Haya wale Wagumba Tukuka JamiiForums mmepewa Mbinu ya bure hii ichukueni upesi tafadhali ili muijaze dunia

Haya wale Wagumba Tukuka JamiiForums mmepewa Mbinu ya bure hii ichukueni upesi tafadhali ili muijaze dunia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kama unataka mtoto unaweza kukaa siku 14 wewe na mwenza wako bila kukutana na huwa unatakiwa kuanza kuhesabu siku ya kwanza ambayo mke wako ataanza mzunguko wake wa mwezi huku wewe Baba ukijitunza kwa siku zote hizo ili mbegu zako ziwe nyingi na zenye nguvu" Dkt. Nathanael Mtinangi, Daktari Bingwa wa masuala ya Uzazi na Magonjwa ya Kike.

Chanzo: cloudsfmtz

Yaani kabisa eti GENTAMYCINE nikae / nivumilie Siku 14 bila 'Kumbandua' Mtoto wa Kike? Labda niwe 'Nimerogwa' vilivyo.
 
"Kama unataka mtoto unaweza kukaa siku 14 wewe na mwenza wako bila kukutana na huwa unatakiwa kuanza kuhesabu siku ya kwanza ambayo mke wako ataanza mzunguko wake wa mwezi huku wewe Baba ukijitunza kwa siku zote hizo ili mbegu zako ziwe nyingi na zenye nguvu" Dkt. Nathanael Mtinangi, Daktari Bingwa wa masuala ya Uzazi na Magonjwa ya Kike.

Chanzo: cloudsfmtz

Yaani kabisa eti GENTAMYCINE nikae / nivumilie Siku 14 bila 'Kumbandua' Mtoto wa Kike? Labda niwe 'Nimerogwa' vilivyo.
Hawa nao wanatuchanganya tu, maana nimewahi kuskia wanasema mwanamume akikaa zaidi ya siku tatu bila kufanya mapenzi mbegu zinaharibika so inakua ngumu kutia mimba.
 
Kumekucha.....!!!!!!!
Niliwahi kwenda kufanya checkup ya mwili wangu na nikataka nijue uimara wa mbegu zangu pia, dokta akaniuliza kama nilishiriki tendo ndani ya siku tatu zilizopita, niliposema hapana akaniambia hata nikipima siwezi kupata majibu yaliyonyooka.

Nikapewa kale kachupa ili nirudi nikapige pige mzigo kwanza then ndio nizitoe zikapimwe kwa masharti ya kuziwahisha ndani ya masaa 24 tangu zilipowekwa ndani ya kichupa.

Doctor alikua ni mmama fulani wa kihindi.
 
Niliwahi kwenda kufanya checkup ya mwili wangu na nikataka nijue uimara wa mbegu zangu pia, dokta akaniuliza kama nilishiriki tendo ndani ya siku tatu zilizopita, niliposema hapana akaniambia hata nikipima siwezi kupata majibu yaliyonyooka.

Nikapewa kale kachupa ili nirudi nikapige pige mzigo kwanza then ndio nizitoe zikapimwe kwa masharti ya kuziwahisha ndani ya masaa 24 tangu zilipowekwa ndani ya kichupa.

Doctor alikua ni mmama fulani wa kihindi.
Huyo Dokta Mama wa Kihindi alikuwa akitaka Umbandue sema Wewe tu nawe hukutaka Kujiongeza ili Umbandue kisawasawa hadi apakumbuke Kwao Bombay na New Delhi.
 
Back
Top Bottom