sielewi ni ushetani upi unaouzungumzia wakati muziki ni ushetani toshaKuna mda inabidi mtu aaache unafiki tu.Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni Ushetani tu.Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.
haya mawazo ya kuzikana nyota ni mawazo ya kipuuzi sana, dah we jamaa wa wapi? nyie ndio walewale wachawiMpaka Kiba amesimama tena kwenye muziki alihangaika sana nisikiavyo hasa visomo vya Mombasa kwa Joho vimemsaidia sana. Diamond na mama yake walishaizika nyota yake. Kiba hana hamu kabisa.
Diamond hawezi kumchezea Hamo, Chitoholi si mchezo. Aliweza kuwazima walee wa mwanzo sasa atulie.
Mbona amwaliki OMMY DIMPOZI???Mimi huwa nashangaa kwanini kila Diamond anapotaka kufanya hii festival yake lazima amualike Kiba tena kwenye vyombo vya habari. Kwani hawa wasanii wengine huwa anawapataje na kwa Kiba kwanini asipitie njia hiyo hiyo. Kama huu sio unafiki ni nini? Au ndio hawezi kuishi bila kiki!!!
ukweli ni kwambaukiona mtu analalamika kua kaibiwa nyota ujue ni mshirikina mzoefu na anashindaga kwa waganga, sio uislamu au ukristo unaokubali shirkiMi nakuambia hakuna chochote kibaya ila unganisha dot tokea apewe mkono na Chibu akageuza kuona anaibiwa nyota, Huyu Kiba hana tofauti na Q-Chila, kipindi fulani Chila aliliaga kuwa Mondi kamuibia nyota yake, hayo ndo wanadanganywa na waganga wao....
umenena bro [emoji16]Sawa mke wa kiba maana umeongea kama ulikuepo kwenye visomo na kama uliwai kufika kwa mganga wa chitoholi
Ushabiki sio mzuri kabisa kwa kitu usicho kijua
Asee JF imeingiliwa na vijitoto vya 2000 inaanza poteza mvuto izi habari za mipasho na chai huku tulikua hatuna kabisa
By the way mimi sio team kiba wala team mondi mimi team mziki mzuri
takwimu hazidanganyiUnajuaje??
achana na hivi vitoto vya 2005 havijui lolote, viko form2 ndo vimevamia mitandao na simu za kuhongwaAnaishi kwake, hajawahi kuomba hela ya kula wala ya mafuta ya gari
Deep thinkingMimi huwa nashangaa kwanini kila Diamond anapotaka kufanya hii festival yake lazima amualike Kiba tena kwenye vyombo vya habari. Kwani hawa wasanii wengine huwa anawapataje na kwa Kiba kwanini asipitie njia hiyo hiyo. Kama huu sio unafiki ni nini? Au ndio hawezi kuishi bila kiki!!!
huyu anachokionesha ni u~team mnafki huyu shori
Kwaiyo unataka kusema kiba anaimba basi tu? Mafii weeKiba hajafeli mziki sema kiba hategemei mziki mondi anategemea mziki n.a. anapenda sifa mond ni mnafiki kweny media anajidai kondoo kumbe mbwa mwitu
Akikujibu nambie ππππHivi unaposema kiba hategemei mziki na diamond anategemea mziki maana yake nini. Diamond ana biashara kama radio, tv na matangazo kibao. Niamboe kiba anategemea nini
Unakili sanaKuna mda inabidi mtu aaache unafiki tu.Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni Ushetani tu.Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.