Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..unachokosea ni kwamba ndege zinaendeshwa kwa HASARA.Mafuliko ni jamabo la mda lakini foleni ni la kila siku
Jitambue
Vijiji wanadai wao wamechangia shilingi ngapi kwenye hilo pato la taifa?
Na ndio.maana anawambia ndege haziwasaidii lakini hasemi hizo hela za dawa na maji zinatokana na hizo ndege
Ninulaghai tu,
Hueezi kuacha kumlisha ng'ombe chakula kizuri ili atoe maziwa zaidi eti unanyima unapeleka kwa wasiotoa maziwa kisha huyu ng'ombe akikosa kabisa maziwa hata huyo wa kijijini hatapata hayo maziwa na atakufa tu.
Ndugu iwavyo vyote ila wengine faida twaiona mchana kweupe. Daladala yetu imekuwa ikienda ruti kama ni nyingi hazikuzidi nane yaani nne kwenda poster na nne kurudi gongolamboto leo ni zaidi ya ruti 16.Kwani nchi hii kuna flyover?
Msituchanganye wananchi hayo ni mavivuko tuu yanaitwa interchange
Mbona watetezi wa ccm mmepwaya sana mwaka huu wamewatoa wapi mje muokoe jahaziKama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Ila kuna watoto wa darasa la tano njombe mvua ikinyesha wiki mzima hawaendi shule kwasababu mto unaotenganisha vitongoji imejaa majiNdugu iwavyo vyote ila wengine faida twaiona mchana kweupe. Daladala yetu imekuwa ikienda ruti kama ni nyingi hazikuzidi nane yaani nne kwenda poster na nne kurudi gongolamboto leo ni zaidi ya ruti 16.
Lissu ananadi Sera ambazo hata mwenye chama Mbowe hana.. Chama magumashi hiki hatari kabisa. Malizia kampeni zako urudi kwenu Ubelgiji kwa bwana zako waliokutuma.Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Kasema Mimi nimemsikia ila Chadema hawawezi kukubali kwamba kachemka.Kama kweli hujammezesha maneno basi kakosea ila sijasikia popote akisema ivyo.
Pili, izo sio flyover ni interchange. Ungekuwa na exposure ungeweza tambua flyover ni nini!
Ndo hayo Lissu anasema yasingekuwepo hayana faida kwa wananchi wa kijijini kwao.Kwani nchi hii kuna flyover?
Msituchanganye wananchi hayo ni mavivuko tuu yanaitwa interchange
Sasa ni mwendo wa kutafuta kura, ikiwezekana hata fitina tutatumia tu. Kwani unaposema kitambulisho chaweza kutumika kukopa benki unaielewaje hiyo, ina uhalisia wowote? Kitambulisho hakina jina, picha, anwan wala sahihi ni benki gani hakukubali kitambulisho hicho! Anza na hilo kabla ya kwenda kwenye flyover!Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Aliyekwambia kuna hasara ni nani?..unachokosea ni kwamba ndege zinaendeshwa kwa HASARA.
..tumenunua kwa fedha taslimu, na bado shirika linatumia RUZUKU toka serikalini.
Inaonyesha exposure yako ni kubwa sana keep it Up, with an explanation ya ubungo kuwa sio "flyover" maana ukitoka Mjini Kwenda Kimara utakuwa una :interchange" toka Mjini kuingia kijijini?? Na vivyo hivyo ukitoka buguruni kwenda Mwenge utakuwa una "interchange" toka buguruni kuchange to Mwenge hongera sana.Kama kweli hujammezesha maneno basi kakosea ila sijasikia popote akisema ivyo.
Pili, izo sio flyover ni interchange. Ungekuwa na exposure ungeweza tambua flyover ni nini!
Kijijini kwao wanazalisha nini kwa uvhumi wa nchi?Ndo hayo Lissu anasema yasingekuwepo hayana faida kwa wananchi wa kijijini kwao.
Hebu lete Auditing statement yao tuoneAliyekwambia kuna hasara ni nani?
Acheni ulongo wenu. Tatizo.mnafata habali kutoka kwa viongozi weu ambao ni waongo, mara magufuli kakutana na wakurugenzi , mara kampuni ya ku print karatasi ni ya kada wa CCM, sasa hao ndo muna waamini?
Kuhusu kuleta watalii kumbuka kabla ya corona ndege yetu ilikuwa imejaa kutoa watalii china.
Na walikuwa wanashughulikia kibali cha kwenda nchi za ulaya. Na corona ilivyoingia kila kitu kikasimama,
Leo anakuja Tundu lisu anakuwa ndo mtoa habali wenu wakati hata hakuwa hapa nchini na mna muamini.
Tumieni.akiri zenu wenyewe.
Tatizo hana wapambe wa uchumi,wala washauri wa biashara. Hata pale anapokuwa na jambo jema hatokei msemaji wa chama kulieleza kwa ufasaha.Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Kwa hiyo mimi ndo nikupe wakati wewe mdo umesema wanapata hasara?Hebu lete Auditing statement yao tuone
acheni huu ujinga wa Mbuni...ikiwa mashirika makubwa yenye uzoefu wakufanya hiyo biashara ya ndege wanalia hasara kila mwaka nyie mlioanA juzi anaongea ujinga sijui kwa kumfurahisha nani
Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Kwani dar watu wote wanapita ubungo au tazara?HABARI,
JokaKuu
Nashukuru sana Joka kuu nimekuelewa ni kweli barabara nyingi za vijijini ni mbovu na ndiko vyakula na vinapotoka mimi nadhani Lissu angesema ataweka mkazo kwenye barabara za vijijini Lakini sio kusema zile barabara za juu ubungo asingejenga kwanza pale amejiharibia kwa wapigakura wa dar.
Lakini hata mwendo kasi kama kapanda pia akienda na hiyo dhana yake inamaana hata huo mradi wa mwendo kasi alio panda haukuwa na umuhimu kwa dar maana miradi yote hiyo ni kupunguza msongamano wa Dar.Ambako ndiko ukusanyaji mapato ya nchi makubwa yanatoka huo.
Uwezi kulikwepa jambo la kupunguza msongamano dar hata kidogo kwani hata hizo pesa za kujenga barabara za huko vijijini zitatoka kwa kiasi kikubwa na mapato ya Dar.
LUMUMBA