Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo.

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
 
This says more about you kuliko huyo mwanamke.

Kama hakutaki na anakutukana kwanini msiachane mapema tu kwa amani? Kwanini uliendelea kumganda? Huoni kama wewe ni boya?

Moreover inawezekana kweli unatisha she was just stating the obvious.

Hakuna sababu inayo halalisha mauaji hata umkute kalala na njemba nyingine kwenye kitanda chenu wanachakatana. HAKUNA.
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine
Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana
Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack
Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?
Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Nawasikitikia jamaa zangu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma walio wengi wana mshamba wa wanawake!!
 
Na kungekuwa na kumilili bunduki hovyo wengi wangepotea. Watu wengi ukiwacheck tu unajua wanamsongo mkubwa wa mawazo na akili kuyumba. Mimi sheria yangu ni moja, simsemeshi mtu hovyo hovyo. Tena hawa polisi wetu ni basi tu. Wengi ni kama shari shari tu ukibishana nae tu umeumia.
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
 
Simple fomula kwann tusitafute pis za kuendana na ss sema hata wazaz wetu hawatuambii ukwel unapeleka mwanamke nyumban mzaz anakukaushia tu anajua huyu pumbi kapendea hiz swaga za uyu mwanamke ila kiukwel anajua kabsa hutoboi labda neema ya Mungu tu imbadilshe wanawake weng wa sasa n wa show off tu mwanamke hajal hata mumewe ukirud nyumban utakula nn et yuko kwenye harakat zake kwa kigezo dada wakaz yupo?

Wazee wetu wametupga gepu kubwa sana kwenye umilk wa wake material kabsa smplebmuangalie hata mama ako unajua kwel sio mzee wangu alikua hawaon wenye mashepu na warembo ila walitafuta watu wa kuish nao sku zote za maisha yao kwa shda na raha sio hawa ukikosa kaz mwez mmoja tu kafufua ma x wote
 
1653999871527.png
 
Nimekuta bulletproof ndani kwenye kabati la nguo zake, je ni dalili kwambaaa huyu mtu anamiliki hiki kidude???
 
Back
Top Bottom