ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hapa unataka kusemaje ?Hakuna kitu kama hicho. Hivi unaweza kuniambiaje, mtu ametoa nyimbo zaidi ya nne kwa vipindi tofauti na kila wimbo unapotoka unapata views za kutosha.
Ila wakati watu wengi wanapoanza kuuangalia ghafla views zinasimama kwa siku nzima na views zikianza kusoma zinapungua kwanza ndipo zinaendelea na mwisho wa siku wimbo haufikishi views nyingi.
Sasa hapo mchawi wa alikiba anakuwaje alikiba mwenyewe?
Unikome nakwambiaKiba amezingua, mwanaume ana kijembe kikali namna ileee
Angalau we nimekuelewa kkHapo ndio tunajua tofauti ya mtu anayeamini Misingi ya Hard work (Platinumz) na yule anayesubiri miujiza(Miracle) kukua kimziki zaidi.., Hapo Lazima Uamini "UCHAWI" (Kurogwa)-Kiba
Ila sikutegemea kama KIBA ataweza kutumia neno hili "UNIKOME" naona tunazidi Punguza idadi ya wanaume Tanzania.
Anakosa utamu wa kushirikianaKibakuli bwana.
sawa tanashaMimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.
Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!
Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.
Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.
Yaana yeye siku zote ni INNOCENT
Huyo mjinga na wenzake wapo humu kuleta story uchwara ambazo ni baselessUsituletee tuhuma humu kwa maneno ya vijiwe vya kahawa
Mimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.
Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!
Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.
Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.
Yaana yeye siku zote ni INNOCENT
Huu ujinga wanauandika wakiwa hawajatumia kilevi chochote. Siku watakayothubutu kuvuta bangi wata comment mashudu hapa Jf wakiwa na vyupi vichwani.[emoji23][emoji23][emoji23]futuhi kweli ni futuhi..harmonize kamzidi diamond
Izi bhangi mna vutiaga wapi
Tanasha yuko hapo juusawa tanasha
Wanazingua sana kuleta mambo ya vijiweni hapaHuyo mjinga na wenzake wapo humu kuleta story uchwara ambazo ni baseless
kwa nn watu mnaamini kuwa kiba anarogwa na mond.....mnatumia kigezo gani kutuaminisha swala ilo?Kwakweli watu wengi sana hawajaelewa hili suala. Lipo hivi , Hamornez amejiondoa WCB na kuondoka kwake hakuna ishara yakuwa ameondoka vizuri yani niwazi kuwa hakukuwa na maelewano mazuri na WcB. Sasa huyohuyo konde boy leo amekuwa na maelewano mazuri na Clouds mpaka kufanya mahojiano nao. Clouds ni team Kiba. Na nina amini yakuwa Konde na Kiba ni marafiki kwa sasa, kwahiyo hata kama Ali alikuwa anahujumiwa kwa njia ya uchawi na WCB basi siri zote atakuwa anazo kwa sasa. Ila mimi binafsi siamini haya mambo. Kwamana riziki yako kama ipo ipo tu.
kwa hiyo viewz zikiganda mtuhumiwa ni mond et?Hakuna kitu kama hicho. Hivi unaweza kuniambiaje, mtu ametoa nyimbo zaidi ya nne kwa vipindi tofauti na kila wimbo unapotoka unapata views za kutosha.
Ila wakati watu wengi wanapoanza kuuangalia ghafla views zinasimama kwa siku nzima na views zikianza kusoma zinapungua kwanza ndipo zinaendelea na mwisho wa siku wimbo haufikishi views nyingi.
Sasa hapo mchawi wa alikiba anakuwaje alikiba mwenyewe?
Angemualika bila kumtaja?Hivi angemaliza press bila kumtaja kiba shida ingekuwa wapi????
Na je, ina maana MONDI harogwi?kwa nn watu mnaamini kuwa kiba anarogwa na mond.....mnatumia kigezo gani kutuaminisha swala ilo?
hapo sasa.Na je, ina maana MONDI harogwi?
Si ndio hapo mkuu, Eti mtu yupo kwenye game toka sijui 2005 kazubaaga tu,leo anaanza kulilia anahujumiwa, Hivi kila siku unahujumiwa wewe tu, sasa si uhujumu na wewe ufanikiwe.[emoji3][emoji3][emoji3]Alikibakuli uliibiwa penseli na mond kwani mlisoma shule moja??kwanza we kiba ndio ulikuwa kwenye game kitambo tangu enzi za kina ndio mzee.Sasa kwanini mond anakuacha mbali hivo?yaani kiba we hunaga nyimbo nzuri kabisa sio mashairi wala video sanasana unabebwa na clouds ndio maana unafanyaga interview vipindi vyote vya clouds fm kwa sik moja kuanzia PB, LEO TENA, mpaka XXL, mi sijawahi on a ubebwaji huo?lakini still bado tu humfikii mond.Tuyaache hayo Mond kaamua kupuuzia bifu kakuita ukajiunge nae angalia ulicho jibu, we jamaa una upeo mdogo sana kacheze mpira tu.
Harmonize,Lavalava,Mbosso na Rayvanny ni wakulima?You know nothing bro hujui kinachoendelea kati ya hao wawili so bro kwa kimya tu na ukiwa msanii usijenge urafiki na mond don't try that it'll cost you big time.