Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

Kwahiyo kabla hajafariki kuna mradi uliokwama?
 
Yesu alikufa kifo cha fedheha lakini hakuwa na dhambi. Kwahiyo kifo siyo kigezo cha kwamba mtu hayuko na Mungu.
 
Kwahiyo saivi utapata Noah siyo baada ya yeye kufariki
 
Kwahiyo kuwa na upendo na watu ni kufanya Unyonyaji
 
Umeniwakilisha vyema mkuu asante sana.
 
Asante
 
Jamaaa alikuwa mbinafsi sana na roho mbaya sana wenzio aliwafungia akaounti zao za mshahara mfano mbowe ila yy aliendelee kupokea mshahara kwa jasho letu watz
Unamzungumzia huyu huyu mbowe aliyesema kuwa kavamiwa na watu wasiojulikana wakampiga kumbe ukweli alikuwa kalewa faru john yeye pamoja na kimada wake!?
 
Kama ni hivyo basi huyo mungu ni katili sana kuwaletea watu wake gaidi
 
Unamzungumzia huyu huyu mbowe aliyesema kuwa kavamiwa na watu wasiojulikana wakampiga kumbe ukweli alikuwa kalewa faru john yeye pamoja na kimada wake!?
Kuongea uongo na kumsingizia mtu ni Kati ya mambo mliyorithi kwa hayati ndio maana hatushangai pale baadhi yenu mliposema lisu alijipiga risasi mwenyewe za blankoo mna dhambi nyie watu Basi tu imagine mnasema mbowe ndio kahusika kumshambulia lisu Yani Basi tu mungu amewapa watanzania uvumilivu.
 
Hatutasahu sipriani musiba mwanaharakati wa rais alipoongea kwa kujiamini kwamba lisu alijipiga risasi za blankoo never shall we forget that Yani hata siasa mlizipeleka level za uhasama wa Hali ya juu mno na huu ndio urithi aliowaachia hayati maana kabla ya hapo jakaya alituachia upendo na mkapa alituachia siasa za kujenga hoja ndio maana mkapa alipenda Sana debating Ila mtu wenu aliposhika nchi akauwa mijadala ya mkapa na upendo wa jakaya wa kunywa juice na kina lissu ikulu akaleta siasa za visasi ubabe ukatili kusingiziana uongo na kukomoana.
 
Serikali ya Magufuli ilikuwa ni serikali ya propaganda ili kukamata akili za wajinga
Your browser is not able to display this video.
 
Wewe ambaye hata kuandika tu Kiswahili ni shida, ndiyo utakuwa na uwezo wa kutambua kama kiongozi ni mzuri au mbaya? Bahati mbaya siku hizi hata elimu ya ngumbaru imefutwa, ulistahili kwenda huko.

Kujari, masirahi, katiri, kivuri - ndiyo nini?

Hata elimu ya msingi tu haikukusaidia kufahamu kuandika kwa Kiswahili? Au uliishia darasa la kwanza? Nilivyokuwa darasa la pili nilikuwa na uwezo wa kuandika vizuri zaidi kuliko ulivyoandika.

Tatizo ni elimu ndogo au akili kidogo?
 

Ujinga uko nao mwenyewe unaekalia makosa ya kiuandishi huku maana harisi ushaipata

Wapumbavu kama ww siku hizi hawapo kujitia msomi wa kushabikia ujinga tu
 
 
Kwahiyo kuwa na upendo na watu ni kufanya Unyonyaji
Ukishakuwa kiongozi unayependa chama chako tu na kuwaamuru Wakurugenzi wapitishe wagombea wa chama chako tu kwa kuwa anawalipa wewe, hali hiyo inakuondoa kabisa kwenye uongozi bora hata kama ungejenga miradi gani utabaki kuwa kiongozi wa hovyo. Kama sanduku la kura haliheshimiwi, ikabaki inahesabika amri na utashi wako nani awe nani, basi utabaki kuwa kiongozi wa hovyo tu. Hata ukiwa na Imani ya kuhamisha milima kama huna UPENDO, wewe ni bure tu.
 
Kuna watu walijilipa mamilioni ya pesa MH.waziri mkuu mpaka akasikitika hivi wamechukuliwa hatua gani? au mchakato wa KESI unaendelea? Enzi zake angemalizana nao Siku Ile Ile na ingekuwa fundisho
Wale wangekuwa segerea mda huu, na wale wa mafuta kigamboni ndo wangekuwa mfano... Nchi isharud ilikokuwa 2005-2015, tutegemee ufisadi wa kudondoka mtu, yaan wizara ya ilinzi et mama, duh, makamba nishati, asee kwel nchi inatafunwaaaaa, mama anasema anafoka kwa kalamu, amesahau kuwa hi Ni tz 2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…