Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Ni upumbavu tu

Mwanaume, kwanini umuuwe mkeo, si umrudishe kwa wazazi wake/ulipo mtoa.

Mwanamke, kwanini hutii anachokuambia mumewe! Isitoshe unaenda kwenye upumbavu zaidi/show ya diamond na kumwacha Mumewe nyumbani, kanakwamba mume amegeuzwa mke na mke amegeuka mume.

Wanawake msipobadilika mtakufa sana. Ona yaliyomkuta huyo mwanamke mwenzenu.
 
Ni upimbi uliotukuka kumganda mwanamke asiekutaka tena nikisikia mtu anafanyiwa visa vyote na hela anayo na Bdo anamganda dem ntamweka viboko vingi sana
Wamesema omba yasikukute, ila unachopaswa kujua ni kwamba unaweza kuua hata kwa kumpiga kibao mwenzako siyo lazima kwa risasi. Na bado utalaumiwa kwa kuua kisa mapenzi na utaambiwa ulikuwa unamganda
 
Mnacho shidwa kuelewa ni kuwa kuna kupenda na kuna kupenda kwa dhati tena ki hisia sana. Upendo wa dhati sio rahisi kumsahau mwenzako kama mnavyo andika, ni kama kilimo cha matikiti kwenye karatasi.

Eeeeh bhana kuna watu wanapenda we acha, yaani unakuwa umetekwa kila kitu. Sasa mtu wa namna hii ikitokea mambo kama hayo sio rahisi kumtoa huyo mwenzake kwenye akili yake. Huwa mna andika tu huenda bado haijawatokea.

Mapenzi ya nguvu sana, msichukulie poa.
 
Mnacho shidwa kuelewa ni kuwa kuna kupenda na kuna kupenda kwa dhati tena ki hisia sana. Upendo wa dhati sio rahisi kumsahau mwenzako kama mnavyo andika, ni kama kilimo cha matikiti kwenye karatasi.

Eeeeh bhana kuna watu wanapenda we acha, yaani unakuwa umetekwa kila kitu. Sasa mtu wa namna hii ikitokea mambo kama hayo sio rahisi kumtoa huyo mwenzake kwenye akili yake. Huwa mna andika tu huenda bado haijawatokea.
Ninakumbuka ujanani nilikutana na kijana kutoka Ivory Coast, alinipenda yule kaka, he was ready to do anything for me. I took him for granted and my hear was somewhere where I was never appreciated.

Looking back only if I married the guy I could have been his Queen.
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Missed calls mwisho 3 tu siku hizi. Dadadeq
IMG-20220531-WA0023.jpg
 
Ninachojua sasa hivi Marehemu wengi ndio wachokozi na ndio wasababishi wa vifo vyao.
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Wanaume sisi wengi ni Wanafiki sana sana na huwa tunatetea ujinga Ili tuonekane gentlemen mbele ya wanawake. Pole sana aiseeeee, naelewa hio situation Yako. Asubuhi ilinlbidi nianzishe Uzi hebu utafute
 
Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...
Kabisa
 
Ni upimbi uliotukuka kumganda mwanamke asiekutaka tena nikisikia mtu anafanyiwa visa vyote na hela anayo na Bdo anamganda dem ntamweka viboko vingi sana
Mkuu nyumba 3 na gari 2 ziende bure mwanaume mwingine akakojoe kwenye nyumba uliyojenga na kutoa kipepsi kwenye gari lako kweli mkuu think twice.
 
Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Hii shida inawatokea wanaume washamba washamba wanaohonga sana. Wakija kugeukwa ndio huwa kama mashetani wanawalarua mapanga wapenzi au wake zao.

Mwanaume ukishakuwa penda penda lazima itakukosti maishani. Hata kama sio kuua lazima mwanamke akuendeshe maana anakuona wewe ni dhaifu mbele yake. Na kwa kuwa hauko tayari kumpoteza unajikuta unafata masharti anayokupa. Huku ukijionesha kwa watu kuwa ni mapenzi
 
Ni upimbi uliotukuka kumganda mwanamke asiekutaka tena nikisikia mtu anafanyiwa visa vyote na hela anayo na Bdo anamganda dem ntamweka viboko vingi sana
Kuna wanaume wanaudhaifu sana. Ukiwakuta sasa wanajidai kwamba wao wanajali na kupenda. Utakuta mwanaume kakondaaa. Cheki kama huyu inafika mahali anakopa madeni ili kumridhisha mke wake. Huyo demu umemlazimisha au ulibambikiwa?
 
Nawasikitikia jamaa zangu wa kanda ya ziwa hasa wasukuma walio wengi wana mshamba wa wanawake!!
Hasa akiwa mweupe. Yaani ndio hapo wanakuja kuua. Maana wanahonga sana. Kiasi kwamba demu akija kumgeuka hasira za mali na pesa zake hazina mfano.
 
Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.
Wanawake wa hivi sijui hata wanawaokotaga wapi. Eeh Mungu nashukuru kwa mke wangu Grace.

Yaani natoka safari hadi nimpigie simu arudi nyumbani? Kwamba hajanimisi? Saa nyingine unetoma safari na michongo haijafanikiwa umechoma nauli bure unarudi na stress kama zote. Then Mwanamke anakufanya hivyo. Siwezi kuua lakini inanichukiza sana.
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Post yako imetulia japo umetuchamba
 
Back
Top Bottom