Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ukiona hivyo ujue mtu hajawekeza pesa tu kwa huyo mwanamke,bali amewekeza pesa na moyo,ndio maana anafikia hatua ya kumuua huyo ampendae na kujia yeye pia.Ni upimbi uliotukuka kumganda mwanamke asiekutaka tena nikisikia mtu anafanyiwa visa vyote na hela anayo na Bdo anamganda dem ntamweka viboko vingi sana
😅😅😅linapokuja swala la kuoa na majaribio.smple fomula kwann tusitafute pis za kuendana na ss sema hata wazaz wetu hawatuambii ukwel unapeleka mwanamke nyumban mzaz anakukaushia tu anajua huyu pumbi kapendea hiz swaga za uyu mwanamke ila kiukwel anajua kabsa hutoboi labda neema ya Mungu tu imbadilshe wanawake weng wa sasa n wa show off tu mwanamke hajal hata mumewe ukirud nyumban utakula nn et yuko kwenye harakat zake kwa kigezo dada wakaz yupo? wazee wetu wametupga gepu kubwa sana kwenye umilk wa wake material kabsa smplebmuangalie hata mama ako unajua kwel sio mzee wangu alikua hawaon wenye mashepu na warembo ila walitafuta watu wa kuish nao sku zote za maisha yao kwa shda na raha sio hawa ukikosa kaz mwez mmoja tu kafufua ma x wote
Si mnasemaga hapendwi mtu bali ni pochi tu ndio inapendwa?Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.
Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.
Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.
Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.
Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.
Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?
Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
I am telling you aliyewekeza moyo huwa anabaki na maumivu tu. He or she will never attempt murder.Ukiona hivyo ujue mtu hajawekeza pesa tu kwa huyo mwanamke,bali amewekeza pesa na moyo,ndio maana anafikia hatua ya kumuua huyo ampendae na kujia yeye pia.
Wazee walitumia akili ila vijana mnapenda sifa za vijiweni. Uonekane unamiliki pisi kali wakati unajua kabisa bila hela hamsogei kokote pale.smple fomula kwann tusitafute pis za kuendana na ss sema hata wazaz wetu hawatuambii ukwel unapeleka mwanamke nyumban mzaz anakukaushia tu anajua huyu pumbi kapendea hiz swaga za uyu mwanamke ila kiukwel anajua kabsa hutoboi labda neema ya Mungu tu imbadilshe wanawake weng wa sasa n wa show off tu mwanamke hajal hata mumewe ukirud nyumban utakula nn et yuko kwenye harakat zake kwa kigezo dada wakaz yupo? wazee wetu wametupga gepu kubwa sana kwenye umilk wa wake material kabsa smplebmuangalie hata mama ako unajua kwel sio mzee wangu alikua hawaon wenye mashepu na warembo ila walitafuta watu wa kuish nao sku zote za maisha yao kwa shda na raha sio hawa ukikosa kaz mwez mmoja tu kafufua ma x wote
Ushamba tu. Hayo tunayaona mkuu huku field yapo sana.Cheka sana.....
Kejeli sana.....
Chambua sana....
Lakini omba yasikukute......
Hili ndio tatizo kubwa, mwanamke mwambie ukweli wa tu kuwa unamuhitaji ukiona haeleweki achana nae tafta mwengine ila kamwe usitumie hela kufosi mazingira ya mahusiano.Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...
Daah!, umeongea kwa uchungu sana.Sababu ya haya yote ni kumpenda ambae hakupendi.
Kabisa inaonesha huyu dada hakuwahi kumpenda mme wake basi tu alikuwa pale kwa lengo fulani.
Haiwezekani mme kasafiri, anapiga simu mke aende nyumbani apike mme ana njaa afu mke ndo kwanza hajali.
Haiwezekani mme amuzuie kwenda kwenye shoo yeye alazimishe kwenda.
Moja kwa moja hapo hakukuwa na upendo. Mwanaume unae mpenda hawezi kusema kitu ukakipinga kizembe kizembe hivyo.
Hapa najiuliza kwa nini inakuwa ngumu kumpata mtu unaempenda nae akakupenda? Kwa nini jamani?
Na nyie wanaume mkome, unakuta mdada wa watu kajitolea kumpenda mkaka fulani ila ndo hivyo mkaka hana muda nae, mwisho wake anaenda kuokota club cha wote, mwisho mnaishia kuuana mkome oeni mnakopendwa.
Principle ni mojaKuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi
Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo
Ushuuda wangu
Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.
Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.
Niseme inauma saana
Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?
Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
akianza dharau unamuacha immediately ,yaani usilee maradhiKuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi
Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi
Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute
Sisi ambao yamesha tukuta tunajua kwanini Jamaa amefanya Ivo
Ushuuda wangu
Mimi Kuna mwanamke ambaye nilimuoa nikamuwekea Mali Na kumtowa vijijini kumleta mjini mwanamke nilimuudumia kila kitu mpaka nilifikia hatua ya kuanza kukopa pesa kwa watu ili mke wangu apendeze tu ila mwisho kabisa pamoja Na hayo mwanamke Alianza kunidharau Na kuniona Mimi si kitu kwake
Alikuwa ana nitukana , kunilinganisha Na wanaume wengine. Kuniambia Mimi sio mwanaume yaani kwake eti ni vigumu saana yeye kunitambulisha kwa watu eti Mimi ndo mume wake nilivumilia mengi saana.
Nikaona labda ndo changamoto za ndoa hizi Na nilijaribu kuomba msaada wa wazazi marafiki mwanamke aliniacha Na kuolewa Na mwanaume mwengine kitu ambacho kilinipa ugonjwa wa panic attack.
Niseme inauma saana
Vipi apo karibu Na nyumbani kwenu Kuna duka la rasisi apo?
Kuna mnyama fulani nataka mfyatuwe siku hizi
Yaani huyu dada marafiki zake mmojawapo kaniambia alikitafuta kifo mwenyewe yaani hakuwa kama mke wa mtu kila bar/ hotel hapa mjini yake.Umeongea vizuri.Iko hivi wanaume wengi hasa wenye pesa wana tabia ya kulazimisha mapenzi kwa kutumia pesa zao,unakuta kampenda mwanamke,yule mwanamke hamtaki,anachofanya ni kutumia pesa yake kumrubuni yule mwanamke mpaka anaingia line,sasa unakuta mwanamke anakubali lakini moyo hauko radhi,na kadri siku zinavyoenda anajikuta anapambana na asichokijua,lakini ukweli ni kuwa kalazimisha mapenzi kwa tamaa ya pesa,mwisho wa siku mnaishia kwenye kudharauliana na magomvi yasiyoisha...