Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza.
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili.
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne.
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano.
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita.
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama ccm wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba.
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati magufuli.
Somo la nane.
Uongo ukisemwa na mtu yeyote hata akiwa Rais, hauwezi kubadirika kuwa ni Ukweli. JPM alitulazimisha tuaminii Uongo wake kuwa ameiletea Tanzania Maendeleo ya kuwa na Uchumi wa Kati kiwango cha kuifanya TZ iwe Donar Country. Lakini baada ya Rais Samia kngia mdaraakani imegundulika nchi imeporomoka sana kiuchumi, iko hoi kiuchumi, ambapo kwa sasa inatapatapa kwa kutoza Tozo kwa Wananchi wake walio masikini ili kuiendesha Serikali ya Tanzania.
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Nijuavyo mimi, kila aliyeumbwa na Mwenyezi kuja hapa duniani ana nafasi ya kipekee hata wewe na mimi. JPM pia alipata fursa hiyo na tunajua aliitumia kufanya maendeleo kibaguzi, kuvunja vunja katiba, kugawa vyeo kikanda, kuiba na kufuja pesa za "wanyonge", kuua wengine kama Ben, Tundu, et all, kutukana watu wazima hadharani, kunajisi madhabahu za Mungu, kujikweza mpaka akadondokea upande wa pili, kudanganya data mbalimbali za kitaifa, nk nk. Nimemtaja yy kwa sababu kuna wengine mnataka kumpa sifa asizostahili. Tujifunze na tutembee unyenyekevu na uungwana. Kama yupo wa kutajwa sana ni Julius Nyerere. Kazi iendelee!
 
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza.
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili.
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne.
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano.
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita.
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama ccm wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba.
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati magufuli.
Kwahiyo hakuna jambo jema lolote la umma kujifunza kutoka kwa JPM isipokua hayo mabaya uliyoyaoredhesha.

Uzuri watanzania hawajifunzi kwa kuandikiwa kama hivi, bali wanayaona kwa macho yao yanayoendelea.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Uko sahihi kabisa, Hata Shetani alipo hasi Sheria ya Mungu, Robo tatu ya Malaika wa mbinguni, walimuunga Mkono shetani!! mpaka leo hao Malaika, wanamtumikia shetani kuzimu! ndo vijini makata, subihani, nk. ndo km ewe sasa!

uko radhi umfuate Kuzimu huyo bwana kuba wako!! km Jiwe ungekuwa mpango wa Mungu usinge haribiwa na kiumbe yeyote!!! eti km atrial fibrillation!! mwee!! Kumbuka tumeimba sana, kuwakumbusha kuwa ''Mpango wa Mungu Lazima utimie''

Tena akaongezea yeye ni Mwamba Hatikisiki, nani atatikisa kilichowekwa na Mungu km Nyarusare? walionijribu waliungua moto! uliza popote wana nijua! Mtu aliye teuliwa na Mungu!! kamwe hawezi kuwa km kifo cha Jiwe! kwanza cha hovyo!! no popularity!!

Si unaona alivo kwenda south, na kikwete!! weee!! Jk aliamusha hamasa, na alikuwa kivutio kwa wa-south, utadhani ndo rais, kuliko hicho kituko chenu, jiwe!! hatushangai shetani kupendwa hata wachawi wana muhusudu shetani!

na asikudanganye mtu shetani ni mzuri hasa Malaika wa nuru, hata akija hapo utadhani ni malaika! wachache sana tunajua sura ya shetani halisi!
 
  • Thanks
Reactions: etb
Aliletwa Ili walio hai wajifunze.
Bashite, sabaya,musiba,kange,kessy, bashiru,awakutegemea kwamba ipo siku upepo utaacha kuvuma
 
JPM alikuwa fundi sanaa hasa katika uongozi wake. Kwanza aliweza kuweka mambo wazi nyanja zotee.

1. Kimaendeleo hasa linapo kuja swalia za ripoti mbali mbali mfano.Madini kwakweli kupitia Mzee JPM nliweza kujua karibia kila kitu kilicho kuwa kinaendelea katika madini.
Lihali sasa naona giza tu hata taarifa za habari kutoka Channel na redio mbali mbali kukosa mvuto.

2. Aliweza kututia moyo sanaa hasa kwenye swala la kunitegemea na kutuamisha kuwa sisi ni matajiri basi hata kama ni uwongo basi sisi tulijihisi tunaweza na kila mtu alipata mhamko wa kuchapa kazi.JPM best of the Best.

3. Aliweza kukipa hadhi kiti cha uraisi na kueshimika kwa Jinsi alivyo jiweka na mdomaana mnaweza sema alijifanya Mungu mtu lakini kwakweli uraisi ulitua mahala sahihi.

4. Wale matajiri na wakwepa kodi mzee JPM alilala nao mbele mpaka wakakiona cha moto hadi wengine wamepotea kwenye ramani mpaka sasa wameshindwa kusimama tena.
5.Bila majungu nidham serikalini ilirudi kwa sehem kubwa tena sanaa.Si mahospitali nasehem zingine za kijamii.

6. Hakusafiri kwenda popote nje ya Bara la Africa na kulinda maslahi ya nchi yake kwa kuleta maendeleo kitu ambacho mabeberu walikonda sanaa.


Any way zipo zababu nyingi tuu nzuri na pia tunapaswa kujua Binadamu hatukosi kasoro katika maisha yetu ya kila siku.

ILA JPM MPAKA SASA KILA SEHEM HUKAI DAK KADHAA BILA KUTAMKWA JINA LAKE.

HAKIKA TUNA KAZI SANAA YA KUMSAHAU HASA KIZAZI HIKI CHA KWETU.
Hata shetani anatamkwa na kuabudiwa zaidi zaidi ya Mungu!
 
Ka ni kweli alikuwa mzalendo halisi alitakiwa kutengeneza mazingira ya kuiandaa nchi hii kuacha kutegemea mtu Bali itegemee zaid kwenye Taasisi,

Hakuwahi kuamin katika katiba mpya alisema siyo kipaombele chake,hakuwahi kuamin katika tume huru ya uchaguz Ili wao na CCM wazid kuendelea kutawala milele na milele,hakuwahi kuamin katika uhuru wa habar na uhuru wa kuongea pamoja na demokrasia ya vyam vingi i.e rehea uchaguz mkuu uliopita na hola zake za kutulazimisha bunge la chama kimoja,aliamin Sana kwenye ukanda na ukabila kias Cha kufikia kila mradi anaupeleka chato mfano kuhamishia mguga na wanyama kwa lazima huko burigi,kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa huko chato na mengine mengi,

Hakutaka transparency kbs katika matumiz ya fedha katika serikali yake,alikuwa anafanya matumiz bila KUFUATA taratibu na miongozo ya bunge na hata Taasis huru kama ya CAG ilipotaka kuhoji aliifanyia figisu had kumuondoa CAG Assad,

Mbaya zaid ni kutaka kwake kutengeneza mazingira ya kuendelea kutawala milele bila Kikomo,amemaliza mwendo,let him go,sisi tupo njian pia tunaenda,ndo maisha yalivyo
 
1.Ni kweli alikuwa katiri kwa mabeberu na vibaraka wao

2.alikuwa dikiteta kwa mafisadi wote bila kujari cheo cha mtu

3.aligusa masirahi ya matajiri fake waliotumia kivuri cha serikali kuwakanyaga masikini

Ukweli ni kwamba hata kama aliiba kura nikwa misingi ya kumlinda masikini nae apate haki

Aliyo yaacha ni alama isiyofutika vizazi na vizazi vya kitanzania watayakuta mapinduzi makuu ya huyu mzalendo
 
Somo la nane.
Uongo ukisemwa na mtu yeyote hata akiwa Rais, hauwezi kubadirika kuwa ni Ukweli. JPM alitulazimisha tuaminii Uongo wake kuwa ameiletea Tanzania Maendeleo ya kuwa na Uchumi wa Kati kiwango cha kuifanya TZ iwe Donar Country. Lakini baada ya Rais Samia kngia mdaraakani imegundulika nchi imeporomoka sana kiuchumi, iko hoi kiuchumi, ambapo kwa sasa inatapatapa kwa kutoza Tozo kwa Wananchi wake walio masikini ili kuiendesha Serikali ya Tanzania.
Tumekataa kotoza kodi za dhulma kwa wafanyabiashara wakubwa, matokeo yake ni Tozo kwa wananchi masikini. JPM hakua muongo bali aliwapenda na kuwakumbatia wananchi wake.

Maendeleo aliyoyaleta Tanzania, huwezi kusimuliwa bali yanaonekana kwa macho.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli aliwafaa sana wajinga wasioelewa chochote. Alizuia uhuru wa vyombo vya habari ili wajinga azidi kuwalisha ujinga kiasi kwamba wengine waligeuka kuwa wendawazimu:

1) Kwenye madini aliwadanganya sana watu wajinga, wengine mpaka leo wamebakia na ujinga aliowalisha marehemu. Ripoti ya Prof. Mruma ambaye alilazimishwa na marehemu aandike kuwa tunaibiwa ilikuwa ni report kwaajili ya wajinga. Anayefahamu, atajua ni upumbuvu. Ni sawa mtu akuambie nimemwona mwizi ameiba magunia 1000 ya mahindi, amebeba kwenye Hilux pickup, na wewe ukaamini. Chininya marehemu, uzalishaji wa dhahabu ulishuka kutoka kuwa mzalishaji wa 3 Afrika mpaka kuwa mxalushaji wa 6 Afrika. Mapato yaliongezeka kudogo kutokana na kupanda sana kwa bei ya dhahabu, lakini hatukufaidi vya kutosha kama yalivyofaidi mataifa mengine kutokana na kuanguka kwa uzalishaji. Aliua utafiti wa madini kiasi kwamba leo hii hakuna kampuni inayofanya utafiti wa madini Tanzania. Alisababisha uwekezaji mkubwa wa pili Duniani kwenye gas uondoke Tanzania na kuhamia Msumbiji. Marehemu alihangaika sana mpaka anakufa kutaka kuwarydisha wawejezaji wake, lakini walimkatalia katakata.

2) Aliangusha ukuaji wa sekta zote za uchumi. Kwenye ukuaji wa uchumi wa jumla, aliangusha kutoka 7.5% mpaka 1.9%. Kwenye ukuaji wa sejta ya utalii aliangusha toka 15% mpaka 3.6%. Kwenye uwekezaji aliangusha toka 24% mpaka 4%. Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, aliangusha kwa 50%. Per capita income, kwa miaka 5 aliipindusha kwa dola 80 tu wakati Mkapa katika miaka 10 aliipandisha kwa dola 400, na Kikwete kwa dola 380%. Kwenye uchumi aliua kila kitu. Alikuwa ni kiongozi wa uharibifu.

3) Kwenye demokrasia, uhuru wa watu na haki, kila mmoja anajua. Alileta siasa za kishenzi, za kuteka, kuua, kubambikia watu kesi na kuwapoteza. Hapa, utaona kabisa uthibitisho wa au huyu mtu alikuwa mgonjwa (ukichaa wa aina fulani) au ndani yake kulikuwa na roho ya shetani.

4) Kwenye mahusiano ya kimataifa, he was a zero performer. Hakuna nchi yoyote Duniani inaweza kuwepo bila ya mataifa mengine, na zaidi hizi nchi maskini. Akawaita watu ni mabeberu (labda yeye alikuwa jike). Kwenye Ulimwengu wa leo uliostaarabika, unaita binadamu wenzako mabeberu! He was a primitive leader worth for primitive creatures.

Funzo la jumla ni kuwa bipa katiba nzuri ambayo ina uwezo wa kuzuia watu wa ajabu kuchujua madaraka, nchi inakuwa katika hatari kubwa.
Mkuu, Mimi naaami JPM aliizidi roho ya Shetani kwa Wapinzani wake! Kwa uwezo alionao Shetani angekuwa na roho ya JPM, basi Shetani angekuwa amewaangamiza Wacha Mungu wote hapa Duniani. Mark my words roho ya JPM ilikuwa level nyingine kwa Wapinzani wake.
 
Ongezea na hizi

1.Wahalifu wa Kibiti walikiona cha moto.Kila wakitaka kujipanga kuvuruga amani ya Nchi yetu walikula tako za kutosha waka tulia tuli kama....

2.Aliwaumbua hao ma Professor walio kuwa walimu wa hivyo vyuo ambao ndo wanatoa wanafunzi wao
Kwa kushindwa kuandaa Riport nzuri ya Madini.
Kwa kupotosha Uma kwa kutudanganya madini yalio kuwa yanasafirishwa kule bandari[emoji23]
Sasa kama hao Maprofesor vilaza itakuwaje.

3.JPM alinifurahisha kwa kuto fuga majambazi yakala kodi manineee.[emoji23] Jombaa waliliona Joto.

Any way nikikumbunguka na vingine ntakujaa tena.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ongeza na hii
1. Alitudanganya kuwa kila mmoja atapewa noah kumbe ilikuwa utapeli na ule mchanga akaamua kuuchia baada ya kuona alichemka.

2. Maprof walikuwa wanafanya kazi kwa kumuogopa ndo mana hata takwimu zao zilikuwa za kumfurahisha tu ukiwa kinyume chake unashughulikiwa.

3. Alitudanganya kila kitu tunajenga kwa pesa ya ndani huku nyuma akikopa mapesa kibao na sasa kamuachia msululu wa madeni samia

3. Nchi iliongozwa kisanii na uongo uongo. Sasa hivi samia is suffering uongo wa jpm. Angalia machinga sasa hivi wanavyompa headache samia na issue ya corono ambayo jpm alitupiga fix baadae ikamfagia yeye mwenyewe.

3. Maduka kariakoo yalifungwa yote kisa uchumi imeharibika
 
Mapungufu ya JPM ni machache mno kulinganisha na mazuri. Kwakuwa baya huonekana zaidi kwa akili finyu unaweza kudhani la kwanza ni kubwa kuliko the latter.

Anyways tusonge mbele ashaondoka kila mtu yuko safarini unaweza kuta hata we mwandishi umejaa uovu usio-neneka japo jicho linakupeleka kuona ya wengine.
Mzee JPM alikuwa bora kwa utendaji wa kazi na ufuatiliaji wa maelekezo aliyotoa kuona yametekelezwa, lakini kwenye eneo la HAKI ZA BINADAMU, alikuwa "Sufuri" kabisa. Ukishafeli kwenye eneo hili, basi hata kama ungejenga miradi gani utabaki kuwa Sufuri. Kwa wale Wakristo Kuna aya inasema: "hata nikiwa na Imani ya kuhamisha milima, kama sina UPENDO ,si kitu Mimi". JPM kwenye eneo la HAKI ZA BINADAMU alikuwa zero kabisa. Chaguzi zikawa zinatolewa matamko tu namtaka fulani mniletee BADALA ya sanduku la kura liamue nani awe nani. Wakurugenzi wakaamriwa wapitishe wagombea wa chama chake tu kwa kuwa anawalipa yeye, mafuta ya magari anawapa. Wafuasi wa vyama vingine wakawa muhanga wa mateso, kupigwa, kubambikwa kesi na kufungwa. Hali hii imemwondoa JPM kwenye ubora na kuwa Rais wa hovyo kupindukia, rejea ule MFANO, hata nikiwa na Imani ya kuhamisha milima, kama sina UPENDO si kitu mimi. Chama chake pia hakitakiwi kiendelee na U-hovyo wa aina hii unaoligawa Taifa na kuvunja mshikamano.
 
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama CCM wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati Magufuli.
Point
 
Na Je, kama hayo masanduku walihusika mabeberu kuvuruga.

Ili wapinzani wasio na sera zinazo eleweka na wapenda madaraka je...? na hao tuwazungumzieje?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu!

Ndugu mwana JF napenda ni kwambie kua ata wao mda wao ukifika tutawasema tu au nasema uongo ndugu yangu

"Huo ndo ukweri tatizo tunatishana sana"🤣🤣
 
Kwahiyo hakuna jambo jema lolote la umma kujifunza kutoka kwa JPM isipokua hayo mabaya uliyoyaoredhesha.
Ndg yangu kw Mazuri tu? hata shetani ali/anafanya mazuri mpaka leo, humo makanisani mwenu yumo pia, kama haya yafuatayo;
- kumpa mwana Adamu akili ya kujua mema na Mabaya pale bustaniin, si ni kitu kizuri?
ndo wema wa kwanza huo shetani alifanya!

- kuwasaidia wanga na wachawi kuroga kwa mafanikio na wasikamatwe!

- kuua wabaya wako yamkini wateule wa Mungu, mfano huyo huyo shetani aliwasaidia kina Herode kumuua Yesu!

-Alimsaidia yuda kumsaliti Yesu tena mchana kweupeee! akafanya mipango mwanzo mwisho! akapata na cha juu!

Shetani ana fanya mazuri mengi tu! kuwasaidia watu wake, tena pia wanamshukuru km weye unavomshukuru hapa, uko sahihi tena nenepa tu, hatuna ubaya na hilo ni mtu wako! relux, kwa mujibu wa unae muabudu, na kumuamini yaani Shetani!

hata kuiba bila kukamatwa si huwa mnashukuru? , kutoa mimba bila kufa, kufanikisha husuda makazini humo yoote haya ni kazi ya shetani, na wanafanikisha na kushukuru mnoooo!

Ni hivi hii yote ni dhidi ya wateule wa Mungu wa mbinguni Muumba NCHI NA MBINGU, ndo wanao umia Sana, hivo wanauwezo wa kujua huu ni msaada wa namna gani unapita! na cha kufanya wanakijua wao hao wana christo!

Biblia na Quran ni sauti ya Mungu kabisaa! utake usitake wanvijua hivyo vitabu kwa wale tu walio wake kuna sehemu inasema hivi inasema hivi, ''De gift of God is not Reversible'' sasa km huelewi hapa!! utakuwa upande unaoujua wewe!
 
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama CCM wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke ya itke na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati Magufuli.
Umeongea fact, dikteta magufuli alikuwa kiburi, mama Samia Ni muungwana ataifikisha Nchi pazuri
 
Magufuli aliwafaa sana wajinga wasioelewa chochote. Alizuia uhuru wa vyombo vya habari ili wajinga azidi kuwalisha ujinga kiasi kwamba wengine waligeuka kuwa wendawazimu:

1) Kwenye madini aliwadanganya sana watu wajinga, wengine mpaka leo wamebakia na ujinga aliowalisha marehemu. Ripoti ya Prof. Mruma ambaye alilazimishwa na marehemu aandike kuwa tunaibiwa ilikuwa ni report kwaajili ya wajinga. Anayefahamu, atajua ni upumbuvu. Ni sawa mtu akuambie nimemwona mwizi ameiba magunia 1000 ya mahindi, amebeba kwenye Hilux pickup, na wewe ukaamini. Chininya marehemu, uzalishaji wa dhahabu ulishuka kutoka kuwa mzalishaji wa 3 Afrika mpaka kuwa mxalushaji wa 6 Afrika. Mapato yaliongezeka kudogo kutokana na kupanda sana kwa bei ya dhahabu, lakini hatukufaidi vya kutosha kama yalivyofaidi mataifa mengine kutokana na kuanguka kwa uzalishaji. Aliua utafiti wa madini kiasi kwamba leo hii hakuna kampuni inayofanya utafiti wa madini Tanzania. Alisababisha uwekezaji mkubwa wa pili Duniani kwenye gas uondoke Tanzania na kuhamia Msumbiji. Marehemu alihangaika sana mpaka anakufa kutaka kuwarydisha wawejezaji wake, lakini walimkatalia katakata.

2) Aliangusha ukuaji wa sekta zote za uchumi. Kwenye ukuaji wa uchumi wa jumla, aliangusha kutoka 7.5% mpaka 1.9%. Kwenye ukuaji wa sejta ya utalii aliangusha toka 15% mpaka 3.6%. Kwenye uwekezaji aliangusha toka 24% mpaka 4%. Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, aliangusha kwa 50%. Per capita income, kwa miaka 5 aliipindusha kwa dola 80 tu wakati Mkapa katika miaka 10 aliipandisha kwa dola 400, na Kikwete kwa dola 380%. Kwenye uchumi aliua kila kitu. Alikuwa ni kiongozi wa uharibifu.

3) Kwenye demokrasia, uhuru wa watu na haki, kila mmoja anajua. Alileta siasa za kishenzi, za kuteka, kuua, kubambikia watu kesi na kuwapoteza. Hapa, utaona kabisa uthibitisho wa au huyu mtu alikuwa mgonjwa (ukichaa wa aina fulani) au ndani yake kulikuwa na roho ya shetani.

4) Kwenye mahusiano ya kimataifa, he was a zero performer. Hakuna nchi yoyote Duniani inaweza kuwepo bila ya mataifa mengine, na zaidi hizi nchi maskini. Akawaita watu ni mabeberu (labda yeye alikuwa jike). Kwenye Ulimwengu wa leo uliostaarabika, unaita binadamu wenzako mabeberu! He was a primitive leader worth for primitive creatures.

Funzo la jumla ni kuwa bipa katiba nzuri ambayo ina uwezo wa kuzuia watu wa ajabu kuchujua madaraka, nchi inakuwa katika hatari kubwa.
exactly, alikuwa shetani
 
Mungu Kuna watu anawatumia hapaduniani Kama shule kwa umma wake ili uongoke au ujifunze Jambo fulani magufuli ni mmoja wao.

Somo la kwanza
Ndugu pataneni mnapogombana maana mkishindwa mnampa nafasi adui kuneemeka na ugomvi wenu.Mtifuano wa kina lowasa ndani ya ccm ndio uliompa JPM kula kwamba wote tukose.

Somo la pili
Usimtegemee binadamu mwenzako Bali mungu tu. Kuna watu walimtegemea JPM kuliko mungu wakasahau JPM ni mwanadamu tu Sasa katwaliwa kawaacha wanahanyahanya. Rejea polepole makonda bashiru msiba na sabaya nk.

Somo la tatu
Hakuna aijuae kesho yake Bali Mungu tu. Ccm walifikia mahali wakataka JPM atawale milele aongezewe muda atakeasitake. Mungu kumbe ndie aliejua ukomo wa siku zake. Rejea Sanga na mbunge wa kongwa aliekuwa mtangazaji wa radio.

Somo la nne
Watu wasikulalamikie Sana kwa matendo yako vilio vyao vinasikika kwa muumba wao. Utawala wa JPM uliliza wengi kila Kona ya nchi na kila kundi liliguswa vilio vinasikika mbinguni.

Somo la tano
Usijiamini kupita kiasi. JPM alikuwa na over confidence kitu ambacho kilimfanya ajisahau hivyo akajikuta anaharibu mambo mengi pengine kwa kutokujua.

Somo la sita
Umuhimu wa katiba mpya. Sidhani Kama CCM wenyewe wangependa atokee mtu Aina ya magufuli Tena katika chama Chao. Hilo ni funzo na utawala wa magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa katiba mpya na demokrasia.

Somo la Saba
Tii Sheria na uifwate hata Kama itakubidi kuwajibika kwa kukataa maagizo mabovu ya wakubwa wako. Sabaya alipokuwa DC alifanya maufiri mengi na mpaka akaiambia mahakama kwamba alikuwa anatii maagizo toka juu Sasa Leo amebaki peke yake na maufiri yake aliyemtegemea kumlinda hayupo.

Ongezea masomo mengine uliyojifunza kwa hayati Magufuli.
Hakika alikuwa mwamba Tanzania , Africa na duniani,bila kutajwa siku zenu hazikamiliki, endeleeni kumtaja,maisha yenu yajaribu kujisogeza
 
Back
Top Bottom