Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi
Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo.
Ushuuda wangu
Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.
Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.
Niseme inauma saana
Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?
Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo.
Ushuuda wangu
Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.
Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.
Niseme inauma saana
Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?
Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi