is it half time?π
(Nimekuja kuvuruga mada)
πππ Mi huwa sivurugi, si unaona kwenye rada ya Pancho sipo.Ha haha nashangaa hujawekwa kwenye list wakati wewe ndo mvurugaji namba moja. Shoga usingizi umekata na nipo alone. Ngoja niendelee kuvuruga...lawama zote kwako
ππ Kwa kweli, na wewe mbona hujalala tatizo nini?πππ Mi huwa sivurugi, si unaona kwenye rada ya Pancho sipo.
Usingizi umekata tangu saa nne nipo macho, sioni hata dalili za kulala....ππ Kwa kweli, na wewe mbona hujalala tatizo nini?
Kuna limoja linajiita juu ya ndimu.
Yaani hili ni pulizo kabisa....[emoji41]