Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Kiboko ya diamond ni harmonize, kwa sababu wote ni wachawi wakubwa na harmonize kamzidi diamond, diamond kamzidi ali kiba, wote wanga hawa
 
Wakati mwingine unaweza kuwa unamtafuta mchawi wakati mchawi ni wewe mwenyewe, Ukawa na hisia A kulogwa wakati hakuna anakuloga.
Hakuna kitu kama hicho. Hivi unaweza kuniambiaje, mtu ametoa nyimbo zaidi ya nne kwa vipindi tofauti na kila wimbo unapotoka unapata views za kutosha.

Ila wakati watu wengi wanapoanza kuuangalia ghafla views zinasimama kwa siku nzima na views zikianza kusoma zinapungua kwanza ndipo zinaendelea na mwisho wa siku wimbo haufikishi views nyingi.

Sasa hapo mchawi wa alikiba anakuwaje alikiba mwenyewe?
 
Hapo kwenye harmo kutoa siri za wcb dhidi ya kiba panaweza kuwa na ukweli fulani
 
Diamond ni moja kati ya watu wanafiki n waswahili sana. Anaweza kufanya jambo la kishenzi kisha akatoka mbele ya watu akadiss sana then kesho atakuja kuomba sympathy ahurumiwe.
 
Kazi zao zinaruhusu ata Marekani si unaona kila siku kuna drama.mpya , ni ngumu kutenganisha usanii na kiki , mara nyingi vinakwenda pamoja
hamna yoweee acha tuone kid alie mtengeneza akimpiga bila huruma
 
huyu alikiba huaga anatabia fulani ya kujifanya yeye nod anataka kisujudiwa halafu ana element za kike kama ni mwanaume hakua anataka kwenda kwenye tamasha hilo angesema tuu siwezi kwenda..ila ni kawaida ukiwa unasifiwa ana na mademu na wewe unakuwa na akili za umbea walimsifia king sasa ana kinyongo na msela...menge tuu i hate this nigga from day one that nigga aint real..no wonder her bi,tch left his ass bitchhing ass
 
[emoji23][emoji23][emoji23]futuhi kweli ni futuhi..harmonize kamzidi diamond



Izi bhangi mna vutiaga wapi

Kamzidi kiuchawi brother...wewe ndio futuhi huwezi kuchambua na kuelewa hata kilichoandikwa, dumb you

Bangi leo nnavutia hapa watumishi house magomeni usalama, floor ya nne [emoji23][emoji23]
 
mimi mwenyewe sipendezwi na hiyo tabia.....
 
Pumba
 
Mi nakuambia hakuna chochote kibaya ila unganisha dot tokea apewe mkono na Chibu akageuza kuona anaibiwa nyota, Huyu Kiba hana tofauti na Q-Chila, kipindi fulani Chila aliliaga kuwa Mondi kamuibia nyota yake, hayo ndo wanadanganywa na waganga wao....
Lete ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…