Hayati Dkt. Magufuli anapohukumiwa kwa kifo chake

Sawa mkuu, tuseme uko sahihi, hapo lugha ya hovyo ni ipi?
 
Ok, sasa unavyo mhukumu umepata faida gani! Zaidi unamkosea Mungu alie sema usihukumu na we ukaja hukumiwa! Watu mnashindana na marehemu, sijawahi ona akili kama hii nchi yoyote!
Ni kujifariji kusiko na fikra!
Mimi nasewa Jiwe huko aliko afe tena, haya nenda kalie au kashitaki huko.
 
Hiiiiiiii bha ghoshaaaaaaa
Yaani upambane na wanaompinga jiwe humu utaishia kupata frustrations za Bure ndugu yangu,
Take easy Buda unampambaniaje mfu ambaye hajui lolote kukuhusu muda huu Kama unampambania?
huo ni wendawazimu kuzidi jiwe aliyekua anapambana na wapinzani wa Ufipa!
😁😁😁😁
 
Huwezi kuzuia furaha za watu kwa kifo Cha yule binadamu katili Kama mpaka Leo tunafurahia kifo Cha Hitler na IDI amini hata Cha jpm ni shangwe maana hata yeye alifurahia kifo Cha lisu Ben Azory akwilina nk

amin amin nawaambia
maadam bado ni masikini,wekezeni akili na nguvu huko.

msicheke kifo cha jpm maana ni safari yenu ijayo pia,utizameni umasikini wenu na njia bora iwapasayo kupita.
 
Mwenye hukumu ni Mungu pekee na si mwanadamu.
Hata kuelewa point uliyoulizwa hujui unakalia kuruka ruka kama bisi. Lini ulikemea maovu ya huyo mwendakuzimu kipindi akiwa hai? Au wewe hukuona tatizo ila umeona kipindi hiki watu wanafurahia mtesi wao kwenda kuzimu ndiyo umeona kosa. Kuna mdau kasema acha mahaba kwani yamekupotosha macho.
 
Mkuu asante kwa tafakuri hii kutoka kwako ambayo imelenga kufungua mabichwa ya vilaza wachache wanaofikiri kwa kutumia matumbo.

wanasema njaa ikiuma akili hufunguka,lakini njaa ikitamalaki akili hufubaa na kuanza kufanya kazi zisizofaa.
 

Mungu hafanyi kufurahisha nguruwe wachache.

kwa upeo wako duni unadhani alifanya kwa ajili yako,lakini amini nakwambia,atafanya kukuudhi si kitambo.
 
Dah kweli Mungu Fundi...manake tuliteseka vya kutosha miaka mitano ya awamu ya JPM ...Asante Mungu kwa kuturudishia ubinadamu,amani na upendo
 
Pote
Potelea mbali sijaiba Cha mtu sijauwa mtu sijateka mtu sijafunga watu kwa kesi za uongo sijaikufuru Wala kuinajisi altare ya Mungu naamini mungu muumba wangu atanipa kifo Cha amani na cha heshima.

pole kaka ndio maana tunasikitikia viazi kama wewe.

hujaikufuru altare ya Mungu!!!unakijua unachofanya hapa!!!au kuchafua altare ni kunya kimba la kisamvu juu yake???

pole tena aisee.
 

kumuombea lissu mnaomba kwa kuvaa fulana!!!!
ifike hatua tumieni akili bana.

ndio maana watanzania wanawapuuza siku hizi.
 
Dah kweli Mungu Fundi...manake tuliteseka vya kutosha miaka mitano ya awamu ya JPM ...Asante Mungu kwa kuturudishia ubinadamu,amani na upendo

wewe kama ni wa kuteseka huna bahati tu[emoji23][emoji23][emoji23].

nini kimebadilika au unajaribu kupooza pilipili mdomoni kwa maji ya kunywa!!!
 
Before 2015 Tanzania ilikuwa Kwenye kundi la G20 siyo?
 
Sasa kama hukumu anatoa Mungu wew hizi hukumu za Wananchi zinakuuma nini? Kwanini usiangalie hiyo hukumu ya Mungu ambayo bado sana na kufanya mambo yako kuliko kuonekana hayawani hapa.
 
Sasa mbona unahukumu. Mkuu huna ukomavu kiimani. Kaa utulie.
Umejuaje binadamu mwenye matusi imetokana na malezi ya wazazi wake? Kumbe hujui hata uliposimamia. Kama upo upande wa Imani kubali matusi mkuu
Jamaa bonge la hayawani, anasema msihukumu huku yeye anahukumu, yale yale ya msemakweli ni mpenzi wa Mungu, lakini alikuwa akiambiwa ukweli anapiga mtu shaba
 
Tatizo alianza kula nyama ya binadamu na kuizoea. Karma ikaona isiwe shida akapewa jeuri dhidi ya kirusi corona nacho kikampumzisha fasta fasta.

On a very serious note. Mleta mada usipoteze muda kuhangaika na wanaosherehekea kifo cha mwendazake. Ni hulka mbaya lakini halisi ya kibinadamu. Ni kama vile watu wanavyochangamkia kumchoma moto kibaka. Binadamu wengi ukiwasababishia maumivu makubwa usitarajie wahuzunike siku ukifikwa na msiba. Na ukishangaa na kulalamika kwanini inakuwa hivyo, wewe ndio utakuwa na matatizo. Wala usijifariji kwa kauli "hata nyinyi mtakufa tu". Sawa, lakini yeye katangulia. Waingereza wana msemo "surviving someone". Lissu amemsurvive mbaya wake. Na kwa mtu aliyekuwa akijimwambafy (ref JK) kila mara, kutangulia "bila kutarajiwa" ni tatizo linalotafsiriwa kama adhabu - kibinadamu.

Kama wewe unaomboleza kifo cha mwendazake jua ni msiba wako binafsi. Usipoteze muda kutafuta ushirika. Kila mmoja wetu ana misiba yake.
 
Ndio maana tunakuambia umezidiwa na mahaba mpaka sasa unakana hata maneno yako mwenyewe, mchelea mwana kulia hulia yeye, ndilo linalokukuta sasa, ulikuwa na wkati mzuri wa kumkumbusha mahaba wako huu uzi ulioweka leo hapa labda yeye angekusikia, kwa kuwa tulimuasa sana hapa kuwa aache visasi, hakusikia, mbona husemi kuwa kisasi ni Cha Mungu! Sisi hapa hatuhukumu bali tunakumbusha kuwa kama ilivyo wema kuwa ni mbegu ubaya nao ni mbegu lazima iote. Hata hukumbuki andiko juu ya kuikumbusha nyumba ya Yakobo dhambi zao!
 
jina la mungu linatumika vibaya sn cku hizi, hawa wanaojiita manabii wanasema wametumwa na mungu sasa hivi ht wanasiasa tuliowachagua kwa kura zetu nao wanasema wamechaguliwa na mungu, karne hii mungu anasingiziwa kila kitu
 
Kuendelea kuelezea mapungufu ya mwenzako ni kuonesha kuwa uwezo wako ni mdogo. Ni kama vile mtu anabomboa nyumba ya jirani yake ambayo ni nzuri kuliko yake ili kuonesha yeye ana nyumba nzuri kuzidi mwezake. Mnashindwa nini kuhubiri mazuri yenu ili muonekane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…