Haya ni makampuni makubwa miongoni mwa 400 yanayowekeza mabilioni ya dola nchini Israel kwajili ya Utafiti na Ubunifu (Research and Design)

Haya ni makampuni makubwa miongoni mwa 400 yanayowekeza mabilioni ya dola nchini Israel kwajili ya Utafiti na Ubunifu (Research and Design)

Update: Nimeleta habari za kisomi nashangaa kuna watu wameanza kuingiza mihemko ya kidini, Tatizo nini ?

Katika kampuni za teknolojia, idara ya Utafiti na Ubunifu (Research and Design) inahusika na kubuni na kuendeleza bidhaa, huduma, au teknolojia mpya kwa kutumia maarifa ya kisayansi, ubunifu, na mbinu za kisasa. Hii ni moja ya idara muhimu zaidi katika kuhakikisha kampuni inabaki kuwa na ushindani sokoni.

Why Israel - Israel wanapenda sana kusoma na kuitafiti science ndio maana watu wenye asili ya Israel wameshinda noble prizes za science nyingi kuliko kundi lolote duniani, Makampuni yamewekeza kwa watu wabunifu na wanaopenda sayansi.

Kila kinachobuniwa kinakuwa ni mali ya kampuni, wanaobuni huuza ujuzi wao kwa malipo ya pesa.

Samsung (Korea)- Kampuni hii ya Korea Kusini inafadhili miradi ya utafiti inayolenga teknolojia za simu na vifaa vya kielektroniki.

Intel (Marekani) - Kampuni ya teknolojia inayojulikana kwa utengenezaji wa microchips inayoendesha vituo vikubwa vya utafiti na maendeleo nchini Israel.

Huawei (China) - Kampuni kubwa ya teknolojia inayowekeza katika utafiti wa mawasiliano ya simu, akili bandia, na maendeleo ya teknolojia ya 5G.

Google (Marekani) - Inayo kituo cha utafiti kinachoshughulikia teknolojia za utafutaji, akili bandia, na usalama wa mtandao.

Ericsson (Sweden) - Inashiriki katika utafiti wa mitandao ya simu, teknolojia za wingu, na huduma za data za kasi ya juu.

Sony (Japan) - Inawekeza katika teknolojia za picha, sauti, na akili bandia kwa ajili ya bidhaa za kielektroniki.

Microsoft (Marekani) - Ina kituo kikubwa cha Utafiti na Ubunifu kinacholenga maendeleo ya programu na huduma za wingu (cloud services).

Siemens (Ujerumani) - Inawekeza katika teknolojia za viwandani, nishati mbadala, na mifumo ya afya yenye akili.

Apple - i phone (Marekani) - Ina kituo cha utafiti nchini Israel kinachobobea katika maendeleo ya chip za kisasa na teknolojia za vifaa vya rununu.

Nokia (Finland) - Kampuni inayojikita katika utafiti wa miundombinu ya mawasiliano ya simu, hususan 5G na IoT (Internet of Things).

Meta - Fb, Insta na Whatsapp (Marekani)- Inawekeza katika teknolojia za akili bandia, ukweli halisi (VR), na usalama wa data.

Fujitsu (Japan) - Kampuni ya teknolojia inayofanya kazi kwenye maendeleo ya supercomputers, huduma za wingu, na usalama wa mtandao.

Amazon (Marekani)- Inayo timu za utafiti nchini Israel zinazojikita katika teknolojia za wingu, biashara mtandaoni, na usalama wa mtandao.

NVIDIA (Marekani)- Kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa GPU na akili bandia, ikiwa na kituo cha maendeleo nchini Israel.

Philips (Netherlands) - Inalenga maendeleo ya teknolojia za afya, vifaa vya uchunguzi wa matibabu, na suluhisho za taa za kisasa.

Cisco Systems (Marekani)- Inawekeza katika teknolojia za mitandao na usalama wa mtandao kupitia vituo vyake vya utafiti nchini Israel.

IBM (Marekani)- Inashirikiana na wataalamu wa ndani nchini Israel kuendeleza teknolojia za kompyuta zenye akili bandia na uchakataji wa data kubwa.
Huawei wanafanya nini Israel kama sio siasa za maji taka
 
Waafrika tuna safari ndefu sana.Na hizi dini ambazo tunajidai tunazijua kuliko waliopewa, ndio kabisaa.
 
Hili swali la Mtu maamuma sana. Unajua kiingereza kidogo? Hata cha kuombea maji?
Soma hapa chini.

View attachment 3165398View attachment 3165399View attachment 3165400View attachment 3165401
Kama hayo yana ukweli, kwanini Israel imekuwa nchi ya kutegemea misaada tu, ktk nchi 20 tajiri duniani haipo. Tumekaririshwa sana MATANGO poli
 
Kama hayo yana ukweli, kwanini Israel imekuwa nchi ya kutegemea misaada tu, ktk nchi 20 tajiri duniani haipo. Tumekaririshwa sana MATANGO poli
Hayo matango poli ni nini? Kama hujui kuandika poli kweli utaelewa haya sisi wenye akili tunajadili?😁 Angalia inventions nyingi zimesaidiaje Dunia. Sijui kama unaelewa maana ya invention?😁 Dogo Elimu nayo ni muhimu sana ili kupanua ubongo. Msipanue tu makalio😁
 
Dogo sijuu kama unafahamu kiingereza. Ungemwambia mtu akusomee. Unajua hata chanjo kadhaa unazopata ni kutoka kwao?
Taja chanjo moja tu ambayo dunia nzima inatengenezwa huko pekee dunia now sio kama Ile ya propaganda mlotumezeshwa miaka 50 au 70 nyuma huko hao jamaa kwenye paper 📄 ndio spesho kama munavyo wasemea hapa ila uhalisia umewakataa Kabisaaaa
 
Kwa sasa hizi ngano hazina tena nafasi tupo mwaka 2024 hizo propaganda hazina tena nafasi tupa kule kwasasa tunaelewa kwamba wahindi wanaweza kufanya vyema kuliko hao wazayuni wa mchongo wachina wanafanya vyema pia hatujasahau wa Korea bila kuwataja wa Japan nk nk
Pia wayemen, wasomali, waafghan, wairak, wairan, wapalestina wapo vizuri sana na makampuni makubwa mnoo yamewekeza huko kwenye utafiti ila vyombo vya mazayuni vinaona wivu kuripoti
 
Hizi propaganda hazina nafasi Kwa ulimwengu wa sasa
Mwambie huyo kuna watu wana akili nyingi kama waarab? yeye hajui tu waarabu ndo wabunifu na wavumbuzi wa bhargashia, misuli, majambia, na dunia nzima inavitumia.
Kuna mwarab akiitwa muhamad saw hakujua kusoma wala kuandika na bado akavumbua dini na msaafu wake na leo ina wafuasi kibao.
 
Pia wayemen, wasomali, waafghan, wairak, wairan, wapalestina wapo vizuri sana na makampuni makubwa mnoo yamewekeza huko kwenye utafiti ila vyombo vya mazayuni vinaona wivu kuripoti
Tutajie hayo makampuni sheikh
 
Kwa sasa hizi ngano hazina tena nafasi tupo mwaka 2024 hizo propaganda hazina tena nafasi tupa kule kwasasa tunaelewa kwamba wahindi wanaweza kufanya vyema kuliko hao wazayuni wa mchongo wachina wanafanya vyema pia hatujasahau wa Korea bila kuwataja wa Japan nk nk
India, Japan, China na ata USA .... Design and research Labs zao zipo Israel. The best Dawa za Cancer, HIV,Antbiotics are designed and made in USA and Israel.....
 

Attachments

  • IMG_6806.jpeg
    IMG_6806.jpeg
    63 KB · Views: 1
  • IMG_6815.jpeg
    IMG_6815.jpeg
    130.4 KB · Views: 3
  • IMG_6810.jpeg
    IMG_6810.jpeg
    62.8 KB · Views: 2
  • IMG_6807.jpeg
    IMG_6807.jpeg
    36 KB · Views: 1
  • IMG_6808.jpeg
    IMG_6808.jpeg
    29.1 KB · Views: 1

Attachments

  • IMG_6816.jpeg
    IMG_6816.jpeg
    218.4 KB · Views: 3
  • IMG_6817.jpeg
    IMG_6817.jpeg
    789.6 KB · Views: 1
Hayo matango poli ni nini? Kama hujui kuandika poli kweli utaelewa haya sisi wenye akili tunajadili?😁 Angalia inventions nyingi zimesaidiaje Dunia. Sijui kama unaelewa maana ya invention?😁 Dogo Elimu nayo ni muhimu sana ili kupanua ubongo. Msipanue tu makalio😁
🤣🤣🤣 Nawewe unajiita ni mtu mwenye akili kwasababu tu umekariri maana ya invention🙈 huu ni msiba.
 
Watu wenye akili tunataka kukupa akili unakuwa mbishi.
🤣🤣🤣 Kunipa akili au kunikaririsha upumbafu, ingekuwa hivyo kama ulivyokaririshwa, kwanini wamekwa ni watu wa kusaidiwa mpaka kwenye bajeti yao. Tumeona kwenye AD zao ziko poorly yaani hata za Iran ni bora sana. Kusoma ndio tunaweza kuwa hatujui lakini picha tunaziona.
 
🤣🤣🤣 Kunipa akili au kunikaririsha upumbafu, ingekuwa hivyo kama ulivyokaririshwa, kwanini wamekwa ni watu wa kusaidiwa mpaka kwenye bajeti yao. Tumeona kwenye AD zao ziko poorly yaani hata za Iran ni bora sana. Kusoma ndio tunaweza kuwa hatujui lakini picha tunaziona.
Tatizo la madogo wa miaka ya 2000s hampendi kabisa kusoma kutafuta ukweli. Unafaham faham english hata Kidogo?
PAta hizi DATA hapa. Mwambie mtu ambaye angalau anajua kiingereza akusaidie.
 
Update: Nimeleta habari za kisomi nashangaa kuna watu wameanza kuingiza mihemko ya kidini, Tatizo nini ?

Katika kampuni za teknolojia, idara ya Utafiti na Ubunifu (Research and Design) inahusika na kubuni na kuendeleza bidhaa, huduma, au teknolojia mpya kwa kutumia maarifa ya kisayansi, ubunifu, na mbinu za kisasa. Hii ni moja ya idara muhimu zaidi katika kuhakikisha kampuni inabaki kuwa na ushindani sokoni.

Why Israel - Israel wanapenda sana kusoma na kuitafiti science ndio maana watu wenye asili ya Israel wameshinda noble prizes za science nyingi kuliko kundi lolote duniani, Makampuni yamewekeza kwa watu wabunifu na wanaopenda sayansi.

Kila kinachobuniwa kinakuwa ni mali ya kampuni, wanaobuni huuza ujuzi wao kwa malipo ya pesa.

Samsung (Korea)- Kampuni hii ya Korea Kusini inafadhili miradi ya utafiti inayolenga teknolojia za simu na vifaa vya kielektroniki.

Intel (Marekani) - Kampuni ya teknolojia inayojulikana kwa utengenezaji wa microchips inayoendesha vituo vikubwa vya utafiti na maendeleo nchini Israel.

Huawei (China) - Kampuni kubwa ya teknolojia inayowekeza katika utafiti wa mawasiliano ya simu, akili bandia, na maendeleo ya teknolojia ya 5G.

Google (Marekani) - Inayo kituo cha utafiti kinachoshughulikia teknolojia za utafutaji, akili bandia, na usalama wa mtandao.

Ericsson (Sweden) - Inashiriki katika utafiti wa mitandao ya simu, teknolojia za wingu, na huduma za data za kasi ya juu.

Sony (Japan) - Inawekeza katika teknolojia za picha, sauti, na akili bandia kwa ajili ya bidhaa za kielektroniki.

Microsoft (Marekani) - Ina kituo kikubwa cha Utafiti na Ubunifu kinacholenga maendeleo ya programu na huduma za wingu (cloud services).

Siemens (Ujerumani) - Inawekeza katika teknolojia za viwandani, nishati mbadala, na mifumo ya afya yenye akili.

Apple - i phone (Marekani) - Ina kituo cha utafiti nchini Israel kinachobobea katika maendeleo ya chip za kisasa na teknolojia za vifaa vya rununu.

Nokia (Finland) - Kampuni inayojikita katika utafiti wa miundombinu ya mawasiliano ya simu, hususan 5G na IoT (Internet of Things).

Meta - Fb, Insta na Whatsapp (Marekani)- Inawekeza katika teknolojia za akili bandia, ukweli halisi (VR), na usalama wa data.

Fujitsu (Japan) - Kampuni ya teknolojia inayofanya kazi kwenye maendeleo ya supercomputers, huduma za wingu, na usalama wa mtandao.

Amazon (Marekani)- Inayo timu za utafiti nchini Israel zinazojikita katika teknolojia za wingu, biashara mtandaoni, na usalama wa mtandao.

NVIDIA (Marekani)- Kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa GPU na akili bandia, ikiwa na kituo cha maendeleo nchini Israel.

Philips (Netherlands) - Inalenga maendeleo ya teknolojia za afya, vifaa vya uchunguzi wa matibabu, na suluhisho za taa za kisasa.

Cisco Systems (Marekani)- Inawekeza katika teknolojia za mitandao na usalama wa mtandao kupitia vituo vyake vya utafiti nchini Israel.

IBM (Marekani)- Inashirikiana na wataalamu wa ndani nchini Israel kuendeleza teknolojia za kompyuta zenye akili bandia na uchakataji wa data kubwa.
Historia ya wana israel ni wabunifu sana na wazuri ktk sayansi,teknolojia ndio mana mataifa makubwa mengi wana watu wao israel kwa ajoli ya ubunifu, yani hmaambiwa hz satellite hzbkila nchi inaweza tengeneza lkn ili iruke juu kule lazima umuone muisrael kama vike gari utatengeza lkn lazima uweke mafuta ili litembee sasa hati miliki ya chip anayo muisrael hawa jamaa achana nao wako vzuri sana tafuteni taarifa sio kubisha bisha bila sababu.
 
Back
Top Bottom