Wakati mwingine unaweza kuwa unamtafuta mchawi wakati mchawi ni wewe mwenyewe, Ukawa na hisia ya kulogwa wakati hakuna anayekuloga.Hata ungekuwa wewe lazima ukasirike. Yaan mtu anakufanyia vitu vibaya chini ya pazia ila akija mbele za watu anajofanya yeye hana tatizo ila wewe ndiye mwenye tatizo. Ndiyo maana leo ameamua amtolee uvivu, kama alivyofanya kipindi kile cha kiti na malkia wa nguvu.
Kajamaa ka tandale kanafiki sanaMimi huwa nashangaa kwanini kila Diamond anapotaka kufanya hii festival yake lazima amualike Kiba tena kwenye vyombo vya habari. Kwani hawa wasanii wengine huwa anawapataje na kwa Kiba kwanini asipitie njia hiyo hiyo. Kama huu sio unafiki ni nini? Au ndio hawezi kuishi bila kiki!!!
Penseli yawezekana ni new track ya mond feat king kiba...kuzima uno la.kondegengeJama kwenye kipindi cha Block 89 wamegawa Penseli na karatasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Video alirecord nani adi wakina Diamond wavujishe ?Takataka, hujui chochote
Unanikumbusha kipind kile Edo anakatwa...Kajamaa ka tandale kanafiki sana
Naye akaroge kama ni kweliKwakweli watu wengi sana hawajaelewa hili suala. Lipo hivi , Hamornez amejiondoa WCB na kuondoka kwake hakuna ishara yakuwa ameondoka vizuri yani niwazi kuwa hakukuwa na maelewano mazuri na WcB. Sasa huyohuyo konde boy leo amekuwa na maelewano mazuri na Clouds mpaka kufanya mahojiano nao. Clouds ni team Kiba. Na nina amini yakuwa Konde na Kiba ni marafiki kwa sasa, kwahiyo hata kama Ali alikuwa anahujumiwa kwa njia ya uchawi na WCB basi siri zote atakuwa anazo kwa sasa. Ila mimi binafsi siamini haya mambo. Kwamana riziki yako kama ipo ipo tu.
Ina sound girlish'unikome' hii sio kauli ya mwanaume...mambo gani hayo
Kama ni real hadi sasa hivi naona mond ta ta ta tu king bila bila yaan Domo 3 yebaba 0Sidhaniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa .bifu yao ni reall
Usiniulize vijiswali vya kiswahiliVideo alirecord nani adi wakina Diamond wavujishe ?
Hivi Twitter unatumia jina hili hili boss?Kiba kajibu kama demu anii [emoji23][emoji28][emoji28]
Very sluggish [emoji51][emoji51]
umemdaka kwenye mawayawayaππππHivi Twitter unatumia jina hili hili boss?
Usituletee tuhuma humu kwa maneno ya vijiwe vya kahawaUsiniulize vijiswali vya kiswahili
Ameulizwa swali kuhusu Kibakuli amejibu , hivyo waandishi ndio wajifunze kuuliza swali bila kumtaja KibaDah jamaa hawezi kusimama bila uchokozi na msanii au media yaan bila kuwa na upinzani mhuni hawezi but sio mbaya ndio tonge lake lilipo π
ILA MWAMBA ANA PLAN ZA KI KOKO KINOMA ππ
Vijiwe vya kahawa mnavijua ninyi viswahiliswahiliUsituletee tuhuma humu kwa maneno ya vijiwe vya kahawa
Unaleta tuhuma halafu ushahidi umeweka chumbani kwako , hizo mambo usilete kwenye majukwaa.ya watu timamuVijiwe vya kahawa mnavijua ninyi viswahiliswahili