Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Tajiri anadai nyoka wake [emoji28][emoji28][emoji28]
Huwa naifikiria mpaka Sasa nakuona hii dunia Ina Mambo mengi sana Tena hawa wakubwa wenye vyeo maofisini Wana Siri nzito kabisa.
 
Tusipoiamini milango yetu ya fahamu tuamini nini?
 
Hakuna sehemu katika masimulizi yako inaonyesha kuwa unatatizo la akili. So, achana nao wanaotaka utoke kwenye relief ya stori zako.
 
Huo unaouwita ujuzi mara nyingi unatumika vibaya ndio maana watu wanaupiga vita.
 
Sure [emoji106]
 
Umenikumbusha kambarage Kuna mama anauzaga supu amazing I hapo,shy ukitembea usiku hivyo vitu ni vya kawaida kama ungesimamisha piki piki ndio ungekufa
Bila Shaka itakua ni kwa devota dada wakisabato
 
Wewe ni MCHAWI unataka ku manipulate fikra za watu.

Tulia mambo yenu yaanikwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji31][emoji31][emoji31] doze ya 5 years looooh
 
Endelea kuamini wenge hivyo ni vitu ambavyo Mimi huwa vinanifikirisha mpaka Sasa
Utaona ni uongo kwa sababu hayajakutokea na hujashuhudia ila Kama umeshuhudia hutokuja na hizo ngonjera sijui hospital sijui malaria.
Hao ndo wachawi wenyewe wanajaribu kupindisha habari. [emoji837]
 
Tangu mwaka 2018 hadi leo hii yupo kwenye dose ya Malaria??? 🤔🤔
Tangu mwaka 2018 hadi leo hii yupo kwenye dose ya Malaria?? 🤔🤔
 
Aisee, kweli amepitia changamoto, Mwenyezi Mungu amkumbuke Inshallah.
 
Nilishuhudia (tambiko) kafara ya chatu mkorofi,
pwani kwa mganga wa mr(borntown)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…