SAWA.
Ila elewa watu wapo tofauti.
Usidhani Kwa vile wewe huwezi kuua ukadhani watu wote wapo Kama wewe.
Ukiwa wewe huoni sababu za kuua basi jua wapo wanaoona sababu Za kuua.
Wapo wanaoua Kwa sababu zifuatazo;
1. Madaraka
2. Mapenzi
3. Utajiri au pesa na mali
4. Familia.
5. Cheo
Usije ukagusa mambo hayo Kwa watu ukadhani hawatakuua kisa wewe mtazamo wako hakuna sababu inayomfanya mtu Kuua.
Sababu zipo, nami nazijua na Baadhi ya sababu zina Logic Kwa watu Kama Sisi.
Mimi mtu akiuawa kisa kaiba mke WA Mtu sioni tatizo, tena nampongeza muuaji. Hilo sio kosa
Mtu akikuua Kwa sababu ya Kucheza na familia yake labda Kucheza na watoto wake sio kosa,
Usije jidanganya na hizi sheria, hizi zipo Kupunguza mambo hayo na sio kuondoa.