Hayati Baba Magufuli najua hujalala mpaka yalio andikwa yatimie (Utabiri)

Which ever utasema hakuna kitu hakufanya nje ya mkakati wakiusalama. Nakama unabisha hakuna mwana usalama au mtu yeyote anaye msema
 
Umemsahau Gaidi
 
Hivi zile hela za PLEA BARGAIN nani alizichukua , mbona hazionekani popote huku watuhumiwa walilipa ?

Halafu , hivi kupachika wajomba wako kwenye maeneo nyeti huo ndio uzalendo ?

Kwamba Kazi apewe Mayanga na Songolo Marine huu ndio uzalendo wa Mzimu wako ?

Hivi mtaendelea kuwatukana watanzania matusi ya nguoni hadi lini ?

RIP Ben Saa nane na Lwajabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…