Pre GE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona Mwigulu alisema watu wahamie Burundi??
 
basata ni masalia ya ujamaa wa kijima uliotaka kulazimishiwa wabongo na viongozi wake wa mchongo ambao bado wapo na wanazidi kurudi nyuma kwenye akili zao
 
ney ni mpumbavu wenzie wanatafuta hela yeye anaangaika uhanaharakati uchwara, kaingia kwenye kumi na nane za maria sarungi yule mwanamke ni nyoka
Mpumbavu ni wewe ambaye unaona hali mbaya ambako wanaotegemewa kutulinda (polisi) wanatajwa na wahanga kama Sativa wanawataja akina Mafwele lakini wanaowataja wanafunguliwa mashtaka kama Boni Yai.

Ukiamua kuwa muoga na huna guts bure ukae kimya ila anayesema kweli aache aseme kweli
 
Kwani yule aliedai kwamba "Tuhamie Burundi" kisa wananchi kukataa matozo yao yasiyo na kichwa wala miguu, yeye alifunguliwa KESI ya aina gani?
Kuhakikishiwa kula kwenye nafasi nyeti pale hazina kiasi cha kuwa na hela ya kununua timu ya mpira
 
Katika watu hawajui kuimba ni huyo Ney wa mitego alikosea kila kitu kwanzia kuchagua jina lake la sanaa mwanaume unajiitaje Ney alaf wa mitego!
Aachwe asifungiwe
Hivi wewe ni jinsia gani unayemuonea wivu mwenzio
 
Hivi yupo mtaani huyu alifaa kumfuata Bon yai aliko

USSR
 
ney ni mpumbavu wenzie wanatafuta hela yeye anaangaika uhanaharakati uchwara, kaingia kwenye kumi na nane za maria sarungi yule mwanamke ni nyoka

Huyo Ney wa mitego kama hatafutu hela wewe ndio unamtunzia familia yake!? Nyimbo za harakati ni nyimbo sawa na nyingine ,unataka waimbaji wote waombe nyimbo za mapenzi!?au inataka wote wawe machawa!?Kila mmoja na maudhui yake
 

Your browser is not able to display this video.
 
Hakuna kesi hapo...

Huu Moja kwa moja ni uvamizi na tishio la uhuru wa watu kujieleza katika mtindo wa kukosoa...

Makosa yote ni kwa sababu tu "Rais Samia" na "serikali" wameguswa kwa kukosolewa....

Na kwa hiyo logic ya kila kosa ni kumlinda mtu, binadamu mwenye cheo cha "Rais" na watu wake wanaoitwa "serikali..."

Wajinga hawa. Rais na serikali ni kitu gani kwani? Hawa si ni watu/binadamu tu ambao wanakosea na kustahili kukosolewa kwa ukali wote...?

Badala taasisi zetu hizi zihangaike kulinda nchi/taifa letu, zinahangaika kutetea na kulinda mtu/watu wajinga na wapumbavu wanaojiita "serikali" lakini walioshindwa kuongoza taifa hili zuri la Tanganyika na watu wake kuelekea katika nchi ya asali na maziwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…