Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

hamna point ya msingi zaidi ya #9 kwa huu ugumu wa maisha nahc wananchi wenyewe ndo wamuzi
 
Ameeen, na iwe hivyoooo
 
Huku mkisahau mbinu ya mwisho ya chama chakavu
 
Tunatazama matendo yako juu na maneno yako tunajua rangi yako
We unaniita me Ni CCM lakini last week mashabiki wa CCM walikuwa wananiita me Ni mshabiki wa CHADEMA baada ya kuleta hoja ambayo haikuwapendeza sasa sijajua mnawazaga Nini?
 
Wanavamia mkutano na bado wanalindwa na polisi!!? hivi hii inaweza kutokea kunako mkutano wa ccm? jamani polisi nyieee

hamna mtu alievamia apo ndo maana mwandishi amehoji wote waliokuepo apo: acheni cheap politics
 
hamna mtu alievamia apo ndo maana mwandishi amehoji wote waliokuepo apo: acheni cheap politics
Sio cheap politics, hao polisi hujawaona? kwanini wahojiwe kwenye uwanja wa mkutano wa chama kingine? hizo fujo kweli huzioni?
 
Great thinker at his best 👍
 
Nikwambie ukweli ktk uchaguz ambao ccm hawakujipanga ni huu, pia ktk uchaguz ambao chadema wamejipanga ni huu, ccm hawakujipanga kwasababu hawakutegemea kama upepo ungebadili iv, ukweli ni kwamba ccm walipanga sana kutumia vyombo vya dola kupata ushindi, na mbinu iliyokuwa inategemewa kwa asilimia zote ni hiyo, Ila lissu baada ya kuja Lissu upepo umebadilika hawaelewi wafanye nini, wanashindwa kujibu hoja zinazowahusu, wanakimbilia kumtetea msajili ovyo kabisa, kiukweli Lissu kawashika pabaya sana, had mmeanza kula maindi ya kuchoma bilakupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…