Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

Ni kweli ndoa zina changamoto nyingi na zina utaratibu wake wa utatuzi sio kuuana au kupigana,tujitahidi kuishinda hasira
 
Bwana wee , nilijuaga mimi ndio master wa ndoa, weeeeeeeee!!!! Chaliiiiiii.
Ndoa ni taka taka nimekubali 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…