Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Ni upimbi uliotukuka kumganda mwanamke asiekutaka tena nikisikia mtu anafanyiwa visa vyote na hela anayo na Bdo anamganda dem ntamweka viboko vingi sana
Ukiona hivyo ujue mtu hajawekeza pesa tu kwa huyo mwanamke,bali amewekeza pesa na moyo,ndio maana anafikia hatua ya kumuua huyo ampendae na kujia yeye pia.
 
smple fomula kwann tusitafute pis za kuendana na ss sema hata wazaz wetu hawatuambii ukwel unapeleka mwanamke nyumban mzaz anakukaushia tu anajua huyu pumbi kapendea hiz swaga za uyu mwanamke ila kiukwel anajua kabsa hutoboi labda neema ya Mungu tu imbadilshe wanawake weng wa sasa n wa show off tu mwanamke hajal hata mumewe ukirud nyumban utakula nn et yuko kwenye harakat zake kwa kigezo dada wakaz yupo? wazee wetu wametupga gepu kubwa sana kwenye umilk wa wake material kabsa smplebmuangalie hata mama ako unajua kwel sio mzee wangu alikua hawaon wenye mashepu na warembo ila walitafuta watu wa kuish nao sku zote za maisha yao kwa shda na raha sio hawa ukikosa kaz mwez mmoja tu kafufua ma x wote
😅😅😅linapokuja swala la kuoa na majaribio.
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Si mnasemaga hapendwi mtu bali ni pochi tu ndio inapendwa?
 
Ukiona hivyo ujue mtu hajawekeza pesa tu kwa huyo mwanamke,bali amewekeza pesa na moyo,ndio maana anafikia hatua ya kumuua huyo ampendae na kujia yeye pia.
I am telling you aliyewekeza moyo huwa anabaki na maumivu tu. He or she will never attempt murder.

Yaani ukiweka moyo demu anakuendesha hadi anakuacha na bado una baki namaumivu kwa miaka mingi na unaendelea kumpenda hivyo hivyo.

Hongo na mali ndivyo huamsha hasira za mkizi
 
smple fomula kwann tusitafute pis za kuendana na ss sema hata wazaz wetu hawatuambii ukwel unapeleka mwanamke nyumban mzaz anakukaushia tu anajua huyu pumbi kapendea hiz swaga za uyu mwanamke ila kiukwel anajua kabsa hutoboi labda neema ya Mungu tu imbadilshe wanawake weng wa sasa n wa show off tu mwanamke hajal hata mumewe ukirud nyumban utakula nn et yuko kwenye harakat zake kwa kigezo dada wakaz yupo? wazee wetu wametupga gepu kubwa sana kwenye umilk wa wake material kabsa smplebmuangalie hata mama ako unajua kwel sio mzee wangu alikua hawaon wenye mashepu na warembo ila walitafuta watu wa kuish nao sku zote za maisha yao kwa shda na raha sio hawa ukikosa kaz mwez mmoja tu kafufua ma x wote
Wazee walitumia akili ila vijana mnapenda sifa za vijiweni. Uonekane unamiliki pisi kali wakati unajua kabisa bila hela hamsogei kokote pale.
 
Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...
Hili ndio tatizo kubwa, mwanamke mwambie ukweli wa tu kuwa unamuhitaji ukiona haeleweki achana nae tafta mwengine ila kamwe usitumie hela kufosi mazingira ya mahusiano.

Wanawake wengi kwa tamaa zao za hela na vitu wanajikutaga wamenasa mtegoni ila baada ya kupewa wanavyovitaka ndio akili hurejea kuwa hawapo mahali sahihi sababu hawana hisia za mapenzi na hao watu. Mbaya zaidi wengi hujikuta washaolewa kabisa.
 
Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.

Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.

Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.

Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.

Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.

Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?

Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Daah!, umeongea kwa uchungu sana.
 
Ahahaha..siwez kuingia mikopo mimi kisa mke wangu apendeze.that will never happen.
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Principle ni moja
Invest on what you can afford to loose , ukijiona unapata stress kwa kupoteza kitu , clearly ujue ulikuwa unacheza kamari iliyo juu ya uwezo wako.
Ati unakopa ili mkeo apemdeze!! That alone to me ,was already a red flag.
 
Madhara ya kuacha kutumia akili ukiwa na mwanamke.

Ukijiingiza kwenye mahusiano au ndoa, usiache ubongo wako pembeni, walk with your brains, tumia akili, usiendeshwe na hisia.
 
Naunga mkono hoja,mi pia niliwahi kutaka kuua siku za nyuma
 
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi

Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo

Ushuuda wangu

Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake

Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.

Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.

Niseme inauma saana

Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?

Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
akianza dharau unamuacha immediately ,yaani usilee maradhi
 
huwa kuna muda ile kauli ya mwanamke hapigwi naiona invalid
 
Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...
Yaani huyu dada marafiki zake mmojawapo kaniambia alikitafuta kifo mwenyewe yaani hakuwa kama mke wa mtu kila bar/ hotel hapa mjini yake.
Yaani anatoka bila kumuaga hata mme wake, mme ndo anaangaika kutafuta club zote.
Hata huyo mme tumuonee huruma alipitia magumu.
 
Usimnyime mke mapigo
IMG_20220601_081944.jpg
 
Back
Top Bottom