Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake ri
 
Sitaoa Mapaka
AEb8rsjc.jpeg
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Kwa kua nae alipenda pesa,acha akomeshwe, tamaa mbele mauti nyuma.
Si angeolewa na mwanaume wa kawaida tu maisha yasonge?

mnapenda pesa sana,maisha mazuri, starehe ndio malipo yake hayo

Mtalimia meno!...
 
This says more about you kuliko huyo mwanamke.

Kama hakutaki na anakutukana kwanini msiachane mapema tu kwa amani? Kwanini uliendelea kumganda? Huoni kama wewe ni boya?

Moreover inawezekana kweli unatisha she was just stating the obvious.

Hakuna sababu inayo halalisha mauaji hata umkute kalala na njemba nyingine kwenye kitanda chenu wanachakatana. HAKUNA.

Sababu za mauaji zipo Mkuu, usiongee mambo kirahisi kisa sheria za nchi zinakataza kuua ukafikiri hakuna sababu za watu kuua.

Kuchukua mke WA Mtu ni sababu tosha ya mtu kuuawa, hiyo IPO hivyo
 
Sababu za mauaji zipo Mkuu, usiongee mambo kirahisi kisa sheria za nchi zinakataza kuua ukafikiri hakuna sababu za watu kuua.

Kuchukua mke WA Mtu ni sababu tosha ya mtu kuuawa, hiyo IPO hivyo

I disagree.
 
I disagree.

SAWA.
Ila elewa watu wapo tofauti.

Usidhani Kwa vile wewe huwezi kuua ukadhani watu wote wapo Kama wewe.

Ukiwa wewe huoni sababu za kuua basi jua wapo wanaoona sababu Za kuua.
Wapo wanaoua Kwa sababu zifuatazo;
1. Madaraka
2. Mapenzi
3. Utajiri au pesa na mali
4. Familia.
5. Cheo

Usije ukagusa mambo hayo Kwa watu ukadhani hawatakuua kisa wewe mtazamo wako hakuna sababu inayomfanya mtu Kuua.

Sababu zipo, nami nazijua na Baadhi ya sababu zina Logic Kwa watu Kama Sisi.

Mimi mtu akiuawa kisa kaiba mke WA Mtu sioni tatizo, tena nampongeza muuaji. Hilo sio kosa

Mtu akikuua Kwa sababu ya Kucheza na familia yake labda Kucheza na watoto wake sio kosa,
Usije jidanganya na hizi sheria, hizi zipo Kupunguza mambo hayo na sio kuondoa.
 
SAWA.
Ila elewa watu wapo tofauti.

Usidhani Kwa vile wewe huwezi kuua ukadhani watu wote wapo Kama wewe.

Ukiwa wewe huoni sababu za kuua basi jua wapo wanaoona sababu Za kuua.
Wapo wanaoua Kwa sababu zifuatazo;
1. Madaraka
2. Mapenzi
3. Utajiri au pesa na mali
4. Familia.
5. Cheo

Usije ukagusa mambo hayo Kwa watu ukadhani hawatakuua kisa wewe mtazamo wako hakuna sababu inayomfanya mtu Kuua.

Sababu zipo, nami nazijua na Baadhi ya sababu zina Logic Kwa watu Kama Sisi.

Mimi mtu akiuawa kisa kaiba mke WA Mtu sioni tatizo, tena nampongeza muuaji. Hilo sio kosa

Mtu akikuua Kwa sababu ya Kucheza na familia yake labda Kucheza na watoto wake sio kosa,
Usije jidanganya na hizi sheria, hizi zipo Kupunguza mambo hayo na sio kuondoa.

Huyu kamuua aliyekuwa mke wake what is the justification?

Mtu asipopokea simu au kuchelewa kurudi adhabu yake ni kifo?

Unaua na wewe unajiua au unapigwa life sentence ndani unapata faida gani? Huoni hapo muuaji anakua boya zaidi?
 
Huyu kamuua aliyekuwa mke wake what is the justification?

Mtu asipopokea simu au kuchelewa kurudi adhabu yake ni kifo?

Unaua na wewe unajiua au unapigwa life sentence ndani unapata faida gani? Huoni hapo muuaji anakua boya zaidi?

Mtu mpaka anaua ujue kuna sababu kubwa zaidi hasa kwenye ishu za Mapenzi.
Missed Calls hizo hazimfanyi mtu auwe Ila tabia ya awali ya mpigiwa simu lazima iwe chanzo cha hayo.

Ikiwa alichofanya kimempa Amani na furaha kwake ni faida,

Alafu usidhani kila anayeenda jela anapachukia huko, wengine wanaona ni Bora Jela kuliko kuishi maisha huku moyo hauna Amani na furaha.

Kujiua ni makosa na kuua ni makosa.
Ila Kwa wengine ni sehemu ya kuiridhisha Nafsi na kulipiza KISASI.

Kwa mtazamo wangu na wako tutaona ni maboya lakini vipi Kwa aliyefanya?
 
Mtu mpaka anaua ujue kuna sababu kubwa zaidi hasa kwenye ishu za Mapenzi.
Missed Calls hizo hazimfanyi mtu auwe Ila tabia ya awali ya mpigiwa simu lazima iwe chanzo cha hayo.

Ikiwa alichofanya kimempa Amani na furaha kwake ni faida,

Alafu usidhani kila anayeenda jela anapachukia huko, wengine wanaona ni Bora Jela kuliko kuishi maisha huku moyo hauna Amani na furaha.

Kujiua ni makosa na kuua ni makosa.
Ila Kwa wengine ni sehemu ya kuiridhisha Nafsi na kulipiza KISASI.

Kwa mtazamo wangu na wako tutaona ni maboya lakini vipi Kwa aliyefanya?

Let's agree to disagree.
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo.

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Wewe mwanamme mzima unapata panick attack kwa mwanamke kukuacha na kuolewa na mwanamme mwingine?

Tena mwanamke mwenyewe mtata amekuletea matatizo kibao?

Unajielewa unataka nini?
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo.

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Duuh
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
 
Back
Top Bottom